Teh teh ana nguvu gani sasa?hizo mission za hatari unazosema zilizoshindwa kumfanya akavuka ndani ya CCM 2015 ni zipi tena rafiki yake kipenzi JK akiwa mwenyekiti wa CCM.
Kama angekua na hizo mission za hatari unazosema kwaninihao hao TISS hawakumpigania mpk atoboe kwny michuano instead akapigwa chini kama kawa.
Membe hata kwa ubavu na lowassa kwny mikakati hamuwezi hata kidogo,cheki Lowassa baada ya kapigwa chini na CCM kumbe ana plan B yake kwenda CDM fasta tu wkt Membe yeye yuko Mtama huko.Huyo mtu unamsifiaje ni mtaalam wa strategy?
By the way mtasalimia Mzee Hassy Kitine nadhani unanielewa hapa.
Hio kamati kui ya pwani na kusini inakaa lini ili nije nikukumbushe hapa.