Ana diplomasia gani hiyo mbona wakawaida sana au watu hawamjui si uangalie clip za hunger anavyokuaga na tempa na kupanic, mfano ishu ya ziwa nyasa,Kwanini tusimweke Joti ama mchizi mox urais? Am sure utawala wao utakuwa na tija kuliko haya miphd Na mimaster holder ya kukariri iliyoshindwa kudeliver
na kweliTukaletewa kichaa!
Magudfuli ndio naniMsishabikie haya mambo wakuu, msidhani mazuri, sisi rais wetu tunamjua ni magudfuli (the best president in africa) hadi 2025 so huyu membe wenu mtafutieni nchi ya kutawala sio Tanzania yetu
Wanamsafishia njia huo mwaka 2025 mbona wameanza mapema mno, tunavyoijua ccm mwaka 2020 hawezi kugombea mtu mwingine zaidi ya magufuli kulingana na utaratibu wao jinsi ulivyo tangu hapo nyuma.Utani utani mnamsafishia njia mwenzenu haya nyie muandikeni tu
Kizuizini kutaigharimu sirikali iliyojeruhiwa,Umesahau kuwatia kizuizini bashite na le mtumboz
Unataka kukunwa, mambo ya dj yanatoka wapi?Msimsahau dj segerea jamani
Angalau kumjalia hali walahi
Si anatangaza kila siku kuwa uraisi ni mgumu hadi anajuta kwa kuukubali. Hope hawezi kukataa kupokelewa zigo linalomuelemea. Nani atakataa kusaidiwa zigo sumbufu?Unadhani jiwe atakubali kutoka, uraisi mtamu wewe
Nyinyi ndo mtakaofanya Jf ifungiwe sio kwa mihemko hiyo, lakini kingine sisi watanzania tunaongoza kwa unafiki, kwani hata miaka ya nyuma watanzania hawa hawa walipiga kelele sana kwamba nchi imeuzwa kila mtu anachukua chake bora utawala unaokuja lichukue jeshi au itokee vita ndo akili zetu zitakaa sawa.
Sasa basi amekuja rais ambae anafanania uongozi wake na jeshi cha ajabu watanzania hao hao tunapiga kelele tena ooh rais gani hatufai rais dicteta kama si unafiki ni nini? Je kama kweli nchi ingechukuliwa na jeshi kama watu walivokua wanaombea mnafikiri tungekua katika hali gani au kungetokea vita kama watu walivokua wanaombea tungekua katika hali gani hapo ndipo utakapojua kua watanzania ni wanafiki kupitiliza hatujui tukitakacho, kila siku porojo za unafiki tu.
Nashauri tukafugie kuku wa kienyeji eneo lote la uwanjaUle uwanja wa ndege uliojengwa kule chattle tutaufanyaje? Nao utafaa kupigwa bei?
Ikitokea bwana zirailu kabeba chake kutakua na shangwe sio ya kawaida huku mitaaniNa ndiyo waungwana watashangilia.Amini usiamini.
#Membe Rais 2020hatudanganyiki ng'oo
Full cheko.Ikitokea bwana zirailu kabeba chake kutakua na shangwe sio ya kawaida huku mitaani