Urais ni kazi ngumu sana ambayo siyo kila mtu anaiweza

Dahhhh🤣🤣🤣🤣🤣
 
Siku za mwisho kila goti litapigwa mbele za Mungu , kila ulimi utakiri kuwa Tundu Antipas Lissu ndiye rais aliye kwenye mpango wa Mungu na kila mkono utampigia kura Tundu Antipas Lissu kuwa rais wa Tanzania 2025 .
 
Siku za mwisho kila goti litapigwa mbele za Mungu , kila ulimi utakiri kuwa Tundu Antipas Lissu ndiye rais aliye kwenye mpango wa Mungu na kila mkono utampigia kura Tundu Antipas Lissu kuwa rais wa Tanzania 2025 .
Sahihi kabisa
 
Andiko langu lipo wazi na limenyooka kabisa.maana mimi huwa siandiki na kuacha mashimo mashimo nyuma. Ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu mpaka 2030.
Hata maandiko ya mchungaji Msigwa kuhusu Mbowe yalikuwa ya Kumsifia kama Yako kumbe ilikuwa " zilongwa mbali Zitendwa mbali" 😂😂😂😂
 
Headless chicken Lucas Mwashambwa is here again! Kama poyoyo zinaweza nani atashindwa? Ni kama kazi zingine tu!
 
Siku za mwisho kila goti litapigwa mbele za Mungu , kila ulimi utakiri kuwa Tundu Antipas Lissu ndiye rais aliye kwenye mpango wa Mungu na kila mkono utampigia kura Tundu Antipas Lissu kuwa rais wa Tanzania 2025 .
Huyo Lissu hawezi hata kujiongoza. Muulize hela alizochangiwa kununua gari amepeleka wapi?
 
Ungesoma uelewe na siyo kukimbia kutoa maoni yako bila kuelewa mada.Mama anaweza vyema sana na ndio maana hapo mwisho nimeeleza kuwa anatosha na anastahili kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Urais ni kazi sababu kuficha mikataba mibovu kwa zama hizi za kuhoji ni kazi ngumu

Kuficha ufisadi na matumizi mabovu ni kazi ngumu

Kusema watu wanafanya drama wakati wanatekwa ni kazi ngumu

Kuwafuga watu kama Nape ,January na Mwigulu ni kazi ngumu sana,

Kuiba kura TLS Mwabukusi asishinde ni kazi ngumu

Ongezea nyingine umalizie na kazi ngumu sana
 
Ugonjwa huingia kwa haraka na huondoka taratibu. Lucas umeanza kupona taratibu Sasa hatimaye umekiri kwamba huyo bi mkubwa hafai ! Akili zitarudi tu endelea na dozi.
Hapana hajakiri kuwa mama hafai bali lengo lake ni kutoa tahadhari kwa Rais wa TLS Mwabukusi.
 
Kazi ya urais ni rahisi sana ukiwa upande wa haki.Na kazi ngumu na ya kijinga ni kuwa chawa wa mtu na kuanzisha vi thread uchwara vya kumsifu mtu
 
Uraisi ni kazi kubwa ndiyo,lakini mama amejitahidi sana hadi kuifanya tanzania iwe hapo miradi mikubwa yote ya baba aliyoiacha mama ameindeleza na kuimaliza isitoshe ni mwanamke tu.

mama samia mitano tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…