Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,951
- 9,977
Kwani bado ana nia?Habari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani bado ana nia?Habari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
Duh kumbe naye bado ana nia ya kwenda white house? Si ndiye yule aliyesema Marekani wanamuunga mkono?Naona kuna mtu anatafutwa hapa
.....na mimi kama jasusi la kimataifa nasema rais 2020 ni Lazaro Nyarandu.
Hana uwezo huo. Anakuja na yake.
Bila shaka Membe ni baba yako na ndie atakuvusha huko Canaan ya MchingaHabari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
Mkuu mnataka membe atekwe ???Membe tuvushe TANZANIA inakuhitaji ni wewe utakayerejesha tumaini jipya sisi wanaccm wenzio tunakuhitaji upeperushe bendera 2020
Tegemeo lako wewe na nani?Habari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
Umejuaje???Membe hatofanya miujiza maana CCM ni walewale..
ila yafuatayo;
1-Utekaji wa raia utapungua
2-Viongozi kuwatukana wananchi kutapungua
3-Ukanda, udini na ukabila utapungua
4-Watumishi kunyimwa haki zao kutapungua
5-Kesi za kipumbavu za kubambikiziana zitapungua
6-Sheria zitakazopitishwa hazitobeba hisia za mtu mmoja pekee kwa maslahi binafsi
7-Viongozi wenye phd kuacha facts na kutoa mipasho ya taarabu kutapungua
8-Viongozi wa kitaifa hawatowakimbia wananchi kwenye misiba
9-Kuhonga kodi ili uungwe mkono kutapungua
10-Ajira zitaongezeka
11-Askari wa Rwanda nchini watapungua
12-Mtanzania atakuwa na thamani zaidi kuliko mbwa wa polisi
13-Biashara zitakuwa maana unyonyaji utapungua
14-teuzi zitapungua
15-data za kupika zitapungua
16-kukurupuka kutapungua
17-hazina itaangaliwa na wale wote wenye mamlaka kisheria na sio mtu na mpwa wake pekee
18-watu watakuwa huru kufanya siasa, kutoa maoni
19-nchi itakuwa na jembe la uwakilishi nje ya nchi, haitakuwa tena tanzania ya kukimbiakimbia vikao vya wakuu wa nchi
20-njaa itapungua na furaha itaongezeka..
21-mawazo ya wasomi yatapewa nafasi yake
Membe hawezi pita CCM 2020 labda akagombee Upinzani naona anajiandaa kwenda upinzani kwa kuw huko huwa wanachukua reject toka CCMMwanzo nliona kama mzaha hivi, lkn kidogo kidogo naona kama kuna mision plan, ambayo ina impeach kwa utaratibu..
Kunauwezekano wanataka kutengeneza mission ya kumfelisha ngosha ilj 2020 awe mtu mwingine, kama plan hii itafanikiwa basi upinzani unakuja kuchukua nchi kirahis mno... Na ndyo itakuwa mwisho wa chama kinaitwa ccm..
Maana leo toka asb membe membe membe, kwa mtazamo wa kawaida kabisa kuna plan mission around the corner
Membe anaweza akawa chaguo la wananchi lakin maccm wanamajina yao mfukoni.lowasa alikuwa chaguo la wananchi, lakin kilichotokea ni kuhujumiana.Habari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
Hahah for 'no reason " ngoja wenyewe wajeThis week humu JF Membe ametrend sana for no reason mpaka thread za zamani watu wanafukua makaburi.
Kulikoni??
In your wet dreamsIwe giza iwe nuru. Iwe usiku iwe mchana Membe LAZIMA awe rais kabla 2020
Kinaheshimika kwa lipi? Au kinaheshimika na mabepari kwa kuhujumu wananchi??Inastaabisha namna wasio CCM walivyo na imani kubwa na CCM katika nafasi ya Urais.
Labda tuwakumbushe tu kuwa Chama kina taratibu zake na zitaendelea kuheshimika.