Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mamlaka gani ya kumchagulia mtu jambo la kuongea? Pambafu mkubwa wewe....Kama huna la maana la kuongea kaa kimya
Mzuqa
Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.
Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.
Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.
Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!
Cc: ras jeff kapita
Hiyo treason/Uhaini....mtajikuta mpo jela sasa hv...kasome vizuri sheria ya makosa ya jinai sura ya 16...Mzuqa
Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.
Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.
Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.
Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!
Cc: ras jeff kapita
Mzuqa
Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.
Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.
Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.
Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!
Cc: ras jeff kapita
Alfa Lela Ulela, Eposo...Hekaya za Abunuasi. Tangu lini Mgombe wa CCM akapingwa na Mwanaccm mwenzake kabla ya vipindi viwili kuisha !!!!!Mzuqa
Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.
Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.
Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.
Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!
Cc: ras jeff kapita
Sasa nyie mlikuwa mnapiga Soga tu, kwani Jiwe akiamua uchaguzi ni baada ya miaka 20 mtaongea nini?Kuna rafiki zangu flani tulikuwa tukipata msosi mahali usiku, tukaanza kumzungumzia jiwe na mpinzani wake Membe.
Mmoja alisema iwe isiwe jiwe anang'olewa na maccm wenzake, nikamwambia haiwezekani.
Akasema ohoo ccm ina wenyewe na wenyewe hawamtaki jiwe, kama huamini unakumbuka Nkamia alipoinuka na hoja ya kumwongezea jiwe miaka?
Unakumbuka Msekwa alivyomjibu?
Umemsikia Nkamia tena?
Akasema na sasa jiwe anamtumia Musiba na Katibu wa ccm, je umemsikia Msekwa alivyorespond?
Nikamwambia lkn Membe na jiwe ni wale wale tu ni watu wa visasi.
Akajibu, ni kweli Membe ni dhaifu lkn sio sawa na Jiwe;
Akasema hivi;
Heri mtu mwenye "USHETANI kidogo"
KULIKO shetani mwenye utu kidogo
maana yake;
Membe=mtu mwenye ushetani kidogo
Jiwe =shetani mwenye utu kidogo
by rafiki yangu na sio mimi
Haya chagueni wenyewe
nafikiri umeona mimi sijatiaSasa nyie mlikuwa mnapiga Soga tu, kwani Jiwe akiamua uchaguzi ni baada ya miaka 20 mtaongea nini?
Jema kwetu ni kuwapunguzia wafanyakazi mafao ya kustaafu na hela ikajenge reli na miradi mikubwa mikubwa.CCM hoyeeeeeeeee!!!.....thread nyingine jamani, hivi watanzani jema ni lipi Kwenu ? hivi mazuri yoooote yanayofanyika hatuyaoni. Kukiwa na UFISADI kelele, kukiwa na UDHIBITI na ujenzi wa MIRADI kelele. sasa jema ni lipi kwenu ?
Tulia wewee Membe lazima awe raisHiyo treason/Uhaini....mtajikuta mpo jela sasa hv...kasome vizuri sheria ya makosa ya jinai sura ya 16...
Wewe unaongea hayo wakati hata haupo Tanzania, sasa sijui huo uchumi kuporomoka umeuona mwenyewe au unahadithiwa tu
Sasa nyie mlikuwa mnapiga Soga tu, kwani Jiwe akiamua uchaguzi ni baada ya miaka 20 mtaongea nini?
Mmesha jikaanga kwa mafuta yenu wenyeweKwa thread kama hiz team Membe tunaonekana hatupo serious.