Sijui nani yuko nyuma ya mchezo huu..!?Mbona hamsemi kuna nini huko?
Kuanza kufikiria raisi mwingine ili hali aliyopo madarakani anadaiwa kuwa kipenz cha watu si habari njema hata kidogo hasa ukizingatia kuna miaka 7 mbele.
Je hakuna mwingine vichwani mwetu afaae zaidi ya membe au yeye ndiye tumemtoa chambo aanze wengine wafatie
Mimi namuona Hussein Mwinyi ni kijana mtulivu na mwenye busara
Leta majina mengine kwa 2020 october
Magufuli mwenyewe kasema yeye ni "chizi"....raisi anayekula njama..na Raisi CHIZI yupi bora?!Huyu si ndiyo kale kajamaa kalikokuwa kanakula njama na wazungu wa migodi na kulikosesha taifa fedha za kigeni? Hata iweje hawezi kuwa rais wa nchi hii, atendelea kupiga kelele tu mpaka ataachana na siasa. Hapa rais ni Magufuli tu no matter what.
Wafia wa chatto..!Miluzi mingi humpoteza mbwa, wahenga walinena.
Mkuu usiishi kwa kukariri inawezekana kutokea tena kabla ya hiyo 2020.Sijaelewa membe tena 2020 aiwezekani ata kwa dawa kama amjui mtaona 2020
Nachokiona 2020 ni uchaguzi wa mauaji ya halaiki,Magufuli ameshaunda kikosi cha wauaji nje ya system ya TISS,ameshajua kuwa hatakiwi na wanachama wengi wa CCM na watanzania pia.Membe 2020
Yes he can!
Cammilius Songa mbele mzee baba
Kosa siyo kufanya kosa
Kosa ni kurudia kosa!
Cha maana utuonyeshe kuwa kweli unautaka uraisi
Na uwe jasiri kuchukua fomu
The rest atuachie sisi wananchi!
Mkishagalagazwa mkwara wenu mnaingiza jeshi safari hii tutaona hata wao wanamuelelewa Trump.Hiyo itakuwa 2050
Hivi katiba ndani ya CCM si ilishabadilishwa kwamba aliyepo sasa hatapingwa 2020 hadi amalize awamu yake!!?? Labda mimi sikuelewa hili......Membe ndie Rais 2020,
Inyeshe mvua, liwake Jua,
#JiweMustGo
Haiko katika katibaAtagombea kupitia chama gani? Maana kwa CCM wana utaratibu wa kumwachia Rais aliyepo madarakani, labda kama utaratibu utabadilishwa. Membe asijitafutie mabalaa.
Kha we jamaa unaleta matukio ya 2016! Hebu jiongeze bana!
Kwa Tanzania hii ya vichwa maji kama nyie CCM itatawala milele.Baada ya Jana na Leo kufululiza thread za hiki kichwa adimu, aghalabu nyoyo za wadanganyika zimepata faraja, pengine faraja na neema tulizoziishi enzi za baba Ritz zinatarejea.
1. Mmefanana hulka
2. Umakini
3. Upole na kusikiliza maoni ya watu
4. Ubobezi wa kidiplomasia
5. Halafu wote mlianzia mambo ya nje
6. Marafaki wa mataifa
7. Very smart katika maamuzi
Twende na Membe 2020
2020 kwa kanuni za chama chetu ni JPM anatetea kiti hao wengine wasubiri 2025. hizo propaganda mnazoanzisha hazina mashiko. BADO TUNA IMANI NA JPM TUNAHITAJI HUDUMA YAKE HADI 2025 KUNA MAMBO MENGI YANAHITAJI YEYE KAMA YEYE AWEZE KUYASHUGHULIKIA IKIBIDI AENDELEE TU HADI 2035Baada ya Jana na Leo kufululiza thread za hiki kichwa adimu, aghalabu nyoyo za wadanganyika zimepata faraja, pengine faraja na neema tulizoziishi enzi za baba Ritz zinatarejea.
1. Mmefanana hulka
2. Umakini
3. Upole na kusikiliza maoni ya watu
4. Ubobezi wa kidiplomasia
5. Halafu wote mlianzia mambo ya nje
6. Marafaki wa mataifa
7. Very smart katika maamuzi
Twende na Membe 2020
Wanafanya uhaini mkuuAtagombea kupitia chama gani? Maana kwa CCM wana utaratibu wa kumwachia Rais aliyepo madarakani, labda kama utaratibu utabadilishwa. Membe asijitafutie mabalaa.
Hawajui huu unaweza kusababisha uhaini?You are causing a serious problem upon him!! Sure I tell you
Kama wengine wameweza kwa nn yeye ashindwe...kwa hiyo wewe na akili zako kabisa unaamini Membe anaweza kuwa rais wa nchi hii mzuri ?!!.....hizo nafasi alizobebwabebwa ndio kipimo mnachompimia..?
....hamko serious kabisa