Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Nikiambiwa nichague kula kati ya embe na jiwe nitachagua embe.
 
Malichi, kwa hiyo tatizo liko wapi sasa! Waliokutuma kuendeleza propaganda wangekupa na evidence ya hilo kosa lake. Binafsi, kando ya maneno ya mitandaoni, ambayo hata bashiru na usomi wake ameyamaindi sana, sioni kosa la Mh Bernard Membe na wewe umeshindwa kulionyesha!.

Rudi kwa Bashiru mkaelewane kwanza ili msiendelee kuumbuka humu na kwingineko!
 
Niliumisi sana uzi wako mkuu.leo umechukizwa sana na ndugu zako mpaka umeweka uzi
 
Watu hamumjui membe nyie, Hafai hata chembe yule.
 
Hapa buku 7 ndo zinaanza kugawanywa tena kwa vijana wa lumumba
 
 
Yani ata kama atagombea mbuzi ntampa kura lkn siyo stone nimemkinai mpk basi
 
Mwenye CV ya Dr Bashuru atutupie hapa...
Je anaweza fikia CV ya BM?
 
Aisee siasa za tanzania ni za majitaka sana

Sisi tusio na vyama acha tuendelee kula pop corn
 
Habari inajichanganya hovyo hovyo jipange basi, kuna sehemu unatupa taarifa wasomaji, sehemu unakua kama unawsiliana na Member!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…