Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

sijui huyo membe wenu kawapa sh.ngapi?
Kumbe Magu amewalipa sio?!!!!!! Aaaaaaa ndio maana UKASUKU mwingi. Kazi kwenu ila sie twataka KATIBA ifatwe baada ya miaka 5 warudi ulingoni wachapane kwani shida iko wapi?
 
Kumbe Magu amewalipa sio?!!!!!! Aaaaaaa ndio maana UKASUKU mwingi. Kazi kwenu ila sie twataka KATIBA ifatwe baada ya miaka 5 warudi ulingoni wachapane kwani shida iko wapi?
harudi mtu.......T 2020 JPM
 
kwani nani alimweka?, c nyie wenyewe ,mnamwogopa nn sasa, amueni kumtoa kama hamuwez kaeni kimya tu, sababu mnatutia hasira tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…