Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Kwakweli WanaJF tujaribu kuwa na kiasi angalau kuhusu hili la Mzee Membe. Kulingana na mwenendo wa hali ya kisiasa hapa nchini kitu kikimkwaza 😵huwa anaonesha wazi kuwa huyo anayewavutia wengi ni kikwazo kwake katika mikakati yake ya kulazimisha kukubaliwa na hadhira yake. Kwasababu hii tu, naomba tuwe na kiasi kuhusu Membe tutamchonganisha na 😵 pia tutawasababishia wa Kusini kutengwa kimoja kama Mbeya...
 
Aaahh kwa haraka haraka utagundua Vijana wa Lumumba upande wa Jiwe ndo hawahawa walofungua nyuzi zakujifanya wanampenda Membe ,ili mradi tu kujaribu kupenyezesha mpango wa membe alonao.

Hapo ndo tunarudi kulee ,jiwe alipopiga marufuku wanachama kuanza kuanza kupiga kampeni zao mapema.


Kwa ufupi..ukiwa na akili ya kawaida, utaona km ni Wafuasi wa membe...lkn kihalisia ni wafuasi wa JIWE ..namwisho Membe atajitoa mwenyewe..

Kimkakati, na Membe ni Mwanasiasa Nguli na mzito WALA HAWEZI KAA AANZISHE VIJIKAMPENI VYA KIPUUZI NAVYOVIONA HUMU .


Hata ivo Rais Ajaye ni Tundu Lissu .
 
A62061CF-3872-4727-A522-6DFAC6F5A9D7.jpeg
 
Aaahh kwa haraka haraka utagundua Vijana wa Lumumba upande wa Jiwe ndo hawahawa walofungua nyuzi zakujifanya wanampenda Membe ,ili mradi tu kujaribu kupenyezesha mpango wa membe alonao.

Hapo ndo tunarudi kulee ,jiwe alipopiga marufuku wanachama kuanza kuanza kupiga kampeni zao mapema.


Kwa ufupi..ukiwa na akili ya kawaida, utaona km ni Wafuasi wa membe...lkn kihalisia ni wafuasi wa JIWE ..namwisho Membe atajitoa mwenyewe..

Kimkakati, na Membe ni Mwanasiasa Nguli na mzito WALA HAWEZI KAA AANZISHE VIJIKAMPENI VYA KIPUUZI NAVYOVIONA HUMU .


Hata ivo Rais Ajaye ni Tundu Lissu .

True naunga mkono hoja Rais ajaye ni TUNDU LISSU na makamo Bi FATUMA KARUME

Hawa ndio watu waliobaki wanaaminika katika jamii ya watu wengi.
 
Mnatuchanganya sana na misamiati hii.

Mara "fend font" na wewe unakuja na 'phont fage' maana ya yote haya ni ipi? Haya nyingine hiyo "FONT FED"!
Imenibidi leo nitumie nafasi hii na mimi nijifunze mapya nisiendelee kubaki 'analog', wakati kila kitu ni digitali!
Muulize rais wako neno sahihi ni lipi kati ya haya?
 
Naona mnajitekenya alafu mwacheka. Kumbukeni mambo ya kujigusa gusa mwilini ili upate kicheko waweza sababisha matatizo mengine.
 
JEHOVAH TUNAPIGA MAGOTI NA KUGARAGARA USIKIE KILIO CHETU ili Mr BC Membe awe Joshua wetu kutupeleka kanaani.AMEN
 
Hakika atatufaa sana. Democrasia ya uchumi nje na ndani. Rejea hotuba sahihi dongo kwa MO uzinduzi kiwanda alzeti Singida , mtu wa kuitwa Ikulu chai nk ......hawataki kujenga viwanda..... wengine wa hapa hapa.... hata watu protocol mtu kama yule kaachwa kakaa kwa watazamaji. Member could have done more professional
 
Brothers and Sisters.

We wanted Bernard K Membe to be handed power peacefully before 2020 but due to the respect and adherent of constitution we had no choice but to wait for those two years which is like ages.

So we are just putting this clear that there should be a smooth transion of power to Membe 2020. This should be done peacefuly with utmost public trust.

Our nation is in turmoil as if there no one there to manage. Everything is going down politically, economically and socially. There is meltdown in everything because of mismanagement.

We need a presidential material who will bring back the faith and trust of Tanzanians. Who will fight the just cause of economic stability in every aspect of national interest.

And there is no one can do all these except the undisputed intelligence officer and charismatic, smart and brilliant diplomat BERNARD KAMILLUS MEMBE.
 
Back
Top Bottom