Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Mzuqa

Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.

Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.

Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.

Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!

Cc: ras jeff kapita


Usiwe mpumbavu wewe, Membe is a useless man, si mchumi ila ni mwizi tu. Jamaa aliiba sana enzi zake na kumchagua yeye ni sawa na kumrudisha Kikwete madarakani. Hatumuhitaji.
 
Mzuqa

Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.

Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.

Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.

Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!

Cc: ras jeff kapita
Hiyo treason/Uhaini....mtajikuta mpo jela sasa hv...kasome vizuri sheria ya makosa ya jinai sura ya 16...
 
Mzuqa

Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.

Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.

Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.

Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!

Cc: ras jeff kapita

Huu ni uhaini kwa serikali tukufu
 
Mzuqa

Rais ajaye mwanadiplomasia aliyetukuka na kachero mbobezi "Joshua" wa Tanzania ndugu Benerd Kamillius Membe tunamtahadharisha.

Akizidi kunyamaza wakati taifa linafilisika kwa kasi ya ajabu tutamvamia kwake ama popote alipo nakumsimika, kumuapisha kuwa rais kwa LAZIMA kabla 2020.

Lazima tufanye hivyo. Lazima tuchukue hatua za lazima na maksudi kwa mustakabali thabiti na manufaa mapana ya taifa letu.

Membe chukua iyo tahadhari LAZIMA UWE RAIS hamna namna!

Cc: ras jeff kapita
Alfa Lela Ulela, Eposo...Hekaya za Abunuasi. Tangu lini Mgombe wa CCM akapingwa na Mwanaccm mwenzake kabla ya vipindi viwili kuisha !!!!!
 
Kuna rafiki zangu flani tulikuwa tukipata msosi mahali usiku, tukaanza kumzungumzia jiwe na mpinzani wake Membe.
Mmoja alisema iwe isiwe jiwe anang'olewa na maccm wenzake, nikamwambia haiwezekani.
Akasema ohoo ccm ina wenyewe na wenyewe hawamtaki jiwe, kama huamini unakumbuka Nkamia alipoinuka na hoja ya kumwongezea jiwe miaka?
Unakumbuka Msekwa alivyomjibu?
Umemsikia Nkamia tena?

Akasema na sasa jiwe anamtumia Musiba na Katibu wa ccm, je umemsikia Msekwa alivyorespond?

Nikamwambia lkn Membe na jiwe ni wale wale tu ni watu wa visasi.
Akajibu, ni kweli Membe ni dhaifu lkn sio sawa na Jiwe;
Akasema hivi;
Heri mtu mwenye "USHETANI kidogo"
KULIKO shetani mwenye utu kidogo

maana yake;
Membe=mtu mwenye ushetani kidogo
Jiwe =shetani mwenye utu kidogo

by rafiki yangu na sio mimi

Haya chagueni wenyewe
Sasa nyie mlikuwa mnapiga Soga tu, kwani Jiwe akiamua uchaguzi ni baada ya miaka 20 mtaongea nini?
 
thread nyingine jamani, hivi watanzani jema ni lipi Kwenu ? hivi mazuri yoooote yanayofanyika hatuyaoni. Kukiwa na UFISADI kelele, kukiwa na UDHIBITI na ujenzi wa MIRADI kelele. sasa jema ni lipi kwenu ?
 
Maskini EL., upepo umebadilika... ELIMU; ELIMU; ELIMU,,, fffyekelea mbaliii... MABADILIKOO,,, fffyekelea mbaliii,,, walioimba 'TUNAIMAANII... wametupa jongoo na mti wake... #KaziNaBata",,,wweka ndani... waliyemkataa 2015 anakuwa JIWE LA PAMBENI... mdogomdogo kuelekea 2020... Naomba Mwenyezi MUNGU atuweke hai kushuhudia kauli ya "BWANA HARUSI HAKOSI MSINDIKIZAJI"
 
thread nyingine jamani, hivi watanzani jema ni lipi Kwenu ? hivi mazuri yoooote yanayofanyika hatuyaoni. Kukiwa na UFISADI kelele, kukiwa na UDHIBITI na ujenzi wa MIRADI kelele. sasa jema ni lipi kwenu ?
Jema kwetu ni kuwapunguzia wafanyakazi mafao ya kustaafu na hela ikajenge reli na miradi mikubwa mikubwa.CCM hoyeeeeeeeee!!!.....
 
Mdomo wangu tulia, kwa hili usiongee lolote,
Nitasubiri matokeo itakavyokuwa ni sawa tu.
 
Back
Top Bottom