Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Haya bhana naona ukawa wamemsajili ila so kwa anko kumtoa
 
Wengi Wape!
Kuanza kufikiria raisi mwingine ili hali aliyopo madarakani anadaiwa kuwa kipenz cha watu si habari njema hata kidogo hasa ukizingatia kuna miaka 7 mbele.
Je hakuna mwingine vichwani mwetu afaae zaidi ya membe au yeye ndiye tumemtoa chambo aanze wengine wafatie
Mimi namuona Hussein Mwinyi ni kijana mtulivu na mwenye busara

Leta majina mengine kwa 2020 october
 
Huyu si ndiyo kale kajamaa kalikokuwa kanakula njama na wazungu wa migodi na kulikosesha taifa fedha za kigeni? Hata iweje hawezi kuwa rais wa nchi hii, atendelea kupiga kelele tu mpaka ataachana na siasa. Hapa rais ni Magufuli tu no matter what.
Magufuli mwenyewe kasema yeye ni "chizi"....raisi anayekula njama..na Raisi CHIZI yupi bora?!
 
Membe 2020
Yes he can!

Cammilius Songa mbele mzee baba
Kosa siyo kufanya kosa
Kosa ni kurudia kosa!

Cha maana utuonyeshe kuwa kweli unautaka uraisi
Na uwe jasiri kuchukua fomu
The rest atuachie sisi wananchi!
Nachokiona 2020 ni uchaguzi wa mauaji ya halaiki,Magufuli ameshaunda kikosi cha wauaji nje ya system ya TISS,ameshajua kuwa hatakiwi na wanachama wengi wa CCM na watanzania pia.
Kitakachotokea ni watu kuanza kupotezwa na kutekwa kuelekea 2020.
 
Baada ya Jana na Leo kufululiza thread za hiki kichwa adimu, aghalabu nyoyo za wadanganyika zimepata faraja, pengine faraja na neema tulizoziishi enzi za baba Ritz zinatarejea.
1. Mmefanana hulka
2. Umakini
3. Upole na kusikiliza maoni ya watu
4. Ubobezi wa kidiplomasia
5. Halafu wote mlianzia mambo ya nje
6. Marafaki wa mataifa
7. Very smart katika maamuzi
Twende na Membe 2020
Kwa Tanzania hii ya vichwa maji kama nyie CCM itatawala milele.

Mmeacha kujadili mjadala muhimu wa korosho mnajadili uhaini ?[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Baada ya Jana na Leo kufululiza thread za hiki kichwa adimu, aghalabu nyoyo za wadanganyika zimepata faraja, pengine faraja na neema tulizoziishi enzi za baba Ritz zinatarejea.
1. Mmefanana hulka
2. Umakini
3. Upole na kusikiliza maoni ya watu
4. Ubobezi wa kidiplomasia
5. Halafu wote mlianzia mambo ya nje
6. Marafaki wa mataifa
7. Very smart katika maamuzi
Twende na Membe 2020
2020 kwa kanuni za chama chetu ni JPM anatetea kiti hao wengine wasubiri 2025. hizo propaganda mnazoanzisha hazina mashiko. BADO TUNA IMANI NA JPM TUNAHITAJI HUDUMA YAKE HADI 2025 KUNA MAMBO MENGI YANAHITAJI YEYE KAMA YEYE AWEZE KUYASHUGHULIKIA IKIBIDI AENDELEE TU HADI 2035
 
...kwa hiyo wewe na akili zako kabisa unaamini Membe anaweza kuwa rais wa nchi hii mzuri ?!!.....hizo nafasi alizobebwabebwa ndio kipimo mnachompimia..?
....hamko serious kabisa
Kama wengine wameweza kwa nn yeye ashindwe
 
Back
Top Bottom