gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Kauli yako kuwa " ninlazima kuwe nasababu za msingi kuwa kwann usimuache aliyepo aongoze miaka kumi" imeharibu bandiko lote.
Katiba haijalazimisha rais aongoze miaka kumi. Imesema mitano lkn baada ya hiyo mitano anaruhusiwa kugombea Tena kwa awamu ya pili
Katiba haijalazimisha rais aongoze miaka kumi. Imesema mitano lkn baada ya hiyo mitano anaruhusiwa kugombea Tena kwa awamu ya pili