Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

hakika tutafika baba, maana hekima zako si haba...
wale walozoea kuiba, milango yao umekaba...
kama taifa sasa tunashiba,
umepunguza walokuwa soba...
magu we ni jemedari,
tena kamanda wa mwamvuli....
wale walokuwa kiburi,
umewanyosha wamekubali....
Magufuri usife moyo,
maendeleo tunayaona...
wale wanaojifanya poyoyo,
kichwani zimechutama...
 
Lumumba labda wampitishe jamaa kibabe ila kupita ana kazi ngumu ingawaje sasa wapo kimya na itakua kupelekana jela kwa wale wapinzani wakubwa ndani ya chama kwa makosa madogo madogo na makubwa ili mradi apite tuu...
 
Nimecheka sana....eti 'makamba anazidi value ya mwenyejiti wa sasa'.. hatariii.
 
Kwahiyo mkuu unatushauri tuendelee kutawaliwa na hawahawa ccm?

Jitafakari upya tatizo siyo Magufuli ba li tatizo ni ccm, ukikaa na ukatuliza akili utaelielewa hili vizuri, Magufuli ana kura moja tu hata kama ni ya veto, veto huwa haina nguvu ya kushindana na kura nyingi.

Ccm ni mashetani akiwemo huyo Membe, mateso tunayopitia leo hayaletwa na Magufuli bali ni mashetani wa ccm kuikataa rasimu ya katibsa mpya ya Warioba.

Someni biblia mtaelewa vizuri Mungu aliwachapa Waisrael pale walipokengeuka, na Watanzania wanastahili kuishi maisha magumu ili akili ziwarudie.
Kumbe una chuki...!!
 
Jk kaondoka boom ilikua 7500 na baada ya Jpm ni 8500.Unaweza kuja na bajeti ya mikopo elimu ya juu kipind cha jk na jpm?
bora wao walikula na sisi watumishi tukala kwa kupandishiwa mishahara,seminar, posho na kupandishwa madaraja, wanafunzi wala lamba boom na mikopo,jiwe lakotoka limeingia anaenjoy ni Alhaji DAB na genge lake ambaowanaingiza mizigobandalinibila kudaiwa kodi
AONDOKE, AONDOKE AONDOKE........ARUDISHE NCHI YETU
 
Kamwambia jiwe "mwisho wake ni 2020",
Wakuu samahani kwa kuwa outdated
Hivi Membe kafanya nini hasa?! Maana naona ghafla ana trend kila kona ya mtandao
Naomba msaada wa maelezo mafupi wa alichofanya au hata link nisome walau nipate mwanga
 
hakika tutafika baba, maana hekima zako si haba...
wale walozoea kuiba, milango yao umekaba...
kama taifa sasa tunashiba,
umepunguza walokuwa soba...
magu we ni jemedari,
tena kamanda wa mwamvuli....
wale walokuwa kiburi,
umewanyosha wamekubali....
Magufuri usife moyo,
maendeleo tunayaona...
wale wanaojifanya poyoyo,
kichwani zimechutama...

Una moyo!
 
Huyu hapa
tapatalk_1540785265907.jpeg
 
Back
Top Bottom