mbasha mazengo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 630
- 588
Habari.
Ni tofauti na sasa tumekuwa tukiongopewa, nawaomba mwanaccm hii ni fursa yenu. Kukitoa chama kwenye makucha ya uongo na kukipeleka kwenye ukweli.
Maana chama chenu kina kauli " Nitaongea ukweli daima, uongo kwangu mwiko "
Mabeberu wana mbinu nyinyi sana na kwenye mikataba yao hutumia lugha ya kiingereza, sasa kama rais hatakuwa hayupo vizuri kwenye lugha tutabingwa za uzo.
Nawatakia mabadiliko mema mwanaccm.
mr mkiki. View attachment 955259View attachment 955261
Wewe kama umepewa mgao wa kampeni kula pesa membe hana jipyaHabari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
====
Inawezekana maana ndiyo sifa yetu kubwaYaani nyote ni wanafiki Kazi+Bata
Ataoteshwa muda ukifika malaika watamshauri direct nini cha kufanya!Kwa kauli yake hii bado una hoja hiyo hiyo?
Ila sio ya watekaji na wauaji kama ya jiwejambo moja nna uhakika, serikali ingekuwa ya kisanii kama ya mkwere!.
Wala tundulissu asingemiminiwa risasi 37Membe angekuwa rais leo hii Akwelina asingekuwa kaburini, Angekuwa zake chuo anajiandaa na mitiani ya kufunga semester.
Naunga mkono hoja!ndoho bhabha..eli nhamhala lyenelye liche duhu
Namkubali sana membe uwaziri wake wa mambo ya nnje uliipigia debe Tz ndo kupata taasisi mingi kutoka ughaibuni madola kupatikana kwa wingi ajira zilikua masha alaah akipewa urais membe mwenyeji sana ughaibuni atapanda .ara kadhaa mambo yatakaa sawa kwa nchi za kiafrica lazima utengeneze ukaribu na hawa weupe maana unahitaji pesa yao hasa hujawabi fika kwao hata mara 1 unaogopa nni sijui membe chukua mkwasa tusongeshe taifa mbele