Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Shukurani kwa maelezo maana wengine na mie ya haya ya chama chao na Membe tunayasoma tu.. kuwaelewa nini haswa kinawasukuma kupiga ramli sana siku hizi na ni wao kwa wao wa ndani ya chama chao.

Kingine ni zile pesa walizoea pia kutumbua hawazioni tena.. matumbo motoooo..

JPM labda nae anatimu humu na kwingine.. inabidi washambulie kuwashushua kwa kuwajibu inavyotakiwa kwa nondo.. maana wanayoandika timu Membe kuvutia watu.. yanaweza pingika kirahisiiiii na kufanya watu wasivutiwe nao.

Na kumpaisha JPM kwa sanaaaaaa
Kumpamdisha JPM kwa sasa ni kazi sana, kosa kubwa alilolifanya ni kuchagua kuwa kila mahali. Katika uongozi hilo ni kosa kubwa mno. Kila jema linalofanyika mahali popote nchini wapambe walishauri ionekane ni yeye kafanya, na yeye kwa kupenda sifa akakubali na ikaonekana ni vema. Lakini kinyume chake hakiwezi kuwa sahihi, kanuni inakataa. Walitaka kuaminisha Umma kwamba wanapoona mazuri kwao wajue yameletwa na JPM, watu wakashangilia, wakataka kuaminisha kwamba mkiona mabaya kwenu basi mjue hao ni wapinga maendeleo; Hapo ndo watu wameshituka baada ya matukio matatu yaliyofuatana:-
1.Wabunge wa kusini kutetea fedha za korosho kwa maslahi ya wakulima wao na karipio walilopata toka kwa JPM mwenyewe hadi kutishiwa kupigwa shangazi zake Majaliwa.
2.Kuporomoka kwa bei ya korosho na maigizo ya JPM kujifanya kuwa mtatuzi pekee wa tatizo kiasi cha kukataa hadharani wanunuzi waluotafutwa na PM. Kwa hili wananchi wanajua chanzo cha tatizo ni yeye.
3. 25% Pensheni ni kanuni iliyowekwa na serikali ya JPM yenyewe na bunge kupitia Spika Ndugai lilikanusha kuhusika na kwa Mara ya kwanza Ndugai akamsifu waziri kivuli anayetokana na upinzani Esther Bulaya eti kwa kutoa ufafanuzi uliptukuka kuhusu kanuni ya 25% pensheni mkupuo.
***
Ukiangalia matukio hayo matatu tu mbali nabkwamba kuna mengine mengi, lakini haya yamesaidia kuwafumbua macho wananchi wengi hata waliokuwa vipofu kujua kuwa yule anayewaletea mazuri (machache/madogo) ndiye huyohuyo anayewasababishia mabaya (mengi/makubwa).
Kiongozi wa juu hapaswi kujiweka kila mahali Bali anapaswa kuwekwa kila mahali. Wengi humu tumesoma angalau kufikia elimu ya sekondari, mnajua hali ilivyokuwa kwenye shule ambayo Headmaster/mistress anaonekana katika kila tukio. Yaani kila asubuhi yupo paredi, mazingira anakagua yeye, shambani ni yeye, uwanjani timu ya shule anapanga yeye, adhabu - fimbo anachapa yeye; Halafu ETI heshima yake iliendelea kuwa juu hata timu ya shule ilipofungwa, mazao yalipoharibika shambani au shule iliposhuka kitaaluma.
**YEYOTE ANAYETAKA KUAMINISHA WATU MAZURI KALETA YEYE, ASICHUKIE ANAPOAMBIWA MABAYA PIA KASABABISHA YEYE**
 
mimi si mfuasi wa siasa za Tz maana ndizo zimetufikisha hapa lakini lazma nitoe mtazamo wangu kwa hili.

Membe anaweza kuwa na haiba ya Kikwete ambaye kwa kipindi hicho naye alipwaya (japo anasafishwa kutokana na madhaifu ya aliyepo), lakini Membe hana uwezo ambao kikwete alikuwa nao.Wakati akiwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa hakuwa fanya kitu cha mshangao na alipokuwa akihojiwa sikuona substance na charisma ya kiuongozi simply alibebwa na mfumo ila alikuwa na uwezo hafifu..

Akheri kwa sasa tunabanwa lakini kuna projects zinafanyika ambazo unaona dhahiri kizazi kijacho kitanufaika ila kumpa nchi Membe ni risk iliyopo dhahiri..

Kwangu mimi Rais ambaye anatakiwa kumrithi Magufuli ni lazma awe mafia yaani aweze kuwa economical diplomat(sio mambo ya kutabasamu hovyo na kusema hawa ni marafiki zetu toka uhuru), Strategist, atakayekubali katiba mpya , visionary, mwenye upendo na uchungu na nchi hii na kadhalika..

Vigezo vyote hivyo Membe hana hata kimoja zaidi ya uswahiba na kufananishwa na Kikwete
Same thoughts insighting his personality, actions and vision
 
Shukurani kwa maelezo maana wengine na mie ya haya ya chama chao na Membe tunayasoma tu.. kuwaelewa nini haswa kinawasukuma kupiga ramli sana siku hizi na ni wao kwa wao wa ndani ya chama chao.

Kingine ni zile pesa walizoea pia kutumbua hawazioni tena.. matumbo motoooo..

JPM labda nae anatimu humu na kwingine.. inabidi washambulie kuwashushua kwa kuwajibu inavyotakiwa kwa nondo.. maana wanayoandika timu Membe kuvutia watu.. yanaweza pingika kirahisiiiii na kufanya watu wasivutiwe nao.

Na kumpaisha JPM kwa sanaaaaaa
Wala usipate shida
Humu kila mmoja mjuaji
Nikuwadharau tu
wanaenda na upepo unakopeleka
Hakuna wakumsumbua JPM kwa sasa wacha wajifurahishe
Uzuri nikuwa Ikitokea tofauti na vile Mtazamo wao wa Ukibendera utaona wanavyo potezea kimya kimya
Magufuli ndie Rais mpaka 2025
Labda mungu pekee aamue vinginevyo
 
Ni mtazamo binafsi lakini wenye kuakisi ukweli... CCM inaandaliwa kuingia kwenye wakati mgumu tena, ni mtifuano wa ndani kwa ndani
. Urais 2020
. CCM asili dhidi ya CCM makinikia(mabaki)
. CCM kindakindaki dhidi ya CCM maslahi (wakuja)
Bernard Camilius Membe diplomat na jasusi wa muda mrefu, mshindwa wa kinyang'anyiro cha urais ngazi ya chama bado hajakubali kushindwa, bado ana ndoto ileile ya kukalia kiti kikubwa na amekamia hasa
Haiba ya Membe ni reincarnation ya haiba ya Kikwete (carefree) ni tofauti kabisa na haiba ya mzee baba KUKAZA hasa.... Membe ni expert mzuri sana kwenye mahusiano ya kimataifa, na pengine kwenye ushushushu lakini si kwenye siasa tena kukalia kiti kikubwa
Kipindi kile wakati wa kutafuta nafasi ya kuteuliwa, hakuonesha tofauti na wanaccm wengine, hakuongea cha ziada, wote walifanana... Hakutupa dira na maono ya tulipotoka, tulipo na tunapoelekea.. Wote katika ujumla wao ndani ya CCM walifanya mahubiri ya kisiasa
Akiwa shina moja na JK, ana sehemu kubwa ya lawama nchi ilipokuwa imefikia kipindi kile, kumpa usukani na kuendelea kuchanja mbuga kuelekea maporini

Sasa basi kwanini nasemwa asibezwe?! Huyu ni tarumbeta ya kupaza sauti ya wanaccm wengi wanaougulia kimyakimya na kushindwa kuongea kwa uwazi, kwa sauti
Huyu ni sauti ya manung'uniko ya wanaccm wengi ambao hawaridhishwi kabisa na mwenendo wa chama kwenye kila kitu lakini kubwa kuliko yote ni kule kuwapa wahamiaji (haramu) madaraka na nafasi za upendeleo... Wanapatwa na hisia kuwa kuna CCM mpya inaundwa taratibu ndani ya CCM halisi (CCM ya mwenyekiti dhidi ya CCM ya wote)
Ni kupitia hayo kwa uchache ndani ya mengi chamani, Membe ananijenga kwa kasi ya ajabu, na harakati zake hizo zilianza mara baada ya uchaguzi mkuu.... Membe ana kundi kubwa nyuma yake.. Ni vigumu kumdhibiti kama walivyodhibitiwa kina Makamba Jr, Lameck, Nape nk.. Huyu ni kada mzoefu chamani na wa muda mrefu... Ametumwa...!!

2019 hiyoo bado siku chache tu, Membe yuko nje ya nchi anakotuhumiwa kupanga mambo yasiyowapendeza watu fulani.. Huku wengine wakiona ni sawa... Hapa ni swala la mizania.. Nani ana wafuasi wengi zaidi wa hiari...
Membe anarudi kukanusha/kujibu tuhuma,.. Anajipanga kisawasawa, ameshaanza kusafishiwa njia na timu zake mitandaoni .... Ni yeye tu ndio anasikika na kujadiliwa... Na kwa sehemu kubwa akisemwa vizuri na akitabiriwa vema... Hivi vitu havifanyiki kwa bahati mbaya... Ni mipango inayosukwa kwa ustadi sana..

Hivyo basi pamoja na kwamba hatoshi kukalia kiti kikubwa, lakini ni tishio kubwa... Akiamua (kwa nguvu ya wapambe wake) ataiteka December yote.... Atavuruga hasa... Atawavuruga.... Na CCM itaingia 2019 ikiwa mapande makubwa matatu
. CCM mwenyekiti
. CCM Membe
. CCM wengine
Ujumbe huo wa Nape unabeba siri kubwa nyuma ya kinachoendelea sasa chamani... Muda utasema.. View attachment 952923
Nimechukua neno " Ila asibezwe" Kwa hali ilivyo.....ila asibezwe ni nafuu kuliko Falsafa ya Bashitelism....bora aje aifyekelee mbali, maana Membe ni mzuri ktk Jino kwa Jino...Upanga kwa Upanga....Mengine tutavumilia kama tunavyovumilia sasa.....

Adui wa Rafiki yako ni Rafiki yangu...
 
Mkuu Mshana Jr kwa jinsi nchi ilivyo sasa ni heri tukarudi tu Misri hata kama Membe anaonekana anamguu mdogo kuliko viatu vyetu, yaani kama tu vile Mkwere alipofanya ile potelea mbali liwalo na liwe na kuamua kumzawadia KITI bwana Jiwe kuliko Mamvi basi na sisi wengine tunasema potelea mbali liwalo na liwe Membe atatutoa porini.

Ila tuwe makini tunaenda kwenye uchaguzi mgumu labda kuliko hata ule wa 2015, watu wengi sana watapoteza maisha maana kumbuka haiba ya weji na DAB ilivyo, ni watu ambao wanaamini zaidi ktk kupoteza na kufuta kabisa.

Mungu atutangulie
.
 
tusimlishe maneno.
CCM ni chama imara chenye mfumo madhubuti, mihula miwili ya urais ni sehemu ya utaratibu wa kudumu na unaheshimiwa na kila mwanachama mtiifu wa ccm akiwemo BM kamwe hawezi kuwa muuasi labda awe nje ya ccm lkn sio ndani ya ccm
Unaishi kwa mazoea huo utaratibu wa kuwapokea wabunge wa upinzani na kuwapa vyeo ulikuwepo?
 
JPM ana hulka ya pekee. Kitakachomtokea BCM kitasimuliwa kwa miongo kadhaa ijayo. R.I.P Kassim Hanga!
 
Same thoughts insighting his personality, actions and vision
I think Tz is full of many fresh minds which can make this nation move forward like never before but the only problem is "uvyama fever"..

People say "we can replace JPM with January Makamba, Mwigulu,Membe"..whats so special about them, is it coz of being popular in the last general election or whatelse. Can they be compared to Zitto Kabwe or Tindu lissu for the contribution and influence they have in this country.. Yaani tunaenda kwa upepo ,sikatai mtu kutoka CCM but ni nani haswaa atakaeweza ,this is still questionable nd it got even worse coz the opposition parties are still under the verge of collapse
 
JPM ana hulka ya pekee. Kitakachomtokea BCM kitasimuliwa kwa miongo kadhaa ijayo. R.I.P Kassim Hanga!
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Kumpamdisha JPM kwa sasa ni kazi sana, kosa kubwa alilolifanya ni kuchagua kuwa kila mahali. Katika uongozi hilo ni kosa kubwa mno. Kila jema linalofanyika mahali popote nchini wapambe walishauri ionekane ni yeye kafanya, na yeye kwa kupenda sifa akakubali na ikaonekana ni vema. Lakini kinyume chake hakiwezi kuwa sahihi, kanuni inakataa. Walitaka kuaminisha Umma kwamba wanapoona mazuri kwao wajue yameletwa na JPM, watu wakashangilia, wakataka kuaminisha kwamba mkiona mabaya kwenu basi mjue hao ni wapinga maendeleo; Hapo ndo watu wameshituka baada ya matukio matatu yaliyofuatana:-
1.Wabunge wa kusini kutetea fedha za korosho kwa maslahi ya wakulima wao na karipio walilopata toka kwa JPM mwenyewe hadi kutishiwa kupigwa shangazi zake Majaliwa.
2.Kuporomoka kwa bei ya korosho na maigizo ya JPM kujifanya kuwa mtatuzi pekee wa tatizo kiasi cha kukataa hadharani wanunuzi waluotafutwa na PM. Kwa hili wananchi wanajua chanzo cha tatizo ni yeye.
3. 25% Pensheni ni kanuni iliyowekwa na serikali ya JPM yenyewe na bunge kupitia Spika Ndugai lilikanusha kuhusika na kwa Mara ya kwanza Ndugai akamsifu waziri kivuli anayetokana na upinzani Esther Bulaya eti kwa kutoa ufafanuzi uliptukuka kuhusu kanuni ya 25% pensheni mkupuo.
***
Ukiangalia matukio hayo matatu tu mbali nabkwamba kuna mengine mengi, lakini haya yamesaidia kuwafumbua macho wananchi wengi hata waliokuwa vipofu kujua kuwa yule anayewaletea mazuri (machache/madogo) ndiye huyohuyo anayewasababishia mabaya (mengi/makubwa).
Kiongozi wa juu hapaswi kujiweka kila mahali Bali anapaswa kuwekwa kila mahali. Wengi humu tumesoma angalau kufikia elimu ya sekondari, mnajua hali ilivyokuwa kwenye shule ambayo Headmaster/mistress anaonekana katika kila tukio. Yaani kila asubuhi yupo paredi, mazingira anakagua yeye, shambani ni yeye, uwanjani timu ya shule anapanga yeye, adhabu - fimbo anachapa yeye; Halafu ETI heshima yake iliendelea kuwa juu hata timu ya shule ilipofungwa, mazao yalipoharibika shambani au shule iliposhuka kitaaluma.
**YEYOTE ANAYETAKA KUAMINISHA WATU MAZURI KALETA YEYE, ASICHUKIE ANAPOAMBIWA MABAYA PIA KASABABISHA YEYE**
Umemaliza mkuu
 
Mkuu vitu vingine unapaswa utafakari sana. Hivi unadhani kwamba Raisi Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM atajiweka kwenye mazingira ya CCM kuteua mgombea wa CCM mbadala wake? HUyu Magufuli ninayemfahamu au mwingine? Au hujaona tayari ameshajiwekea mazingira kwamba hilo lisiwezekane hata kidogo?
Ikiwa hatadhibiti makelele ndani ya chama anaweza kuema basi kazi ni ngumu. Tembo ana nguvu sana lakini kelele zinamtoa kwenye shamaba la maboga!
 
Unaishi kwa mazoea huo utaratibu wa kuwapokea wabunge wa upinzani na kuwapa vyeo ulikuwepo?
Utaratibu huo ulikuwepo hata kwa awamu zilizopita sema umesahau, mfano mbatia aliteuluwa kuwa mbunge na JK
 
Kumpamdisha JPM kwa sasa ni kazi sana, kosa kubwa alilolifanya ni kuchagua kuwa kila mahali. Katika uongozi hilo ni kosa kubwa mno. Kila jema linalofanyika mahali popote nchini wapambe walishauri ionekane ni yeye kafanya, na yeye kwa kupenda sifa akakubali na ikaonekana ni vema. Lakini kinyume chake hakiwezi kuwa sahihi, kanuni inakataa. Walitaka kuaminisha Umma kwamba wanapoona mazuri kwao wajue yameletwa na JPM, watu wakashangilia, wakataka kuaminisha kwamba mkiona mabaya kwenu basi mjue hao ni wapinga maendeleo; Hapo ndo watu wameshituka baada ya matukio matatu yaliyofuatana:-
1.Wabunge wa kusini kutetea fedha za korosho kwa maslahi ya wakulima wao na karipio walilopata toka kwa JPM mwenyewe hadi kutishiwa kupigwa shangazi zake Majaliwa.
2.Kuporomoka kwa bei ya korosho na maigizo ya JPM kujifanya kuwa mtatuzi pekee wa tatizo kiasi cha kukataa hadharani wanunuzi waluotafutwa na PM. Kwa hili wananchi wanajua chanzo cha tatizo ni yeye.
3. 25% Pensheni ni kanuni iliyowekwa na serikali ya JPM yenyewe na bunge kupitia Spika Ndugai lilikanusha kuhusika na kwa Mara ya kwanza Ndugai akamsifu waziri kivuli anayetokana na upinzani Esther Bulaya eti kwa kutoa ufafanuzi uliptukuka kuhusu kanuni ya 25% pensheni mkupuo.
***
Ukiangalia matukio hayo matatu tu mbali nabkwamba kuna mengine mengi, lakini haya yamesaidia kuwafumbua macho wananchi wengi hata waliokuwa vipofu kujua kuwa yule anayewaletea mazuri (machache/madogo) ndiye huyohuyo anayewasababishia mabaya (mengi/makubwa).
Kiongozi wa juu hapaswi kujiweka kila mahali Bali anapaswa kuwekwa kila mahali. Wengi humu tumesoma angalau kufikia elimu ya sekondari, mnajua hali ilivyokuwa kwenye shule ambayo Headmaster/mistress anaonekana katika kila tukio. Yaani kila asubuhi yupo paredi, mazingira anakagua yeye, shambani ni yeye, uwanjani timu ya shule anapanga yeye, adhabu - fimbo anachapa yeye; Halafu ETI heshima yake iliendelea kuwa juu hata timu ya shule ilipofungwa, mazao yalipoharibika shambani au shule iliposhuka kitaaluma.
**YEYOTE ANAYETAKA KUAMINISHA WATU MAZURI KALETA YEYE, ASICHUKIE ANAPOAMBIWA MABAYA PIA KASABABISHA YEYE**

Ipo siku mtaelewa kwa nini wahenga walisema...”Baniani mbaya kiatu chake dawa”
 
Wala usipate shida
Humu kila mmoja mjuaji
Nikuwadharau tu
wanaenda na upepo unakopeleka
Hakuna wakumsumbua JPM kwa sasa wacha wajifurahishe
Uzuri nikuwa Ikitokea tofauti na vile Mtazamo wao wa Ukibendera utaona wanavyo potezea kimya kimya
Magufuli ndie Rais mpaka 2025
Labda mungu pekee aamue vinginevyo
Ulikuwa miongoni mwa wajenga hoja humu JF lakini siku za karibuni uwezo wako umeshuka sana labda kwa vile uwezo wa ccm kujenga hoja pia umeshuka hivyo timu nzima kiwango kimeporomoka hakuna wa kumwinua mwenzake. Unaposema hakuna wa kumsumbua JPM kwa sasa wakati tetesi tu za kujitokeza kwa Membe zimemuibua Katibu mkuu wa CCM utabaki unachekesha walionuna. Kwa taarifa yako JPM anasimbuka tena anasumbuka si kidogo, na hapa BM hajatoa tamko rasmi na udikteta wa siasa za majukwaani bado unaendelea subiri zifumuke utajificha chooni.
Hapo mwisho umesema labda Mungu atende yake kuhusu JPM, nadhani ulimaanisha Mungu amchukue mja wake. Kwa taarifa yako na hili liko wazi tangu tupate Uhuru huyu ni Rais wa kwanza wa JMT kuombewa na wananchi wake ni "bora afe tuchague mwingine". Kiongozi mwingine aliyewahi kuombewa hivyo ni Rais wa Zanzibar kipindi hicho mzee KOMANDO Salmini Amour. Kama hali imefika hapo kwa huyo uliza hali ilikuwaje Zanzibar wakati wa Komando hadi ukafikia wananchi kuchukia uhai wa kiongozi wao?
 
Shukurani kwa maelezo maana wengine na mie ya haya ya chama chao na Membe tunayasoma tu.. kuwaelewa nini haswa kinawasukuma kupiga ramli sana siku hizi na ni wao kwa wao wa ndani ya chama chao.

Kingine ni zile pesa walizoea pia kutumbua hawazioni tena.. matumbo motoooo..

JPM labda nae anatimu humu na kwingine.. inabidi washambulie kuwashushua kwa kuwajibu inavyotakiwa kwa nondo.. maana wanayoandika timu Membe kuvutia watu.. yanaweza pingika kirahisiiiii na kufanya watu wasivutiwe nao.

Na kumpaisha JPM kwa sanaaaaaa
Neno
Vijisenti alivyo navyo ndio hivyo amewapa chadrama mcharuko kwa ajili ya mitandao na nikikwambia visenti ni visenti haswa
Kuna watu aliwafanyisha kazi na ameshindwa kuwalipa, kwa kuwa uzee unamjia kwa kasi na watu walio mzunguka wanachukua kile kidogo alicho nacho
Mdhungu sio mjinga akisha ona unashindwa huwa ana kudrop kama hot potato,
Hata kama mpango ulikuwepo lakini huo mpango umekufa kifo cha milele, yaani amejimaliza kisiasa kabisa, self- elimination
Chadrama mcharuko watapiga debe kama kawaida yao, na watazimwa kama kawaida yao!
Hii ni drama ambayo ni predictable kabisa walahi
 
Back
Top Bottom