Mboga imechachaTunaitaka Tanzania yenye furaha na amani, tunaitaka Tanzania ile yenye viongozi wanaoheshimu sheria na katiba ya nchi yetu, Tanzania iliyosifika kwa uimara wa diplomasia na Ushirikiano wa kimataifa , Tunaitaka Tanzania yenye viongozi wanaohezhimu wananchi wake, viongozi wanaoheshimu utu na faragha ya wananchi, tunaitaka Tanzania ile yenye viongozi wanaoheshimu haki za binadamu.
Anagombea kupitia saccos ya Chadema au?
Hujamalizia kipenzi cha waTZ anayeogopa uchaguzi kama ukoma! Kama Adui wa watanzania!!!CCM tunaye Magufuli kipenzi cha watz. Najua Chadema bado hawajapata mgombea jitahidi mchukue huyo anaweza kuwa saidia mkuu!
Akili unazo kweli! HongeraAtakuwaje kipenzi cha watz then aogope uchaguzi? Wanaoogopa ni wale wanakimbia uchaguzi kama saccos ya Chadema!
Anaogopa uchafuzi wa serikali za.mitaa ataachaje kumuogopa Jasusi??Hilo jina mkilitaja kesho kikao cha NEC litajadiliwa maana kiazi anamuogopa membe sijawahi kuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imeshachuja, Chadema ni taasisi imara.saccos ya Chadema
Hiyo Cd haiuziki tena mumeshachokwa.Kumbe!!
Huko visiwani mumepanga kufanya mauwaji ya halaiki dhidi ya Act wazalendoHaya ngoja tusubiri 2020!