Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

1. Mbowe kwa shauri alilonalo angekuwa mahakamani na JELA !?

2. Tungeshuhudia kesi na vifungo viongozi upinzani Kwa kiasi Hili?

3. Thamani ya Dola ya marekani ingefikia Kiwango hiki cha leo!?


4. Ustawi na umoja wa taifa letu ungemomonyoka kwa kiwango hiki !?

5. Mahusiano na maelekezo mihimili ya 3 Pangekuwa Hivi!?

6. Tungeshuhudia Wabunge na madiwani kuunga juhudi kwa na ya ki pekee Hivi!?

7. Mahusiano kati ya serikali na wafanyabiashara sector binafsi yangefikia hatua hii!?

8. Watumishi maslahi na stahiki zao zingefikia hatua hii!?

9.Wawekezaji wa ndani na nje mahusiano yangefika hatua hii!?

10. Mahusiano kati ya nchi yetu yangeimarika kwa kiasi gani!?

11.Tungejenga reli,Bwawa la umeme na kununua ndege kwa mfumo huu!?

12. Tungeshuhudia hotuba za kibabe, Kiburi na zinazokatisha tamaa!?
Membe angekuwa Rais angeendeleza yale yote aliyoanzisha JK. Do I need to mention them?

Labda hayo yote uliyouliza yasingekuwepo lakini nchi ingekuwa ishauzwa, madawa ya kulevya yanauzwa hadharani mpaka magengeni, na huenda ufisadi ungeingizwa kwenye Katiba kuwa "asiyejihusisha na ufisadi ni adui wa Taifa."

What I'm trying to tell you here ni kwamba tatizo ni CCM.
 
Tungekua na Bensaanane humu na Azory angekua zake MCL saivi.
What!?
tapatalk_1541422708830.jpeg
 
Wapiga dili tusingekuwa na hali mbaya sasaiv,hela ingekuwepo mtaani na foleni za balozini kuomba viza zingekuwa ndefu,bata za dubai na singapore zingeendelea kama kawa.Ila twende mbele turudi nyuma MAGU SIO MTU MZURI HATA KIDOGO.
 
Call the dog a bad name then hang it. Who is naming the dogs with bad names?
 
Mzuqa

Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.

Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.

Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.

Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!

Cc: ras jeff kapita
 
Kuna rafiki zangu flani tulikuwa tukipata msosi mahali usiku, tukaanza kumzungumzia jiwe na mpinzani wake Membe.
Mmoja alisema iwe isiwe jiwe anang'olewa na maccm wenzake, nikamwambia haiwezekani.
Akasema ohoo ccm ina wenyewe na wenyewe hawamtaki jiwe, kama huamini unakumbuka Nkamia alipoinuka na hoja ya kumwongezea jiwe miaka?
Unakumbuka Msekwa alivyomjibu?
Umemsikia Nkamia tena?

Akasema na sasa jiwe anamtumia Musiba na Katibu wa ccm, je umemsikia Msekwa alivyorespond?

Nikamwambia lkn Membe na jiwe ni wale wale tu ni watu wa visasi.
Akajibu, ni kweli Membe ni dhaifu lkn sio sawa na Jiwe;
Akasema hivi;
Heri mtu mwenye "USHETANI kidogo"
KULIKO shetani mwenye utu kidogo

maana yake;
Membe=mtu mwenye ushetani kidogo
Jiwe =shetani mwenye utu kidogo

by rafiki yangu na sio mimi

Haya chagueni wenyewe
 
Mzuqa

Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.

Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.

Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.

Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!

Cc: ras jeff kapita
Kama huna la maana la kuongea kaa kimya
 
Back
Top Bottom