Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
bado hujaeleza kwanini membe hafai unesema tu ni bomu sababu?
Kwa watanzania wanaomtaka membe Kwa itaratibu uliopo wa chama na wazee kuwa na nguvu ya kupendekeza na kupitisha nani awe raisi chini ya katiba hii, Mtasubiri sana Membe kuwa raisi. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu.
Itashangaza kuona magufuli akikauka koo majukwaani kujinadi ilhali alisema huko ikuluni alisukumizwa tu nakazi ya uraisi ni ngumu!
Kwa watanzania wanaomtaka membe Kwa itaratibu uliopo wa chama na wazee kuwa na nguvu ya kupendekeza na kupitisha nani awe raisi chini ya katiba hii, Mtasubiri sana Membe kuwa raisi. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu.
Itashangaza kuona magufuli akikauka koo majukwaani kujinadi ilhali alisema huko ikuluni alisukumizwa tu nakazi ya uraisi ni ngumu!