Huko jumba jeupe la Giningi lipo jiwe linamsikia tu... narudia tena
Tunataka kumponza mzee huyu...
7. Ana ujasiri usiomithilikaMembe atosha!
Sababu kuu za kwenda na Membe
1. Amejiandaa kuwa rais
2. Ni jasusi aliyebobea anaijua nchi nje ndani
3. Ni mwanadiplomasia mkomavu anajua kucheza na siasa za kimataifa, atasaidia sana kushawishi wawekezaji
4. Ni mstaarabu, mpole na mwenye kupiga hesabu kwa kila hatua
5. Ana akili nyingi sana, ana First class chuo kikuu, hivyo ana IQ kubwa sana
6. Hatoumiza wapinzani, kuwanunua kwa sababu anaamini katika siasa za hoja na maswala.
Cammilius 2020 Atosha
Yes He Can!
Inawezekana kweliSidhani kama ni bahati mbaya, inawezekena kuna timu iliyoundwa kwa ustadi wa hali ya juu kabisaaaa
Ina maana mnamaanisha NapeNaona kuna upepo wa mabadiliko ya mtizamo ndani ya chama.....Membe haiko peke yake
Binaadamu hamna shukurani JPM kajitahidi kujenga hii nchi kwa kuleta SGR, flyover, Dreamliner stingler, nidhamu kazini nk....ila mnaona hafai mnamletea mpizani mapema hata kabla ya mhula wa kwanza kuisha, CCM hamna shukurani kabisa mnataka viongozi mafisadi tu.Hilo jiwe lina hati miliki ya hii nchi? Watu wanaweza kumzungumzia yoyote anayeweza hiyo nafasi baada ya kuona aliyeko hafikii lengo tarajiwa.
Jiwe lisome alama za nyakati wenye chama hawapendezwi na udereva wakeHuko jumba jeupe la Giningi lipo jiwe linamsikia tu... narudia tena
Tunataka kumponza mzee huyu...
Ues he is clean in his body and soul, why can't we elect this intelect man?Mkuu Ndio mtanzania ambaye ANAKUBALIKA KTK NYANJA YA KITAIFA NA KIDUNIA .
Kwa ufupi, TUNDU LISSU , hana mawaa mawaaaa ni Msafi.
'Opinions are like assholes,everyone has one'.sasa hivi hata sisi wana ccm tunajuta sema ni kimyakimya hakuna anayesema kiukweli mwenyekiti ana kasoro nyingi .tunaongozwa kwa "mkono wa chuma"
Ndani ya CCM, nje waliamini adui yao mkubwa ni Tundu Lissu na walibuni njia za “ku dili “ nae nje ya bunge.Hivi sauti zinazomtaja Membe zinatoka ndani ya ccm ama nje ya CCM, maana mpaka sasa sielewi kuhusu hizi kelele lengo lao ni lipi.... Zaidi nasikia Membe! Membe!Membe! Membe.
Kwa anayejua kuhusu hizi kelele zinakoanzia na zinakoelekea anifafanulie tafadhali.
Wacha watu watoe maoni yao, Membe hapa hahusiki kabisa.Huko jumba jeupe la Giningi lipo jiwe linamsikia tu... narudia tena
Tunataka kumponza mzee huyu...
Hakuna mipango yoyote inayoendelea! We ushaona wapi mipango ya kubadili katiba ya chama tawala ili raisi aliyepo madarakani abadilishwe inafanyikia Jamii forum? Ni kwamba hakuna matukio hot ya kudiscuss sasa inatafutwa mada tu ilimradi Jamii forum ichangamke. Jamii ya ma GT taratibu tunaanza kuwa ma GLAnawasikia na anaona mipango yenu inavyo endelea ... Mmesahau kuwa yeye NI malaika kiongozi ... ?
Hana silolijua ... Mnamtaftia balaa tu mwenzenu Membe Kama namuona kwa 2019 woote atakavyo jambishwa na kutiwa kashkash ili kumdhoofidsha na nia yake Ovu ya kutaka kumpiku Malaika Jiwe ...