Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

Wakati mwingine bwana Mshana Jr , kuna watu huwa wanaweka mtu wao ili huku nyuma wapige mishe zao...

Si ajabu mama akatusua 2025 hata kama hana hiyo nguvu lakini akawa na watu (kwa sauti ya mzee Mpili)...
 
Samia hatakua na mpinzani ndani ya chama 2025 mark my words….

Mchezo wa Samia kukaa hapo alipo ulisukwa kwa ustadi mkubwa sana…

Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015

Trust me Samia is there until the mission accomplished!!

Hii nchi Boys2men wanazichezea siasa zake kwa akili ya juu sana!
Mary Nagu,Asha Rose umekosea katiba inataka rais au naibu mmoja atoke visiwani.!
 
Samahani boys2men ni Kikwete na nani?
Samia hatakua na mpinzani ndani ya chama 2025 mark my words….

Mchezo wa Samia kukaa hapo alipo ulisukwa kwa ustadi mkubwa sana…

Ilikua either Samia, Asha rose au Mary Nagu….2015

Trust me Samia is there until the mission accomplished!!

Hii nchi Boys2men wanazichezea siasa zake kwa akili ya juu sana!
 
Mungu tunaomba utuepushe na Mwigulu Nchemba...Bora Magufuli 10 kuliko yule bwana kwa roho mbaya
 
Kuna kila dalili ndani ya chama mfumo dume umetamalaki na una mizizi mirefu sana. Kuna kundi kubwa huko haliamini katika uwezo wa mwanamke kushika nafasi kuu kwenye utawala/uongozi wa nchi. Wengine ni kutokana na tamaduni mila na desturi zao. Na wengine ni kutokana na unyanyapaa tu na silika za mfumodume zilizojengeka miongoni wao. Ni kati yao hawa wote tayari wanapiga jalamba kuelekea 2025.

Hakuna anayetaka kuharibu lakini kila mmoja anaomba mwenzake aharibikiwe

Kila mmoja ana timu zake zinazodukua na kutafuta taarifa za wengine. Kila mmoja ana wapambe wake, wapiga filimbi wake, chawa wake nknk.. Ni mwendo wa kutafutana kimya kimya!

Vinara front liners au front contenders ni wale wale vijana wetu ndani ya chama wanaotaka kuwapiga chini wazee
Waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa waziri wa mazingira
Aliyewahi kuwa waziri wa afya na utalii pia
Kuna pia yule waziri mwenye asili mbili
Na wengineo

Wote wanajiweka vizuri kielimu.. Tayari wawili wana PhD. Wote kwa nyakati tofauti walipiga pesa ndefu za chama na serikali pia. Wanafahamiana vizuri tu nani alipata ngapi kwenye nini..wote wana miradi mingi na wanaingiza vipato vya kutosha sana

Wote wana ushindani mkubwa sana. Wanataka kuoneshana ubabe wao kwa wao. Huyu waziri wa sasa wa kibubu amepata pa kupigia kiulaiiini sana na ni wazi wenzake wanaona gere kupitiliza, lakini naye hana hakika kama atadumu kwenye hiyo nafasi mpaka 2025 kwahiyo sasa ni mwendo wa chukua chako mapemaaa

Common sharing iliyopo kati ya wote hawa ni moja, hawataki katiba mpya wanajua hicho ni kitanzi cha ndoto zao...! Hi yo basi tutarajie drama za kila aina

Drama za tozo na miamala
Drama za wapingao chanjo
Drama za bidhaa kupanda bei
Drama za usalama nknk

Vitu vidogo vidogo vitakuzwa na kuhakikisha vinabaki midomoni mwa watu kwa muda mrefu. Mama atakimbizwa kimbizwa sana ili wenye mipango yao wajipange vema.

Ni mchakamchaka kuelekea 2025[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996]
Lakini tupo walinzi wa kudumu wa nchi yetu...History will remember us...Just tell them mashimo wanayoyachimba watatumbukia wao wenyewe...
 
Wakati mwingine bwana Mshana Jr , kuna watu huwa wanaweka mtu wao ili huku nyuma wapige mishe zao...

Si ajabu mama akatusua 2025 hata kama hana hiyo nguvu lakini akawa na watu (kwa sauti ya mzee Mpili)...
Nina wasiwasi mkubwa hili linaweza kuja kutimia
 
CHADEMA mtamsimamisha Ndugai 2025 au bado mnasubiri mgombea mwingine toka CCM mwaka 2025? Ninawashauri subirini Dr Babutale akipigwa chini kura za maoni ubunge ili awe mgombea urais wenu.
 
Back
Top Bottom