Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Kwanini tusimweke Joti ama mchizi mox urais? Am sure utawala wao utakuwa na tija kuliko haya miphd Na mimaster holder ya kukariri iliyoshindwa kudeliver
Ana diplomasia gani hiyo mbona wakawaida sana au watu hawamjui si uangalie clip za hunger anavyokuaga na tempa na kupanic, mfano ishu ya ziwa nyasa,
Tukaletewa kichaa!
na kweli
 
Natamani jiwe kichaa kimpande amfukuze uanachaka Membe!!

Utakuwa mwanzo mzuri kwake kuingia magogoni 2020
 
Jiwe alidhani Bongo ni kama Rwanda, kwamba ukidhibiti wapinzani upinzani ndiyo umekwisha!.Linchi likubwa hili utanzia wapi kuthibiti sauti huru?, Unaweza kudhani umethibiti kote huko nje lakini ukashangaa ndani ya nyumba yako mwenyewe mwanao mdogo kabisa akakwambia baba hufai, wewe siyo kama fulani!
 
Tuachwe tuamue.wewe umeridhika na utawala huu wa kutekana na mauaji ya holela? Biashara zimekufa, uchumi umeshuka hali za maisha ya wa Tanzania ni mbaya kama tupo miakaya Uhuru. Hakuna Uhuru wa kisiasa, maslahi ya wafanyakazi hakuna, wastaafu wanaibiwa mafao yao, wapinzani wanaishia magerezani,hakuna kukohoa wala kukosoa. Huu siyo utawala bora na watanzania hatukuyataka haya.
Nyinyi ndo mtakaofanya Jf ifungiwe sio kwa mihemko hiyo, lakini kingine sisi watanzania tunaongoza kwa unafiki, kwani hata miaka ya nyuma watanzania hawa hawa walipiga kelele sana kwamba nchi imeuzwa kila mtu anachukua chake bora utawala unaokuja lichukue jeshi au itokee vita ndo akili zetu zitakaa sawa.
Sasa basi amekuja rais ambae anafanania uongozi wake na jeshi cha ajabu watanzania hao hao tunapiga kelele tena ooh rais gani hatufai rais dicteta kama si unafiki ni nini? Je kama kweli nchi ingechukuliwa na jeshi kama watu walivokua wanaombea mnafikiri tungekua katika hali gani au kungetokea vita kama watu walivokua wanaombea tungekua katika hali gani hapo ndipo utakapojua kua watanzania ni wanafiki kupitiliza hatujui tukitakacho, kila siku porojo za unafiki tu.
 
Watu pia wahamasishwe jupiga kura maana nahisi wengi wamekata tamaa wanaweza wasiende siku ya kupiga kura
 
Back
Top Bottom