Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

katibu mkuu wa chama cha mapinduzi ameonekana kukerwa na mtu katika mtandao wa twitter anayejiita membe.

hii imesababishwa na mtu huyo kutoa masharti ya kukutana nae yeye kama katibu mkuu wakati akijua kwamba yeye ni mwanachama wa kawaida kama walivyo wanachama wengine

dk bashiru amemtaka mtu huyo anayejiita membe aseme wazi kama yeye sio mwanachama tena wa chama cha mapinduzi

chanzo ni gazeti la mwananchi : Alichokisema Bashiru Ally baada ya majibu ya Membe
Ccm safari hii watamchukia kila mtu maana watu wameamua kusema ukweli na kama mbwai iwe mbwai
 
katibu mkuu wa chama cha mapinduzi ameonekana kukerwa na mtu katika mtandao wa twitter anayejiita membe.

hii imesababishwa na mtu huyo kutoa masharti ya kukutana nae yeye kama katibu mkuu wakati akijua kwamba yeye ni mwanachama wa kawaida kama walivyo wanachama wengine

dk bashiru amemtaka mtu huyo anayejiita membe aseme wazi kama yeye sio mwanachama tena wa chama cha mapinduzi

chanzo ni gazeti la mwananchi : Alichokisema Bashiru Ally baada ya majibu ya Membe
Ikiwa huyo mtu ni mwanachama wa kawaida kinachowatia kiwewe nini sasa, wamuache kama alivyo. Naona jamaa amewajambisha hatari.
 
Abhaandu bhoope finyamaana kookujha
Ugomvi ukitokea Kati ya watawala na walioonja utawala si ugonvi wa kuuchekelea, maana kitakachotokea kila mtu atajuta. NI wakati wa kuiweka nchi kwenye MAOMBI si wakati wa USHABIKI. Hapa Ndipo inapohitaji hekima na akili. USHABIKI wenu usituangamize.
 
Ugomvi ukitokea Kati ya watawala na walioonja utawala si ugonvi wa kuuchekelea, maana kitakachotokea kila mtu atajuta. NI wakati wa kuiweka nchi kwenye MAOMBI si wakati wa USHABIKI. Hapa Ndipo inapohitaji hekima na akili. USHABIKI wenu usituangamize.
Isije ikatokea ya kashoggi
 
Bashiru ana mihemko, anahisi nafasi yake iko matatani. Unafanya mchezo na mshahara wa milioni 10, nyumba, usafiri ada za watoto, matibabu na mengi kama hayo. Unafikiria anatamani kurudi kwenye miti mingi pale mlimani, pasipo na heshima yoyote? Muache aendelee kulinda maslahi yake binafsi. Ila iko siku atakumbuka kuwa mchezo anaoucheze ni hatari kwake binafsi na hao wanaomtuma.
 
Hahaha sasa yeye sindiye alianza kumsema sema huyo anayeitwa Membe?! Unamtukana mtu tweeter eti akikujibu hukohuko tweeter unasema hana nidhamu.
Angempigia simu wakaongea sisi tungejuaje kama wameongea?! Umbea wake tu kutafuta kiki.
 
Habari za muda mabibi na mabwana!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.

Karibuni kwa maoni yenu.

====
Kilichomwangusha 2015 amekiondoa? btw. siku hizi ana akili timamu? Mtamponza kama Mwandosya alivyolewa maoni ya mitandaoni akachukuwa fomu na kuishia kushindwa kutoa hata hotuba ya kumpa ushindi.
 
Picha ya Uchaguzi Mkuu 2020 imeshaanza kutengenezwa. Huku kuweweseka kuna maana kubwa sana...!!
CCM safari hii watajuta kutumia mbinu za kimafia kumwingiza Magufuli Ikulu. Lazima wajue kuwa Bernad Membe alikuwa ni Rais wa chaguo la Watanzania wengi baada ya Lowassa kuchinjiwa baharini...!!!
Nani alikuwa anamjua Magufuli zaidi ya unyampara wa kusimamia mabarabara? Watu waliotegemewa kuingia Ikulu walikuwa aidha Lowassa au Membe na siyo Magufuli...!!!
2020 ni mwaka wa balaa kwa Uchaguzi ndani ya CCM. Watavurugana, watachinjana na watasambaratika. Kwa mara ya kwanza katika historia Magufuli anaweza kuishia term moja tu ya miaka 5. Katiba yao inaruhusu. Siyo lazima kuwa Rais anayechaguliwa kipindi cha miaka 5 lazima akamilishe miaka 10....!!!Siyo lazima.....anaweza kuishia 5 na akaingia mwingine kumalizia 5 na itakuwa poa tu mbona..!
 
Wacha tuongeze maadui na uhasama itapendaza zaidi.
 
HBARI KAMILI.

Dar es Salaam. Ni vita mpya kati ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally na Bernard Membe.
Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na Dk Bashiru kutumia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kuhoji kitendo cha kusambaa kwa ujumbe katika mitandao ya kijamii ulioandikwa na mtu aliyejiita Bernard Membe, akijibu wito wa katibu mkuu huyo.
Juzi Desemba Mosi, 2018 Dk Bashiru alirejea kumtaka Membe, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kwenda ofisini kwake, akidai mbunge huyo wa zamani wa Mtama anatuhumiwa kuandaa mpango wa kumkwamisha Rais John Magufuli katika uchaguzi wa Rais, kwamba lengo la wito wake huo ni kumueleza kama anayoyasikia ni kweli au si kweli.
Katika kile kinachoonekana kuwa majibu ya mtu anayejiita Membe katika mitandao ya kijamii baada ya wito huo wa Dk Bashiru yamemtibua katibu mkuu huyo, kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter amesema;
“Nakuita ofisini unanijibu Twitter na kunipa masharti. Ninapokuita nafanya hivyo kama Katibu Mkuu wa chama chako. Kama wewe si mwanachama ni vyema ukasema rasmi,” amesema Dk Bashiru kupitia ukurasa wake huo.
Katika majibu ya wito huo, mtu anayejiita Membe amesema amempelekea Dk Bashiru ujumbe wa kukubali kumuona mara atakaporejea Tanzania kutoka nje ya nchi.
Amesema ameshangazwa na utaratibu uliotumika kumuita, lakini kwa sababu ya ugeni kazini na kwa sababu anamheshimu (Dk Bashiru) atakwenda kumuona ofisini kwake.
Katika ujumbe huo, ‘Membe’ huyo anasema atakapokwenda ofisini kwa Dk Bashiru, mtu anayemtuhumu kuandaa mkakati wa kumng’oa Rais Magufuli, naye awepo ili kuthibitisha tuhuma hizo.
Bashiru amesema hana akaunti twitter, facebook wala wapi. Hiyo tweet imetoka wapi.
 
Mbowe ana kofia tatu ni mbunge,kiongozi wa upinzani bungeni Na mwenyekiti wa Chadema Taifa.Mwambie avue kofia ya uenyekiti abaki Na ubunge

Kinakuumiza nn MBONA WW UNAMPENZI ZAIDI YA MMOJA ILA HUTAKI BAKI NA MMOJA DAH
 
Mimi ningekuwa Kàtibu, ningemuita tu namuuliza anazijua taratibu na kanunu za chama???

Membe anatumiwa, baaada ya Nyarandu kushindwa CIA wameamua kumtumia Membe.

"bad elements must be eliminated" hakuna namna, aunde chama chake, CCM aliikuta aiache
 
Back
Top Bottom