Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Ccm vipande vipande
Mtangoja sana walahi
CCM NI SHINA LA MBUYU HALITIKISIKI MILELE WALAHI
C097FFB4-B1DC-4F61-AD8E-CFB18A95858B.jpeg
 
Chadrama mnathibitisha CCM NI YA MILELE WALAHI
 
naona povu la kutosha toka vijana wa lumumba! bila shaka hawa ni miongoni mwa vijana wanaovuna mahala ambapo hawakupanda, hivyo wanaogopa upepo kubadilika. JPM ataondoka madarakani iwe 2020 au 2025! na akitoka tu mtapata taabu sana!
 
Ndio maana kwa mawazo haya ya upinzani, CCM kuitoa madarakani itakua sio mchezo rahisi.

Magu ndiye Mwenyekiti wa CCM,Amiri jeshi mkuu,"sponsor mkuu",Anateua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi etc na kwa mujibu wa katiba hii ya sasa he's the most powerful man in the country.

Sasa huyo Membe unayemsema sijui ana nini cha kumfanya awe powerful kiasi cha kumteteresha Magu?usije ukaanza kusema ooh sijui ni "spy master" maana ndio story zenu za gahawa.

Simtetei Magu lkn huo ndio ukweli na sanasana hizi thread zinampa Membe tabu sana huko aliko,2020 tuombe uzima hakuna wa kum challenge Magu sanasana tuwaze 2025 kama atakubali kutoka madarakani.
 
Ndio maana kwa mawazo haya ya upinzani, CCM kuitoa madarakani itakua sio mchezo rahisi.

Magu ndiye Mwenyekiti wa CCM,Amiri jeshi mkuu,"sponsor mkuu",Anateua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi etc na kwa mujibu wa katiba hii ya sasa he's the most powerful man in the country.

Sasa huyo Membe unayemsema sijui ana nini cha kumfanya awe powerful kiasi cha kumteteresha Magu?usije ukaanza kusema ooh sijui ni "spy master" maana ndio story zenu za gahawa.

Simtetei Magu lkn huo ndio ukweli na sanasana hizi thread zinampa Membe tabu sana huko aliko,2020 tuombe uzima hakuna wa kum challenge Magu sanasana tuwaze 2025 kama atakubali kutoka madarakani.
Kila anayemtoa Membe kwenye reli, point kubwa ni 'vitisho'. Linganisheni qualities za hawa wawili kwa hoja na sio vitisho vingiiiiii hivi...
 
Anawasikia na anaona mipango yenu inavyo endelea ... Mmesahau kuwa yeye NI malaika kiongozi ... ?

Hana silolijua ... Mnamtaftia balaa tu mwenzenu Membe Kama namuona kwa 2019 woote atakavyo jambishwa na kutiwa kashkash ili kumdhoofidsha na nia yake Ovu ya kutaka kumpiku Malaika Jiwe ...
 
Kila anayemtoa Membe kwenye reli, point kubwa ni 'vitisho'. Linganisheni qualities za hawa wawili kwa hoja na sio vitisho vingiiiiii hivi...
Membe ana quality gani?Hebu ziandike hapa?

Membe huyu huyu aliyesema akipata urais sijui maadui zake 10 watakimbia nchi?

Membe huyu ambae Magu alivyoingia madarakani tu,Membe akaanza kumsnitch Jk eti tulikua tunapishana njiani huko Angani kama nyumbani kumeungua moto sijui nini.

Huyu huyu aliyesemaga eti ntafanya press kuelezea muelekeo wa nchi mara paap kaufyata mkia.
 
Back
Top Bottom