Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Ana uzoefu mkubwa wa mambo ya ndani na nje ya nchi. Amekuwa waziri wa mambo ya ndani na kufanya vizuri sana. Anahitajika kurudisha uhusiano mzuri wa Tz na jumuiya ya kimataifa. Ni mtu mwenye kuthubutu. Ni jiwe walilolikataa waashi, litakuwa jiwe kuu la pembeni, Ukawa...2020?
 
Siasa Ni biashara, Siasa Ni Vita inaitwa mnyama kumla mnyama. Apotee mtu, alaumiwe mtu watu wabaki salama, maslahi ibaki salama

Hii Vita Kati ya wanasiasa yote Ni Kama laana ya Vita. Uadui Kati na wanachama na wanachama wengine wanaoshika nafasi tofauti katika uwanja wa Siasa na Jamii.

Waswasi wangu ni kwamba hii itahusisha mashirika, makachero, vyombo vya usalama vya nchi na vile vyombo vya kimataifa.(Geopolitical and intelligence)

Hi nadharia Ni mpya hapa nchini. Lakini lazima itakuwa ishatokea kokote kule duniani. Kimaslahi inaathari kwa wananchi(civilian) na mifumo (system).

Kwa wale wanataaluma hapa Kuna wale wa kushoto,kulia na kati kimitazamo.
 
[emoji4][emoji4][emoji4]
tapatalk_1544105171819.jpeg
 
Salam!
Kiukweli Mimi iwapo Mungu ataruhusu Membe agombee urais. Mimi Kwa hiyari yangu nitajinyima angalau pamoja na hii hali nitachangia japo 200000/-
Ila kama itashindikana tutamsapoti atakaye pitishwa na chama.
 
Mkuu vitu vingine unapaswa utafakari sana. Hivi unadhani kwamba Raisi Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM atajiweka kwenye mazingira ya CCM kuteua mgombea wa CCM mbadala wake? HUyu Magufuli ninayemfahamu au mwingine? Au hujaona tayari ameshajiwekea mazingira kwamba hilo lisiwezekane hata kidogo?
Hajiamini
 
Anza kunichangia Mimi kwanza ambae nitakua mpiga kampeni wa membe
 
Kwenye medani ya soka Tanzania, kuna taasisi kubwa 2 na Imara - Yanga SC na Simba SC..

Hata uwatengeneze akina Azam na misuli yao ya kiuchumi, bado IMANI ya wapenda soka nchini ni Yanga na Simba - kama mchezaji hujafikia kiwango cha kucheza mle basi CV yako kama mwanasoka is questionable; ni hivyo hivyo kwa wanataaluma - kama hujaweza kusoma course yoyote UDSM pamoja na ujingaujinga wao wa siku hizi basi you haven't lived your scholarly life to the fullest..

Sasa najiuliza, hizi timu Membe na timu Lowassa ndani ya CCM ni TAASISI kamili sasa? Ni DINI kamili? Maana piga ua garagaza ukiwa mwanaccm lazima uangukie kwenye Timu hizi mbili ili udumu katika Siasa. Hata mwenyeketi mwenyewe tunamwona hatua kwa hatua sasa anajitambulisha na TIMU mojawapo, huku akituma vijana wake kuishambulia na kuididimiza TIMU nyingine... Mwenyekiti alianza kum-court Lowassa na sasa anakula na kuwastarehesha wanataasisi muhimu wa Timu Lowassa - the Mwang'ondas and the Rostams..

These two guys must be pretty SMART therefore - Lowassa na Membe, badala ya kupambana nao kwa ngumi na mitutu heri wangewatambua tu hata kuziita kumbi za Mikutano Lumumba na Kizota kwa majina yao - labda hata yule mwenye nia ya kuliviringisha Jiwe(Mzigo wa dhambi ya mauti) kutoka kwenye mlango wa Ikulu angetulia - ukiwa na PhD lazima uwe na uwezo wa kudeal na issues scientifically, siyo kutumia maguvu tu, swine!

Hongereni Timu Lowassa na Timu Membe...hadi Jiwe kujaribu kutengeneza Identity yake ndani ya CCM lakini akashindwa na akwarudia hakika nyinyi ni magwiji wa siasa za nchi hii - hasa Mzee mzima Edo, hizo nywele nyeupe hukupewa bure Mzee Baba

Hope in future nitaona Taasisi ya Siasa na Uchumi ya Edward Lowassa CCM ama Chuo Kikuu Dsm; Taasisi ya Siasa na Diplomasia ya Bernd Membe CCM ama Chuo Kikuu Dsm!
 
Back
Top Bottom