Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa.......!Chi chi emu mna wewe cheka nyieView attachment 960831
Mkuu acha kukariri!!Siku hizi Lowassa kawa mzanzibar mpaka awemgombea mwenza wa Seif?.
Eti nini Membe hanaushawishi mpange na jiwe afu wape haki sawa utanambiaHizi ndo hesabu za mvurugano.wapinzani wameamua kukokotoa hesabu hizi kimakusudi kuwatibua ccm.bashiru kwa ugeni wa kazi na kukosa uzoefu wa siasa halisi katibuliwa.anakuja kuonekana kituko.siasa hazisomewi.
Wapinzani wanaamini membe ana ushawishi wa watu flani ndani ya ccm.wanataka wamtumie avuruge ndani...amtie jakamoyo mheshimiwa.wanaamini inaweza mnyima raha mkuu.
Wanajumlisha na january ndani ya nyumba ili naye ahusike kutibua maji wnayokunywa wana ccm.january yupo makini.hatoi matamko.anajipanga.kwa mwaka 2020 hawa wote hawana matumaini mahesabu yao ni mwaka 2025.ambako pia wasahau.kwa nini?
Magufuli atakuwa anamweka mtu wake.hawezi waachia hao watu hata iweje.najua yupo smart katika hili.lakini pia wakati wa uchaguzi ccm hupingana na wapinzani wote ili wabaki wao waendelee kutawala.
Hesabu za mvurugano zinakosa majibu yanayotakiwa sababu mtu kama membe ni mdogo sana asiye na ushawishi wowote ndani ya chama.atafutwe mwingine
2020. Ni MembeKwa sasa makamanda hawaoni hawasikii. Wao ni Membe tu tangu waamkapo hadi walalapo. Hata Mbowe wamesahau kuwa anasota lupango, au yule mgonjwa wa kule ubelgiji ndio wamemsahau kabisaa.
kwani amekatazwa[emoji196]Msitake kuwagombanisha watu na Raisi wao.
Utaratibu ulioubalika ni kwamba Raisi anagombea katika vipindi viwili, hivyo awamu ijayo raisi atagombea tena.
rais sadam huseni wa Libya[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji216] [emoji216] [emoji90] [emoji90]Khaa! Hata togwa inakulevya!
ndyo Hana ushawishi wowote ndani ya Chama. Mnamtengenezea sifa asizokuwa nazo.Eti nini Membe hanaushawishi mpange na jiwe afu wape haki sawa utanambia
Unaelewa maana ya kutia NIA?Well said lkn sioni kama hilo linaweza kutokea ktk bara la Africa na nchi zake zilizomo kwni nchi nyingi za kiafrica demokrasia ipo upande mmoja tu wa chama tawala kwa wakati huo nasi kwa vyama vyote kwn kwetu upinzani ndan na nje ya chama ni uadui mkubwa ambao kiongoz yoyote aliyeko madarakani hapendi kuusikia kwan kwa mawazo ya viongoz wengi nikwamba upinzani ndan ya chama chake au nje ya chama chake unahatarisha usalama wa utawala wao hvyo njia pekee ya kujilinda na mtu yoyote mwenye nia ya kutaka kujinadi mapma sera zake ni kumpa kashikashi za kila aina ili kumdhoofisha so kwayanayotokea hpa kwetu sio mageni na kamwe uliyoyaeleza hayawezi kutokea zaid na zaid tuendelee kusbir wnye mamlaka watuamulie wachaguane kbsa ksha sisi tutmize jukumu letu kikatba kupga kura ilihali mshindi anajulkana.......#tukutane2020
Nitafurah kma utanielewsha.....Unaelewa maana ya kutia NIA?