Dah..safi sana...waanze madaktari..wawatandike OD wagonjwa wote wanaofika kupata huduma...na kila anayeingia thieta atokee mochuare...waongoza ndege nao wazielekeze makusudi zitue Kariakoo...Jeshi la kuzima moto nao wajaze petrol magari yao badala ya maji..hapo wananchi wataichukia sana serikali yao na kuwapenda sana ninyi mnaotaka uongozi kwa gharama zao....😡😡😡Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Twende na MembeWatu wamemisi angalau sura nzuri ya matumaini ya kujaza matumbo kwa leo tu
Wamesha kiri kwa vinywa vyao kwamba chandrama mcharuko ni kwishney kabisavipi kwa upande wa Chadema
Membe huyu huyu! acheni utani jamani.Bora Membe
Mkuu vitu vingine unapaswa utafakari sana. Hivi unadhani kwamba Raisi Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM atajiweka kwenye mazingira ya CCM kuteua mgombea wa CCM mbadala wake? HUyu Magufuli ninayemfahamu au mwingine? Au hujaona tayari ameshajiwekea mazingira kwamba hilo lisiwezekane hata kidogo?
Membe huyu huyu! acheni utani jamani.
Huo mzimu wa Ghaddafi ushindwe kuwafuata waarabu wenzake waliomuua umfuate Membe ?Mzimu wa Ghadafi utammaliza membe kabisa
Sawa anatumbua majipu!Huyo Membe anaweza mambo kama Magu? Je anaweza kutumbua majipu? Je hana makundi kama Magu? Je hana uendeshaji wa mambo kiushikaji? Je anauwezo wa kunyoosha mambo ya ufisadi? Je anauthubutu wa kukabiliana na matajiri wakwepa kodi? Je anaubavu wa kuwakabili wana ccm wanaohujumu nchi? Ukishindwa kujibu maswali haya kwa vielelezo tuachie Magu wetu na utuombe radhi kwa uzi huu.
CCM ndio chama mzazi.hawa wengine ni wasindikizajiWamesha kiri kwa vinywa vyao kwamba chandrama mcharuko ni kwishney kabisa
Arudishe pesa yetu $20 million za kujenga kiwanda cha Cement Lindi. Huyo ni fisadi period.Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
====
Kazi na bata!Membe ni janga la taifa na wala hatufai hata kidogo. Kumchagua huyu ni sawa tu na kumchagua tena JK, rais wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Membe na Zitto ni watu ambao wanabidi wapotee kisiasa, hawana mvuto kwa jamii na akili ya kuiongoza Tanzania tuitakayo. Hapa ni Magufuli tu mbele kwa mbele.
Hiyo ndio ukweli wa mileleCCM ndio chama mzazi.hawa wengine ni wasindikizaji
Kazi na bata!
2020 kura zote kwa Membe!
Bavicha kwisha habari yenu yaani mnaamini hii ndio njia ya kuifikisha cdm ikulu?Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
====
Mimi sihitaji kua ni lazima awe Membe au Lowasa, ninayotakata ni kiongozi atakayeheshimu makundi makubwa matatu yaliyoshikilia mustakabali wa usalama wa taifa letu, yaani Wakulima na Wafanyakazi pamoja na wafanyabiashara.
Ni ukweli ulio dhahiri kua makundi haya yapo katika hali ngumu kupita kiasi, yamechoka sana. Huenda sio kwa kupenda lakini inawezekana ni kwa kukosa mbinu murua za kuwasaidia.
Binafsi ninachotaka tu ni utawala wa awamu hii umalizie miaka take 3 iliyobaki uondoke tu, hauna maslahi kwa taifa. Kila wanayofanya hakuna faida iliyoonekana kwa mtanzania, tunaambiwa eti ni kwa ajili ya vizazi vijajavyo, who knows kama sio uongo mnataka kutusotesha bure.
Haaa kama ni membe,Lowasa,Zitto, Lissu au mtanzania yeyote mwenye uwezo wa kuliongoza taifa. Huu utawala uliopo waliyofanya yanatosha, miaka 5 iwatoshe wasepe tuu.Sisi raia ndio wenye maamuzi kumweka mtu madarakani na ni lazima tuseme.