Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

tusimlishe maneno.
CCM ni chama imara chenye mfumo madhubuti, mihula miwili ya urais ni sehemu ya utaratibu wa kudumu na unaheshimiwa na kila mwanachama mtiifu wa ccm akiwemo BM kamwe hawezi kuwa muuasi labda awe nje ya ccm lkn sio ndani ya ccm
 
Bora CCM ile pamoja na rushwa na ufisadi mwingi, tulikuwa tunaigawana keki,mkubwa anapata kikubwa mdogo anapata kidogo,CCM hii ni mkubwa tu anapata keki,mdogo hapati kitu na hata akiokota masalia, mkubwa anarudi kumnyang'anya!!
Kodi ya visima,Pension 25%!!
WanaCCM kindakindaki Oyeeeeeeeeeee!!!
 
Povu hilo, na we umeshabaa hata unachokiandika hauna uhakika nacho maana unaaandika unafuta! unaandika unafuta. KAZINABATA...
 
watanzania vichwa mbuzi inamaana nje ya ccm hakuna viongozi?
 
Tuache unafiki nchi imekwama
 
Nionavyo mimi tuna safari ya kuelea Uganda, Rwanda na Burundi kwenda kuwasalimia
 
mimi si mfuasi wa siasa za Tz maana ndizo zimetufikisha hapa lakini lazma nitoe mtazamo wangu kwa hili.

Membe anaweza kuwa na haiba ya Kikwete ambaye kwa kipindi hicho naye alipwaya (japo anasafishwa kutokana na madhaifu ya aliyepo), lakini Membe hana uwezo ambao kikwete alikuwa nao.Wakati akiwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa hakuwa fanya kitu cha mshangao na alipokuwa akihojiwa sikuona substance na charisma ya kiuongozi simply alibebwa na mfumo ila alikuwa na uwezo hafifu..

Akheri kwa sasa tunabanwa lakini kuna projects zinafanyika ambazo unaona dhahiri kizazi kijacho kitanufaika ila kumpa nchi Membe ni risk iliyopo dhahiri..

Kwangu mimi Rais ambaye anatakiwa kumrithi Magufuli ni lazma awe mafia yaani aweze kuwa economical diplomat(sio mambo ya kutabasamu hovyo na kusema hawa ni marafiki zetu toka uhuru), Strategist, atakayekubali katiba mpya , visionary, mwenye upendo na uchungu na nchi hii na kadhalika..

Vigezo vyote hivyo Membe hana hata kimoja zaidi ya uswahiba na kufananishwa na Kikwete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…