Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Naona kuna mtu anatafutwa hapa
.....na mimi kama jasusi la kimataifa nasema rais 2020 ni Lazaro Nyarandu.
Duh kumbe naye bado ana nia ya kwenda white house? Si ndiye yule aliyesema Marekani wanamuunga mkono?
 
Huyu Jasusi Mbobezi Mnamtafutia Shida Jamani Tuache Chokochoko
 
Badamu bhatamwaghika Lumumba

Jiwe hawezi kubali kuachia chamwino kirahisi,tatizo linakuja waliompa kijiti ndio wanajua fitina.

Polepole anajua statistics za wanachama wake,baada ya chama cha Xi jinping kinafuata chake asichokijua ni kwamba marehemu wanapiga kura nying kuliko wanachama wake ref 25.10.15 matokeo ya kura yalizd wapga kura

Bashiru bado anajazia makaratasi viatu vya mwenye kipara Mr Ndovu ili viweze kumtosha

Kichaa bado ananafasi
 
Umejuaje???
 
Membe hawezi pita CCM 2020 labda akagombee Upinzani naona anajiandaa kwenda upinzani kwa kuw huko huwa wanachukua reject toka CCM
 
Inastaabisha namna wasio CCM walivyo na imani kubwa na CCM katika nafasi ya Urais.

Labda tuwakumbushe tu kuwa Chama kina taratibu zake na zitaendelea kuheshimika.
 
Inastaabisha namna wasio CCM walivyo na imani kubwa na CCM katika nafasi ya Urais.

Labda tuwakumbushe tu kuwa Chama kina taratibu zake na zitaendelea kuheshimika.
Kinaheshimika kwa lipi? Au kinaheshimika na mabepari kwa kuhujumu wananchi??
 
Huo utaratibu upo kwenye ibara gani ya katiba kada mwenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…