Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Naita Membe kwa sauti kubwa.
Membe mtu unayejua diplomasia ya uchumi na mbobezi uliyetukuka nakuita mzee popote ulipo njoo Benard Membe.
Kwa Tz they don't need all those things.Naita Membe kwa sauti kubwa.
Membe mtu unayejua diplomasia ya uchumi na mbobezi uliyetukuka nakuita mzee popote ulipo njoo Benard Membe.
Huyu jamaa mbona anapata Kick sana Jf
Sababu ya yule Musiba wa Tanzanite [emoji23][emoji23] View attachment 913193
tunataka awe raisi sio waziriHadi sasa hivi bado sijaelewa kwanini huyu jamaa anapata kick sana kwenye social network?
Nahisi anaweza kuchukua nafasi ya Mahinga
mkuu nishtue na mimiSasa wacha tu nisubscraibu kote mpaka nijue kulikoni
Huyo huyoDuh kumbe naye bado ana nia ya kwenda white house? Si ndiye yule aliyesema Marekani wanamuunga mkono?
Kwani Marekani hawana uchaguzi ili akagombee?Huyo huyo
Habari za Weekend.
Ni yeye tu sasa hivi ndiye tegemeo letu. Hamna namna LAZIMA awe rais.
tunataka awe raisi sio waziri