mbasha mazengo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 630
- 588
Jiwe sio chaguo la watanzania
Habari.
Ni tofauti na sasa tumekuwa tukiongopewa, nawaomba mwanaccm hii ni fursa yenu. Kukitoa chama kwenye makucha ya uongo na kukipeleka kwenye ukweli.
Maana chama chenu kina kauli " Nitaongea ukweli daima, uongo kwangu mwiko "
Mabeberu wana mbinu nyinyi sana na kwenye mikataba yao hutumia lugha ya kiingereza, sasa kama rais hatakuwa hayupo vizuri kwenye lugha tutabingwa za uzo.
Nawatakia mabadiliko mema mwanaccm.
mr mkiki. View attachment 955259View attachment 955261