Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Kumekuwa na ubishani mkubwa kwamba Membe hawezi kumtoa Magufuli 2020 kwa sababu katika historia ya Tanzania hilo halikuwahi kutokea. Mimi nasema hapana,yote yanawezekana na sababu zipo lukuki!

Nikiangalia kwa upande wa CCM Mwanadiplomasia Bernard Membe ndiyo mtu pekee anayeweza kupindua meza kibabe pale CCM.

Acheni mawazo duni. Mbona babu zetu waliamini Nyerere na wenzake wangeweza kupindua meza kibabe ya mkoloni. Iliwezekana vipi?Ni mikakati kabambe inahitajika na siyo jambo la kitoto.

Sababu za Membe kufanikiwa hili ni nyingi kuliko kushindwa kwake.

1. Kutokubalika kwa Magufuli ndani na nje ya CCM

2. Kukosekana kwa utengamano wa kweli

3. Nia ya kuirudisha Tz kimataifa

4. Nia ya kurudisha mchakato wa Katiba ya Watanzania

5.nk

........... itaendelea(nitafafanua)

Kwa hiyo tuamini utekaji unaoendelea inawezekana ni mpango wa kumchafua JPM???
 
Ndio maana kwa mawazo haya ya upinzani, CCM kuitoa madarakani itakua sio mchezo rahisi.

Magu ndiye Mwenyekiti wa CCM,Amiri jeshi mkuu,"sponsor mkuu",Anateua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi etc na kwa mujibu wa katiba hii ya sasa he's the most powerful man in the country.

Sasa huyo Membe unayemsema sijui ana nini cha kumfanya awe powerful kiasi cha kumteteresha Magu?usije ukaanza kusema ooh sijui ni "spy master" maana ndio story zenu za gahawa.

Simtetei Magu lkn huo ndio ukweli na sanasana hizi thread zinampa Membe tabu sana huko aliko,2020 tuombe uzima hakuna wa kum challenge Magu sanasana tuwaze 2025 kama atakubali kutoka madarakani.
2025 kama atakubali kutoka madarakani???kwanini asitoke wakati katiba haimruhusu...or ashaonesha dalili za uchu wa madaraka??
 
Habari za muda mabibi na mabwana!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.

Karibuni kwa maoni yenu.
Tinga Tinga Forever. Mtasubiri sana Vibaraka. Urais hauolkotwi.
 
Katiba inasema miaka mitano. Hiyo saba labda akatawale kijijini kwenu huko. 2025 mwisho ateuliwe mwingine kama katiba inavyoagiza
Tunaenda na Magu mpaka 2022 ( Miaka 7 awamu ya kwanza) then anatuchukua awamu ya pili mpaka 2029 akimaliza hana cha kuongeza muda then ndio tunaanza kujadili wengine wa kumrithi
 
Tusiyo na vyama mmetuacha nje. Kuna kundi linasema Katiba ya CCM ilibadilishwa ili kuruhusu mgombea wake aendelee kugombea vipindi viwili, huku wengine wakisema Member 2020.

Kwa nini msipost hapa ibara za Katiba kwa wale wanaosema imebadilishwa post hapa hicho kifungu, kadhalika na wale wanaosema anaweza kugimbea na wao wapost hapa kifungu kinachomruhusu kugonbea .

Ninaamini kwa kufanya hivyo mtakuwa mnakata ushindani usio na maana. Tusaidieni kwa hilo.
 
Kwa kumponda Membe kwa arguments nyepesi kama hizi, nimeshaelewa unasimama wapi. CCM ni taasisi kubwa na lolote linaweza kutokea hiyo 2020?

Kila unachokiandika ni vitisho tu mkuu, humtendei haki unayemkingia kifua agombee kwa tiketi ya chama hiyo 2020.....
We jua tu ninakosimamia lkn huo ndio ukweli halisi and you can do nothing bout it.
 
Siungi mkono hujuma dhidi ya kiongozi aliyeko madarakani. Namkubali kwa sasa kwa sababu ni rais wangu.

Nakukumbusha tu lolote lawezekana ikiwapo nia....na kamwe usichezee nguvu ya umma.

Jifunze kwa yaliyotokea Libya, Misri na kwingineko.

Watanzania tumpe support kiongozi aliyeko madarakani kutimiza ahadi zake.


Hata kukosoa nako kunasaidia kuyatambua madhaifu yetu
Suala la nguvu ya umma halipo hapa Tanzania ni lakufikirika....tunaangalia upepo unakokwenda
 
Hii nchi inamapoyoyo wengi sana no wonder watawala wetu hata wakitaka kutula matakoni wote tunabinua makalio tu
 
Katika mtu ovyo kabisa iliyewahi kukutana nae basi ni Membe huyo mtu jinga kabisa
 
Au ni miongoni mwa vigogo waliojimilikisha Mali ZA cc M ambao bashiru Kaapa kulala nao Mbele?
 
Alafu mnaosema Membe for 2020, hivi mmeisahau katiba ya ccm sijui ni taratibu yao waliyoipitisha kuwa Magu ndiye mgombea wa 2020? Au Membe ndio atakuja kuwa mgombea wa chadema? Akija Membe basi chadema itazidi kufa.
 
Back
Top Bottom