Katika ya watu wasiofaa kuongoza ni huyu unaempigia debe. Acha kuleta masihala kwenye suala la uongozi wa nchiHabari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
====
Membe tuvushe TANZANIA inakuhitaji ni wewe utakayerejesha tumaini jipya sisi wanaccm wenzio tunakuhitaji upeperushe bendera 2020
Iwe giza iwe nuru. Iwe usiku iwe mchana Membe LAZIMA awe rais kabla 2020
Mkuu wangu, ukweli ni kwamba JPM alistahili nafasi nyingine zaidi kuliko nafasi ya Urais! Angeweza kufanya vizuri zaidi endapo angekuwa, let's say, Waziri Mkuu ili nafasi ya kufanya maamuzi ya mwisho ikiwa chini ya watu wenye maono, busara na ushawishi wa kimataifa!
Wasaliti huwa hawaishi mkuu na watu wa karibu yako Mara nyingi ndo hukumalizaUna uhakika na ulisemalo jamaa keshajidhatiti kaweka watu wake watiifu kila kona Mabeyo Sirro hao ni wawili hivi unafikiri Jpm Hajui
Back to the subject: 2020 CCM Waende na Bernard Membe?
Hii naona ni kama kujadili uwezekano wa Ziwa Victoria kuwa na iceberg kwa sababu, at least as for now, hilo la Membe for CCM haliwezi kutokea kwa sababu za wazi kabisa unless kama mjadala uwe 2020 Twende na Bernard Membe na kutoa hiyo CCM ambayo, ima fahima, itaendelea na JPM hata kama leo ataamua kuhamishia.
Naongezea kutekwa, kupotea kwa watu na operation za kikatiri za MKIRU ndani ya miaka mitatu hii.Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
====
Matusi ndiyo kiwanda pekee kilichofanikiwa hapo Ufipa
Kumbe wewe huwa unatiwa?Shubaamit mtoto wa watu.Asante mkuu mjuaji naona umelipuka kama umetiwa petrol, vijisenti vya kupewa ili uwe mpiga debe vinawatoa akili kabisa mtatahiriwa magovi uzeeni ohooo shauri zenu.
Nawaonea huru ma mnavyojifariji..Ili kukata mzizi wa fitina usio na jina, nimejitolea kusafiri kutoka hapa Mtwara hadi mkoani Lindi kwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa Jasusi Mstaafu Benard Camilius Membe kumuuliza bila kumliza. Nimepewa taarifa zenye kila aina ya sifa kuwa kwasasa hupatikana sana kwake Lindi. Pia, nitapitia Mtama kujionea 'maendeleo yasiyo na upendeleo' jimboni humo.
Nikifika kwake nitamuuliza: 'Wana baraka zako?'. Maana wanakutaja kwa haja na tija kila mara kwenye vyombo vya habari. Ghafla bin vuu umeletwa juu. Unasema kuwa ni mbadala wa aliyeko madarakani, tena ni 2020. Wapigachapuo wako wanachagiza habari zako na picha mbalimbali zinazoakisi jinsi walivyokumisi siasani. Nakuja tutete Benard.
Katika siasa, kwa uzoefu wangu wa chamani, Serikalini na kwenye vyombo vyetu, hakuna jambo la kulipuuza. Kila anayetajwa au kila kinachotajwa hupaswa kuchambuliwa na si kupuuziwa. Hupaswa kujadiliwa badala ya kudhihakiwa. Hupaswa kuchujwa badala ya kufujwa. Hupaswa kuzingatiwa badala ya kukataliwa. Benard, nakuja kusikia neon lako.
I hope, our meeting will be a memorable one. Stay tuned!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mtwara kwenye korosho)
Kwenye rangi nyekundu sijakusoma mkuu.....Nawaonea huru ma mnavyojifariji..
Ugipa nyie endeleeni kujifia tu!
Kumbe wewe huwa unatiwa?Shubaamit mtoto wa watu.
Kabixa yan wote ni vilevile yan dah tanzania tumelaaniwaHana lolote ni walewale tu yule mwingine alikuja kwa mbwembwe akatuacha na shida zetu kama kawaida
Kakanyagiwe mbali huko.Umeona ehee mtoto wa watu kamjua mtoto wawatu mwenzie. Shubaamit .
Nawaonea huru ma mnavyojifariji..
Ugipa nyie endeleeni kujifia tu!