Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Kama unakumbuka jinsi mugabe alivyosalitiwa na aliowaamini,Mnangagwa alikuwa mpambe wa Mugabe lkn ndiyealieendesha mapinduzi ya rafiki yake Mugabe.

Membe anaweza kuandika historia hasa ukizingatia yeye ni nani ndani ya System ya usalama
 
Basi watachemka.
 
Katiba yenu ya chama kwani inasemaje,?
Siyo kwamba hadi afikishe miaka 10 au kuna uwezekano wa kuishia miaka mi5 kwa huyu aliyeko madarakani sasa
 
Sgr, stingler zipo wapi? Maneno?? Flyover zenyewe ni za Jk, hakuna mradi mpya.
 

Jpm ametoa shilingi ngapi kwenye mshahara wake kwenye hiyo miradi? Hata akitoka miradi itaendelea kuwepo kwani miradi imeanza yeye alipokuwa rais? Kama ameshindwa kuheshimu box la kura ngoja awekwe pembeni waingie watakaofuata sheria na miradi itakuwepo. Mpaka kufikia sasa deni la taifa limepanda kiasi gani ili tulinganishe na hiyo miradi inayotumika kuhalalisha uvunjifu wa demokrasia?
 
Sauti zipi mkuu????
 
 
Kwa hiyo unataka kuniambia hizi kelele ni mikakati ya ndani ya CCM?..

Mbona kama uchochezi uko nje zaidi kuliko ndani.
Ndani ya CCM, nje waliamini Adium yao mkubwa ni Tundu Lissu na walibuni njia za “ku dili “ nae nje ya bunge.
 
Membe asirudi nyuma,muhimu ni kuwa katiba ya CCM inaruhusu mwanachama yeyote kugombea 2020 kwa nafasi yoyote.

Binafsi namuona Membe akishinda kwa kishindo kura za maoni ndani ya chama na kupeperusha bendera ya ccm.

Ni vyema watu wa ccm wakajiandaa kisaikolojia kupokea mgombea mpya atakaeirudisha Tanzania kwenye medani za kimataifa
 
Kwa hiyo unataka kuniambia hizi kelele ni mikakati ya ndani ya CCM?..

Mbona kama uchochezi uko nje zaidi kuliko ndani.
Sasa ulitaka ndani waandamane? Ni mpaka nguo zianikwe ndiyo unajua kuwa jirani yako leo alifua.
 

Hiyo ndio siasa, hakuna mwenye hati miliki ya cheo cha urais. Hujaona kuna kelele za kutaka katiba ibadilishwe ili atawale zaidi? Kuna ubaya gani wakijitokeza wengine kuonyesha hafai hata kuvuka miaka mitano?
 
Wewe huoni humu katika nyuzi kumi nne za Membe, unadhani hili swala lipo kibahati mbaya ama watu wamekurupuka tu....

Lazima kuna kitu nyuma ya pazia iwe ndani ya ccm ama nje ya ccm.
Sauti zipi mkuu????
 
Hiyo ndio siasa, hakuna mwenye hati miliki ya cheo cha urais. Hujaona kuna kelele za kutaka katiba ibadilishwe ili atawale zaidi? Kuna ubaya gani wakijitokeza wengine kuonyesha hafai hata kuvuka miaka mitano?
Kwa hiyo hizi kelele ni ndani ya ccm ama nje ya ccm.?
 
Sgr, stingler zipo wapi? Maneno?? Flyover zenyewe ni za Jk, hakuna mradi mpya.
Bado miaka miwili, SGR utaiona tu bombandier na dreamliner madaraja vyote vipo.....apewe mda tu viwanda kila siku vinaongezeka sasa vimefika 1208 mwaka huu tu.
 
Kwa hiyo unataka kuniambia hizi kelele ni mikakati ya ndani ya CCM?..

Mbona kama uchochezi uko nje zaidi kuliko ndani.

Kwani wanaotaka Mbowe atoke ni wa ndani ya cdm? Hiyo ndio siasa unachochea moto. Hata kwenye mpira kuna kufanya mashambulizi kwenye goli la adui mpaka ajifunge.
 
Siasa za makundi ndani ya CCM zilimfanya mtu aokote dodo chini ya mnazi, Safari hii 2020 hakuna kurudia makosa.

Anachopaswa kufanya Membe ni kuwa na Ujasiri wa kuchukua fomu tu, mengine atwachie wananchi!,

Naamini ujasiri wa kuchukua fomu anao ni suala la kwenda kuichukua tu!
 
Kwa hiyo hizi kelele ni ndani ya ccm ama nje ya ccm.?

Hizi kelele ni za ndani ya nchi. Kumbuka rais wa nchi hachaguliwi na wanaccm tu. Usishangae hizi kelele zikasababisha serekali ikaamua kununua korosho za wakulima kilo sh. 5,000 ili kuzima hizi kelele za Membe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…