Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Tunaitaka Tanzania yenye furaha na amani, tunaitaka Tanzania ile yenye viongozi wanaoheshimu sheria na katiba ya nchi yetu, Tanzania iliyosifika kwa uimara wa diplomasia na Ushirikiano wa kimataifa , Tunaitaka Tanzania yenye viongozi wanaohezhimu wananchi wake, viongozi wanaoheshimu utu na faragha ya wananchi, tunaitaka Tanzania ile yenye viongozi wanaoheshimu haki za binadamu.
Mboga imechacha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ngoja tusubiri 2020!
Huko visiwani mumepanga kufanya mauwaji ya halaiki dhidi ya Act wazalendo

Huku bara mumepanga njama za wizi mkubwa wa aina yake wa kura

Ila observers watakuja kutoka dunia mzima tunachotaka ni dunia ione halafu hata mukisababisha machafuko msakwe na kukamatwa.

Mumezoea wale observers wa Afrika ambao huwa munawapeleka ngongoro kuzubalia wanyama wakati mnapofanya wizi wenu
 
Back
Top Bottom