Ngoma inogile!
Jiwe anaweza ku-collapse!!
Pronto.Mazingira ya sasa hivi ni tofauti kabisa. Imethibitika pasipo shaka yoyote kwamba aliyepo ana matatizo ya akili hivyo lazima ifanyike replacement ASAP.
haa haa if kuna mambokwa takataka uliyoiandika hapa, basi nimeshiba ghafla mke wangu, nenda katandike tulale.
Hehehehehe shidaNdugu zangu, huyu anayezungumzwa na kuandikwa kila chochoro, Hana jipya, wala hatakuwa na jipya.
Kukaa na kupoteza rasimali muda, huku ukimpigia "Promo za Kipuuzi" mtu ambaye hatakusaidia kwa lolote, huo nao ni upuuzi.
Ndugu zangu, huu ni Msimu wa "Maembe" Fanyeni biashara ya "Maembe"
Huyo "Membe" hatatusaidia chochote.
Sana sana atatuletea "Mende"
Asanteni, Ngoja nimpikie mume wangu kipenzi chakula cha lala salama.
Wajinga kama wewe ndio wengi bavichaa.Upumbavu wenu....UOGA umewashika mnaleta theories za kipumbavu namna hii...
HOFU imewakaba na munamuogopa Membe hatari sana...
Mtajijua na woga wenu...
Hizi ni HOFU tupu....hakuna wa kuwasaidia!
Hakuna cha kusubir ndug yang...huyu huyu membe wapinzani walisema ni fisadi leo wanamshika mkono same as lowasa
kwa style hii upinzani utasubiri sana maana ni vigeu geu
huyu huyu membe wapinzani walisema ni fisadi leo wanamshika mkono same as lowasa
kwa style hii upinzani utasubiri sana maana ni vigeu geu
.....Umetumwa wewe siyo bure..ngoja nisiseme kitu nisijeenda kusikojulikana
Huyu aliepo hana kipaji?Membe, B. Camilius hana nia ya kuwania Urais
Kuna Kigenge Fulani Kwa Maslah yake wamejaribu kuTengeneza Mgogoro Lakin watashindwa
CCM imepita kipindi kigumu Sana lakin ikavuka salama 2005-2015 wasiturejeshe huko Kwa Kuwa Mwenyekiti wa wakati ule alikuwa Mwanasiasa wa kipaji Na taaluma Na kwa kadar zake Manani tukavuka salama
Nimpigie promo ili iweje?Mtoa mada hii ndio staili yako yakumpigia promo membe?
....Wapinzani wanaohamia CCM mbona mnawapa vyeo wakati wakiwa upinzani mnawaita nyumbu?
Wapinzani na mashabiki wao wengi ni majizi na mapiga deal tupu na ushoga ndio sera zao, shame on all of them.huyu huyu membe wapinzani walisema ni fisadi leo wanamshika mkono same as lowasa
kwa style hii upinzani utasubiri sana maana ni vigeu geu
bora membe hata akituletea majanga hawezi kumiminia watu risasi......Ndugu zangu, huyu anayezungumzwa na kuandikwa kila chochoro, Hana jipya, wala hatakuwa na jipya.
Kukaa na kupoteza rasimali muda, huku ukimpigia "Promo za Kipuuzi" mtu ambaye hatakusaidia kwa lolote, huo nao ni upuuzi.
Ndugu zangu, huu ni Msimu wa "Maembe" Fanyeni biashara ya "Maembe"
Huyo "Membe" hatatusaidia chochote.
Sana sana atatuletea "Mende"
Asanteni, Ngoja nimpikie mume wangu kipenzi chakula cha lala salama.