Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😂😂😂🔥nakolagwa no😀 nkoy nalebhona geke wakolwaga noo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂🔥nakolagwa no😀 nkoy nalebhona geke wakolwaga noo
Membe angekuwa Rais angeendeleza yale yote aliyoanzisha JK. Do I need to mention them?1. Mbowe kwa shauri alilonalo angekuwa mahakamani na JELA !?
2. Tungeshuhudia kesi na vifungo viongozi upinzani Kwa kiasi Hili?
3. Thamani ya Dola ya marekani ingefikia Kiwango hiki cha leo!?
4. Ustawi na umoja wa taifa letu ungemomonyoka kwa kiwango hiki !?
5. Mahusiano na maelekezo mihimili ya 3 Pangekuwa Hivi!?
6. Tungeshuhudia Wabunge na madiwani kuunga juhudi kwa na ya ki pekee Hivi!?
7. Mahusiano kati ya serikali na wafanyabiashara sector binafsi yangefikia hatua hii!?
8. Watumishi maslahi na stahiki zao zingefikia hatua hii!?
9.Wawekezaji wa ndani na nje mahusiano yangefika hatua hii!?
10. Mahusiano kati ya nchi yetu yangeimarika kwa kiasi gani!?
11.Tungejenga reli,Bwawa la umeme na kununua ndege kwa mfumo huu!?
12. Tungeshuhudia hotuba za kibabe, Kiburi na zinazokatisha tamaa!?
Tungekua na Bensaanane humu na Azory angekua zake MCL saivi.Wala tundulissu asingemiminiwa risasi 37
What!?Tungekua na Bensaanane humu na Azory angekua zake MCL saivi.
Hili ni Tatizo.
Dah..ndoho bhabha..eli nhamhala lyenelye liche duhu
😤😤😤Dah..
Ndabo ugwichi chenchemela palungu dhabi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah... Ngwiza ingoma...ngwiza isikhalo...[emoji41][emoji36][emoji36][emoji36]
Tena ataboresha steshen za SGR2020 ni Membe
Kama huna la maana la kuongea kaa kimyaMzuqa
Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.
Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.
Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.
Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!
Cc: ras jeff kapita
Aisee kushinda iyo makitu ni ngumu yani one in 300 million. Ni Mungu tu akiamua yani haina utaalam wowoteUlishindaga ile bet ya mamilion?
ACHA POROJO WEWEE JAMVINI. MEMBE LAZIMA AWE RAIS KABLA 2020Kama huna la maana la kuongea kaa kimya