Ccm safari hii watamchukia kila mtu maana watu wameamua kusema ukweli na kama mbwai iwe mbwaikatibu mkuu wa chama cha mapinduzi ameonekana kukerwa na mtu katika mtandao wa twitter anayejiita membe.
hii imesababishwa na mtu huyo kutoa masharti ya kukutana nae yeye kama katibu mkuu wakati akijua kwamba yeye ni mwanachama wa kawaida kama walivyo wanachama wengine
dk bashiru amemtaka mtu huyo anayejiita membe aseme wazi kama yeye sio mwanachama tena wa chama cha mapinduzi
chanzo ni gazeti la mwananchi : Alichokisema Bashiru Ally baada ya majibu ya Membe
Abhaandu bhoope finyamaana kookujhaNdiisi ameenye kyala
Ikiwa huyo mtu ni mwanachama wa kawaida kinachowatia kiwewe nini sasa, wamuache kama alivyo. Naona jamaa amewajambisha hatari.katibu mkuu wa chama cha mapinduzi ameonekana kukerwa na mtu katika mtandao wa twitter anayejiita membe.
hii imesababishwa na mtu huyo kutoa masharti ya kukutana nae yeye kama katibu mkuu wakati akijua kwamba yeye ni mwanachama wa kawaida kama walivyo wanachama wengine
dk bashiru amemtaka mtu huyo anayejiita membe aseme wazi kama yeye sio mwanachama tena wa chama cha mapinduzi
chanzo ni gazeti la mwananchi : Alichokisema Bashiru Ally baada ya majibu ya Membe
Ugomvi ukitokea Kati ya watawala na walioonja utawala si ugonvi wa kuuchekelea, maana kitakachotokea kila mtu atajuta. NI wakati wa kuiweka nchi kwenye MAOMBI si wakati wa USHABIKI. Hapa Ndipo inapohitaji hekima na akili. USHABIKI wenu usituangamize.Abhaandu bhoope finyamaana kookujha
Isije ikatokea ya kashoggiUgomvi ukitokea Kati ya watawala na walioonja utawala si ugonvi wa kuuchekelea, maana kitakachotokea kila mtu atajuta. NI wakati wa kuiweka nchi kwenye MAOMBI si wakati wa USHABIKI. Hapa Ndipo inapohitaji hekima na akili. USHABIKI wenu usituangamize.
Huo muda waliokaa kutengeneza aina yako ya kiumbe ilikuwa ni upotevu bure wa manihii.Fanya kazi acha kelele jiwe halipigwi konzi.
Kilichomwangusha 2015 amekiondoa? btw. siku hizi ana akili timamu? Mtamponza kama Mwandosya alivyolewa maoni ya mitandaoni akachukuwa fomu na kuishia kushindwa kutoa hata hotuba ya kumpa ushindi.Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
====
Loli umusi ughu tulinalyo, papo tumpele ikisu nghwadyeki.Abhaandu bhoope finyamaana kookujha
Kwani nimekuita na wewe uwepo kwenye safari?Nenda peke yako huko Misri...ila ujue hutaweza kubadilisha mwendo maana wale waliobisha Ile safari waliishia jangwani....hawakurudi Misri na wala hawakufika Caanan
Bashiru amesema hana akaunti twitter, facebook wala wapi. Hiyo tweet imetoka wapi.HBARI KAMILI.
Dar es Salaam. Ni vita mpya kati ya Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally na Bernard Membe.
Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na Dk Bashiru kutumia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kuhoji kitendo cha kusambaa kwa ujumbe katika mitandao ya kijamii ulioandikwa na mtu aliyejiita Bernard Membe, akijibu wito wa katibu mkuu huyo.
Juzi Desemba Mosi, 2018 Dk Bashiru alirejea kumtaka Membe, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kwenda ofisini kwake, akidai mbunge huyo wa zamani wa Mtama anatuhumiwa kuandaa mpango wa kumkwamisha Rais John Magufuli katika uchaguzi wa Rais, kwamba lengo la wito wake huo ni kumueleza kama anayoyasikia ni kweli au si kweli.
Katika kile kinachoonekana kuwa majibu ya mtu anayejiita Membe katika mitandao ya kijamii baada ya wito huo wa Dk Bashiru yamemtibua katibu mkuu huyo, kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter amesema;
“Nakuita ofisini unanijibu Twitter na kunipa masharti. Ninapokuita nafanya hivyo kama Katibu Mkuu wa chama chako. Kama wewe si mwanachama ni vyema ukasema rasmi,” amesema Dk Bashiru kupitia ukurasa wake huo.
Katika majibu ya wito huo, mtu anayejiita Membe amesema amempelekea Dk Bashiru ujumbe wa kukubali kumuona mara atakaporejea Tanzania kutoka nje ya nchi.
Amesema ameshangazwa na utaratibu uliotumika kumuita, lakini kwa sababu ya ugeni kazini na kwa sababu anamheshimu (Dk Bashiru) atakwenda kumuona ofisini kwake.
Katika ujumbe huo, ‘Membe’ huyo anasema atakapokwenda ofisini kwa Dk Bashiru, mtu anayemtuhumu kuandaa mkakati wa kumng’oa Rais Magufuli, naye awepo ili kuthibitisha tuhuma hizo.
Mbowe ana kofia tatu ni mbunge,kiongozi wa upinzani bungeni Na mwenyekiti wa Chadema Taifa.Mwambie avue kofia ya uenyekiti abaki Na ubunge
Mbombo ngafuNdiisi ameenye kyala