Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
Lakin had mwisho hujasema kwa nn tusimchague Membe. Naona unajiongelesha vilugha vingi bila kutaja kisa..... 2020 tunaenda na kachero Membe
 
Lakin had mwisho hujasema kwa nn tusimchague Membe. Naona unajiongelesha vilugha vingi bila kutaja kisa..... 2020 tunaenda na kachero Membe
Wewe upo kwenye ile kamati ya wateuaji? Nani alijua litatoka jina la Pombe na wanawake wawili
 
Makamanda wamedata sasa hivi hawaeleweki kinachokuja na kinachopita wao nikuona tu kinafaa wameshamsahau na mzee wa peoples 1.elimu 2. Elimu 3.elimu peoples asanteni. Akili za makamanda zimeshadata tuwasamehe bure wameishiwa hoja
 
Lakin had mwisho hujasema kwa nn tusimchague Membe. Naona unajiongelesha vilugha vingi bila kutaja kisa..... 2020 tunaenda na kachero Membe

Kachero gani mpuuzi tu
Muulize alicho fanyiwa Zimbabwe
Kamanda acheni kudandia vitu msivyo vijua
Kisu ukikishika kwenye makali lazima kita kukata, mmejikaanga na mafuta yenu wenyewe chadrama mcharuko mizee ya matukio kulus
 
Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
Membe 2020
 
Mbona umejadili....

Kama kibaka na mhun fulan hivi ...

Umemshambulia membe under one fact which is limited brain power ...

Mkuu i respect you kwa uwezo wako wa kuchambua mada ...
Na kuzifikisha not all the times but some times ...

Usiniangushe ...
Hebu toa strong evidy
Kuliko kumcondomize membeh wa watu
 
Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
kwa wenye akili na wafuatiliaji wa mambo watakuelewa sana, kwani Membe ni miongoni mwa mafisadi papa.
 
Wewe upo kwenye ile kamati ya wateuaji? Nani alijua litatoka jina la Pombe na wanawake wawili

Unaona
Sasa kwa nini chadrama mcharuko wameamua kujivua nguo na kubaki uchi na kushabikia CCM ?
Silaa alijua kama ata step down ?
Makamanda wameamua kuingia mtaani uchi na huku wamebeba bendera ya CCM
Totally pathetic
 
Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
Watu wako radhi yeyeto hata kivuli Lkn si jiwe,wanaogopa kuumia Zaid awamu ya pili
 
Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
Siku zote wewe ni mjinga mjinga uliyejificha marekani na wala hujui shida zinazotupata hapa nchini mmejificha huko gizani kazi yenu ni kutupa mawe gizani tu wala hamna msaada wowote, hali kwa sasa ni mbaya nyongeza ya mishahara hakuna, ajira hakuna, biashara zinakufa alafu unamtetea huyo jamaa yako eti ni bora?

Mara kumi membe hali ya maisha ingekuwa nafuu maana ni mstaharabu na mwanadiplomasia anayepokea ushauri, jiwe linatumia pesa hovyo na ndio fisadi kuu, kitendo cha kuchota pesa hazina na kwenda kununua vitu vizito bila kuidhinishwa na bunge ndio tunaouita ufisadi, jiwe anatakiwa kuwa jela
 
Kachero gani mpuuzi tu
Muulize alicho fanyiwa Zimbabwe
Kamanda acheni kudandia vitu msivyo vijua
Kisu ukikishika kwenye makali lazima kita kukata, mmejikaanga na mafuta yenu wenyewe chadrama mcharuko mizee ya matukio kulus
Membe akipita atawapandishia dau kutoka 7000 had 7500. Si mtafurah nzi wa lumumba?
 
Kama ni gari Jiwe kalizamisha kwenye tope mpaka Difu imekalia
Hili hapa?
tapatalk_1543810320149.jpeg
 
Back
Top Bottom