Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

bado hujaeleza kwanini membe hafai unesema tu ni bomu sababu?

Kwa watanzania wanaomtaka membe Kwa itaratibu uliopo wa chama na wazee kuwa na nguvu ya kupendekeza na kupitisha nani awe raisi chini ya katiba hii, Mtasubiri sana Membe kuwa raisi. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu.

Itashangaza kuona magufuli akikauka koo majukwaani kujinadi ilhali alisema huko ikuluni alisukumizwa tu nakazi ya uraisi ni ngumu!
 
bado hujaeleza kwanini membe hafai unesema tu ni bomu sababu?

Kwa watanzania wanaomtaka membe Kwa itaratibu uliopo wa chama na wazee kuwa na nguvu ya kupendekeza na kupitisha nani awe raisi chini ya katiba hii, Mtasubiri sana Membe kuwa raisi. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu.

Itashangaza kuona magufuli akikauka koo majukwaani kujinadi ilhali alisema huko ikuluni alisukumizwa tu nakazi ya uraisi ni ngumu!

No Maembe 2020
 
bado hujaeleza kwanini membe hafai unesema tu ni bomu sababu?

Kwa watanzania wanaomtaka membe Kwa itaratibu uliopo wa chama na wazee kuwa na nguvu ya kupendekeza na kupitisha nani awe raisi chini ya katiba hii, Mtasubiri sana Membe kuwa raisi. Ukweli usemwe hata kama ni mchungu.

Itashangaza kuona magufuli akikauka koo majukwaani kujinadi ilhali alisema huko ikuluni alisukumizwa tu nakazi ya uraisi ni ngumu!
Nailed
 
Makamanda wana bore sana na hawajiamini. Yaani wanataka Kiazi na Kilaza kama membe awe rais wa Tanzania? Wanataka na makamba awe rais.... Jamaa wapo so desperate na stressful.

Membe hana akili nashangaa wanaolazimisha kudai ni jasusu mbobezi. Sijui kabobea kwenye nin ikiwa hata ukimsikiliza tu unamwona ni kilaza. Kwa style hii naona bora magufuli aendelee kuwa rais kuliko kumfikiria mtu bomu kama membe.

Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
 
Membe ni bomu lile hata uwezo wake wa kung'amua mambo una mashaka makubwa

Kwa membe ni bora magufuli abaki hata miaka ya 20
 
Nashani hii ni kauli mbiu tu ya kuutikisa mbuyu.
Mwisho wa mkataba si ni 2025.
 
Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
Huyo alishasema akiingia madarakani atahakikisha watu 15 watahama kutoka Tanzania. Hatutaki Rais wa aina hiyo.
 
ni haki yao kupapatikia wanachokipenda mkuu usiwapangie.
Ila siku ya Mwisho mimi kumkubali huyo mkuu ni siku alipotoa hotuba kwa nini anataka awe rais 2015.
aliishia kuongelea mambo ya wapinzani, mara anajichanganyachanganya. Nikashangaa mbona jamaa anasifika sana kuliko anachokiongea?

Sijamkubali tangu siku ile, labda aje tena tumsikilize upya.
 
Dignity ya makamanda uchwara iko wapi?
Ule upuuzi aliyo fanya bosi wao kuruka dhamana ndio wao wanaurudia kwa style nyingine
Ulofa na umaskini na roho mbaya ni kitu kimoja
LAZIMA MTU UJITHAMINI HAPA DUNIANI
SIO LIKITU LA KUPEPERUSHWA NA KILA MWENYE PESA AKUNUNUE TU
AIBU TENA NI AIBU KUBWA MAKAMANDA
HAKIKA MMEJISHUSHA HADHI VIBAYA SANA
 
Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
Anatua saa ngapi airport?
 
ni haki yao kupapatikia wanachokipenda mkuu usiwapangie.
Ila siku ya Mwisho mimi kumkubali huyo mkuu ni siku alipotoa hotuba kwa nini anataka awe rais 2015.
aliishia kuongelea mambo ya wapinzani, mara anajichanganyachanganya. Nikashangaa mbona jamaa anasifika sana kuliko anachokiongea?

Sijamkubali tangunsiku ile, labda aje tena tumsikilize upya.

Duh
Fukara sana membe hamna kitu pale
 
Back
Top Bottom