Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Mkuu namna pekee ya Member kugombea urais kwa ticket ya ccm,ni mpaka raise Magufuli atangaze kwamba hatagombea urais mwaka 2020.
Lakini Kama rais Magufuli ataamua kutetea kiti cake,Members atasubiri Hadi mwaka 2025,ambapo umri utakuwa umemtupa mkono.
Anaweza kuwa mgombea was chama kingine akiamua kuondoka ccm Kama ilivyokuwa kwa lowassa mwaka 2015.
 
Watanzania saizi yao JPM hawahitaji rais mpole watamsumbua. Walimsumbua sana JK na Mwinyi. JPM hadi 2030
 
Wachawi hujisifia sana na zile ndege zao za kichawi aka UNGO lakini ukiwaambia toeni basi ufanunuzi hadharani ili watu wote waelewe na waweze kuzitumia hawataki mpaka uwe mchawi na ukiwa mchawi tena masharti kibao na yakumuudhi Mweyezi Mungu muumba mbingu na ardhi, WAZUNGU mbona ndege zao hazina masharti na huruka muda wooote na watu woote tunaziona
angani?

Tabia hizi za wachawi wa Africa huwezi kuzitofautisha sana na aina ya maisha ya wana CCM na tabia za KICCM, Adui namba moja wa Tanzania na maendeleo ya watanzania ni CCM na wanachama wake woote maana hawa ni aina fulani ya mfumo ambao upo kwa ajili ya kuinyonya damu tanzania.
 
Tulitaka mabadiliko na Madiliko ndiyo chini ya Mh; Dr; John Pombe Joseph Magufuli.

Hivi ukimuangalia Membe kwa utulivu tu atakuletea kitu cha tofauti na alichoacha Jakaya Kikwete? ni kweli mabadiliko wakiyoyataka Watanzania 2015 walitaka mabadiliko ambayo ukimuangalia Membe anaweza kujitofautisha yeye na JK? Sioni hilo ila mabadiliko ya kweli yapo chini ya JPM until 2025.
 
View attachment 913562
Kila niionapo hii picha huwa nafarijika sana huku nikiwaza siku yake ya kuapishwa pale uwanja wa Taifa akinamama akina baba wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu watakavyozimia kwa furaha.


Huyu si ndiyo kale kajamaa kalikokuwa kanakula njama na wazungu wa migodi na kulikosesha taifa fedha za kigeni? Hata iweje hawezi kuwa rais wa nchi hii, atendelea kupiga kelele tu mpaka ataachana na siasa. Hapa rais ni Magufuli tu no matter what.
 
JPM alikiri wazi kuwa ile kazi ni ngumu na hakuitaka. Si vibaya akipata wakumsaidia!
JPM alikiri wazi kuwa ile kazi ni ngumu na hakuitaka. Si vibaya akipata wakumsaidia! vinginevyo ajitokeze hadharani nakusema jamani hii kazi ya uraisi sasa naiweza mwanzoni nikama niliiona ngumu
 
Humtaki magufuli we na nani?
 
Kuanza kufikiria raisi mwingine ili hali aliyopo madarakani anadaiwa kuwa kipenz cha watu si habari njema hata kidogo hasa ukizingatia kuna miaka 7 mbele.
Je hakuna mwingine vichwani mwetu afaae zaidi ya membe au yeye ndiye tumemtoa chambo aanze wengine wafatie
Mimi namuona Hussein Mwinyi ni kijana mtulivu na mwenye busara

Leta majina mengine kwa 2020 october
 
Sijaelewa membe tena 2020 aiwezekani ata kwa dawa kama amjui mtaona 2020
 
urais wa magu ulikuwa N gift from heaven
na Wala haukutokana na mpasuko wa hizi team mbili.
pia ile battle Kati ya membe vs lowassa ilikuwa ni njia tu.ya kumpitisha Mr john.
Mr john anawindwa sanaa. (rohoni na mwilini) na bahat mbaya hilo hatambui .hata Yule aliyempa zawadi (Above all) nadhani Anajuta au atampindua coz ya mambo yake
swala la membe vs lowassa
wote wapo na agenda moja na wote wapo "Mahali pa moja"
isipokuwa sasa.wote wanautamani uraisi na hilo haliwez kuwa na marais wa wili ndan ya Taifa moja.
ushauri wangu.wakubaliane kuwa Nani awe rais/Nani agombee hapo wataenda Sawaaa lakin bahat mbaya wote hapo HAWAWEZI KUWA MARAIS.
 
Kwa nn membe na sio upinzani? Bado tuna hamu ya ccm kutawala?


Upinzani hakuna mtu wa kuongoza hii nchi.....si Lissu, Lowassa, Zitto, Lema, Mbowe.....wote hawa ni vikaragosi tu na wababaishaji. Magufuli mbele kwa mbele kwa tu.
 
Duh kwa hyo unamaanisha bora ccm iendelee kutawala? Mm nilitegemea ungemuelezea mgombea wa upinzani anayefaa na atayekuea raisi, lakini tunarudia makosa yaleyale ya kutaka ccm iendelee kutawala tena kupitia membe!
Ingependeza lakn mpaka sasa hskuna nyota inayong'ara upinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…