Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Mkapa aliposhindwa kuliweka chagua lake 2005 tukampata JMK.. 2015 alipojaribu kuliweka chagua lake BKM ikashindikana na Mkapa akapi ndua matokeo tukampata jiwe ambae anamlaumu Mkapa kwa kuchangia umaskini wa wa Tanzania. Labda wanataka jiwe liyeyuke na Membe apewe usukani..
 
Au safari ya Jk juzi Ikulu ina uhusiano na hizi tetesi? Tutamuunga mkono Membe kwa nguvu zote.
 
Watchout majasusi wametapakaa mtandaonii..
Hampo salama kiasi hiko
 
Asante mkuu mjuaji naona umelipuka kama umetiwa petrol, vijisenti vya kupewa ili uwe mpiga debe vinawatoa akili kabisa mtatahiriwa magovi uzeeni ohooo shauri zenu.
Una jeuri ya kumfungia nani wapi wewe? Usiwe mropokaji! Na siyo kwamba sikuelewa jibu, ni kwamba huelewi au hujui kujibu unachoulizwa. Kuelewa unachoulizwa ni nusu ya jibu.
 
Makosa makubwa waliyofanya ccm ni kumpa jiwe uenyekiti wa chama.

Jk alipaswa kuendelea kuwa mwenyekiti wa ccm then kamati kuu ingekuwa ina uwezo na nguvu za kumuita Rais kumuhoji


Mmeshasahu nyie ndio mlikuwa mnashabikia Na kulaumu Jakaya kuchelewa kukabidhi Uenyekiti

Wengi wenu mliwekeza Chuki Kwa Jakaya Kwa Kiwango Cha juu ya kadiri
 
Huyu jamaa mbona anapata Kick sana Jf
Chadrama wote wamehamia CCM WALAHI
347968B8-119C-40F0-8A78-32F4BD3E6856.jpeg
UVCCM OYEEEE
BABICHA ZIIIIII WALAHI
 
asijefika mto jordan akakuta mamba kama “baba” raila..
 
Makosa makubwa waliyofanya ccm ni kumpa jiwe uenyekiti wa chama.

Jk alipaswa kuendelea kuwa mwenyekiti wa ccm then kamati kuu ingekuwa ina uwezo na nguvu za kumuita Rais kumuhoji
KATIKA JIWE HILI NITALIJENGA KANISA NA MALANGO YA KUZIMU HAYATA LIWEZA JIWE HILI WALAHI
NIMEMPA FUNGUO ZA UFALME WA MBINGUNI, KILA ATAKACHO FUNGA DUNIANI MBINGUNI KITAFUNGWA NA ATAKACHO FUNGUA MBINGUNI KITAFUNGULIWA . HUU NDIO URITHI WA JIWE WALAHI
 
Makosa makubwa waliyofanya ccm ni kumpa jiwe uenyekiti wa chama.

Jk alipaswa kuendelea kuwa mwenyekiti wa ccm then kamati kuu ingekuwa ina uwezo na nguvu za kumuita Rais kumuhoji

Membe ndio president 2020,haina ubishi wajanja wameshashtuka, anaondoka
 
Mpaka sasa bado sijaelewa kabisa. Nipo gizani kabisa.
Kuna nini kinaendelea?@
 
Kama bado Watanzania wanafikiri uraisi wa nchi ni kama kumtafuta “masiha” basi hatuna la maana katika dunia ya leo. Yaani kuna watu wanaoamini kabisa kuwa Membe ni jawabu eti “ana afadhali”! Acha tuendelee kutawaliwa kifalme/kidikteta na vikundi vya wateule.
 
Back
Top Bottom