Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Nakushauri upate matibabu ya haraka sanaNakushauri uniheshimu kama unataka mafanikio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushauri upate matibabu ya haraka sanaNakushauri uniheshimu kama unataka mafanikio
Wewe hunaga akili kabisa.kazi yako ni kuropoka ropoka tu kama mlevi wa gongoNdiyo si kila mtu anaweza. Jimama limeshindwa liachie wengine. Na wewe shetani jinga Sana. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Rais Samia anaungwa mkono na mamilioni ya watanzania kwa sababu ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kiuongozi na kuleta matunda ndani ya muda mfupi wa uongozi wakeWewe umeshawahi kuwa rais? Kama ingekuwa hivyo asingekuwa anahangaika hivi na machawa kumpigia kampeni aendelee angeacha aende akakae na mumewe.
We mjinga unachokitafuta utakipataNakushauri upate matibabu ya haraka sana
Uwezo mkubwa wa kuiba mali za ummaRais Samia anaungwa mkono na mamilioni ya watanzania kwa sababu ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kiuongozi na kuleta matunda ndani ya muda mfupi wa uongozi wake
Acha kuropoka ropoka dogo.Uwezo mkubwa wa kuiba mali za umma
Tulia wewe mjingaAcha kuropoka ropoka dogo.
Rais ni mmoja tu katika Taifa hili.Awaondoe msoga gang kwanza maana kawakumbatia , au anawaogopa wata mlaza chini kma jiwe
Rais Samia ni mtu anayeheshimu sana katiba na misingi yote ya katiba.ndio maana anaongoza nchi kwa kuzingatia misingi ya utawala bora.KAZI ngumu NI kueshimu katiba...if the fact doesn't fit the formula ,change the theory not the formula. Kanuni za kuchagua diwani ni Ile ile yakuchahua raisi. UGUMU utaonekana kama Una THEORY zisizo fit KATIBA/FORMULA. Unalalamikia familia Kula Sana badala yakuongeza njia za uzalishaji.
Anaongozwa na msogaRais ni mmoja tu katika Taifa hili.
Anayeita;"Katiba ni makaratasi tu"Rais Samia ni mtu anayeheshimu sana katiba na misingi yote ya katiba.ndio maana anaongoza nchi kwa kuzingatia misingi ya utawala bora.
Kama ingekuwa hivyo tusingekuwa na ma-Rais. Ni kama tulivyokuwa tukiambiwa nilipokuwa mtoto "ukila firigisi hutarefuka" na hivyo kwa kupenda kurefuka, nilijizuia kula firigisi. Hata hivyo, baadaye nilipuuza na nilianza kula nikiwa mdogo. Nikipewa kazi ya kuchinja kuku firigisi nilikuwa naikata vipande viwili: kimoja cha baba ni kingine cha kwangu (lakini ilikuwa Siri yangu).Ndugu zangu Watanzania,
Kama kuna kazi ngumu na nzito na yenye majaribu mazito na mitihani ya kila aina na yenye kukuweka roho juu juu na presha muda wote basi kazi hiyo ni ya Urais. ni kazi nzito ,ni msalaba Mzito ambao mtu hujitwisha Mabegani mwake Ni kazi inayokufanya ukose usingizi,kukosa hamu ya kula chakula,kupumzika,kutulia na familia yako,uhuru wako binafsi na mambo mengine mengi.
Unaweza ukawa waziri mzuri au mkurugenzi mzuri wa taasisi au kampuni lakini usiweze kuongoza nchi hata kwa wiki moja tu kabla ya kujikuta ukitoa matamko yenye Utata,yenye kuleta taharuki na sintofahamu. Kwa sababu urais ni kazi inayohitaji busara,hekima, unyenyekevu,subira,stamina ya kifua, uvumilivu,moyo wa kusamehe, ujasiri, misimamo na kutokukubali kuyumbishwa.
Urais unahitaji kuwa na jicho la tatu hasa katika kupokea na kufanyia kazi ushauri .maana unapaswa kupokea kila taarifa,kila habari,kila tetesi juu ya jambo fulani au mtu fulani au taasisi fulani ili ufanye maamuzi au kutoa neno au tamko lakini Mwisho wa siku wewe ndiye unatakiwa kwa kutumia akili zako ulizopewa na Mungu wako kuchuja na kupima jambo hilo katika usahihi wake usioacha makosa.
Ugumu na uzito wa kazi hii ya Urais ndio maana unaweza kuona mwingine anakonda kila siku au kuzeeka kila siku kwa sababu ya mawazo mazito na majukumu mazito ya kazi hii. Kumbuka unakuwa unaongoza watu ambao kila mmoja ana akili yake na mawazo yake.unaongoza hadi watu ambao hata ufanye jambo gani zuri wao watakupinga na kukukosoa tu.wao kila kitu ufanyacho ni kibaya kwao na hakifai na kinafaa kupingwa .
Kumbuka Urais hata mwananchi wa kijijini huko Mbozi Mkoani Songwe akinyanyaswa na Mgambo au Mtendaji kata anakutupia lawama wewe Rais ambaye upo ikulu Dar au Chamwino Dodoma na kusema kuwa hata kupigia kura uchaguzi ujao.Mgonjwa akijibiwa vibaya na muuguzi au nesi hospitalini au zahanati huko Namanyere au Laela sumbawanga utaona laana na lawama zote anakutupia wewe Rais ambaye upo Dar ukisaidia wajane na yatima chakula .kwa hiyo unaweza ukaona ugumu wa kazi hii ambapo unabeba lawama za kila aina hata kwa mambo ambayo hujafanya wewe wala kuagiza.
Urais ni mgumu na unaohitaji roho ngumu na ya ujasiri na misimamo ya hali ya juu sana katika kufanya Maamuzi ,hususani ya uteuzi,utenguzi na uhamisho wa watendaji na watumishi pamoja na wasaidizi wako. Maana kuna wakati mwingine unaweza hadi kupandikizwa hofu au uoga kuwa fulani usimteue wala kumpa nafasi yoyote ile serikalini kwa kuwa siyo mtu mzuri au hakuungi mkono au hakupendi au huwa anakusema vibaya au ni kundi au mtu wa fulani.kumbe wanaokuwa wanasema haya wanakuwa tu wanahofu ya mtu huyo kuchukua au kuhatarisha nafasi zao kutokana na uchapakazi , uzalendo,uadilifu wa mtu huyo.
Au wengine wanaweza kusema mtu fulani usimtoe katika nafasi fulani kwa sababu ni mtu muhimu sana na ana siri nyingi sana au amesaidia sana wewe kuwa hapo au ni mtu wa muhimu sana katika ushindi wako au huyu ndio kiboko ya wapinzani wako.wanaokuwa wanasema haya wanasema hivi kwa kuwa wana maslahi yao binafsi na kulinda mirija ya unyonyaji waliyotengeneza kupitia mtu huyo na hivyo kuhofia kuwa akiondoka inakuwa ni mwisho na kukatwa kwa mirija yao. Kwa hiyo hapa inahitaji ujasiri wa Rais mwenyewe katika kufanya maamuzi kijasiri bila kujali maneno yanasemwa vipi.ni kuishinda hofu na uoga na kujuwa kuwa hana ubia katika Urais wake na ana mamlaka yote kikatiba na kisheria na kwamba wabia wake ni wananchi pekee na siyo kikundi fulani cha watu.
Urais unahitaji utulivu wa hali ya juu sana katika kufanya maamuzi na kutoa matamko. Kwa sababu kauli za Rais zina Athari kubwa sana katika jamii kitaifa na kimataifa. Hivyo Rais hapaswi kuongozwa na hasira,jazba,chuki,visasi,Udini,ukabila, undugu na kujuana katika kufanya maamuzi.Ndio maana nasema siyo kila waziri mzuri anaweza kumudu nafasi ya Urais. Ikulu ni mahali pazito sana ndugu zangu. Ni mahali ambapo wakati mwingine usipokaa sawa unaweza jikuta watu wako wa karibu unaowaamini wakawa msitari wa mbele kukuhujumu,kukuchafua ,kukuchonganisha na umma kwa kificho kwa kutumia watu wa pembeni au wapinzani.
Mwisho niseme kuwa Rais Samia ANATOSHA kwa Urais na anastahili kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa kuwa anakidhi vigezo anavyopaswa kuwa navyo Rais. Kazi hii ya Urais ina watu wake walioandaliwa na Mungu Mwenyewe na siyo wewe kuutafuta kwa jasho na Damu. Wengine kikomo chao ni kwenye uwaziri tu na kuendelea kupewa maelekezo kutoka juu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Urais siyo kwa ajili ya kula hayo mafirigisi yako unayoyasema .tunazungumza vitu vya muhimu halafu wewe unaleta habari zako za utotoni hapa.Kama ingekuwa hivyo tusingekuwa na ma-Rais. Ni kama tulivyokuwa tukiambiwa nilipokuwa mtoto "ukila firigisi hutarefuka" na hivyo kwa kupenda kurefuka, nilijizuia kula firigisi. Hata hivyo, baadaye nilipuuza na nilianza kula nikiwa mdogo. Nikipewa kazi ya kuchinja kuku firigisi nilikuwa naikata vipande viwili: kimoja cha baba ni kingine cha kwangu (lakini ilikuwa Siri yangu).
Kwani katiba ni jiwe la chuma?Anayeita;"Katiba ni makaratasi tu"
Anaongozwa na katibaAnaongozwa na msoga
Yaani huyu mkulima anasifiaa hadi anaharibu🤣Kwa hiyo unamaanisha mama haiwezi au.
Tofautisha kusifia na kuzungumza ukweli.mimi nazungumza ukweli tuYaani huyu mkulima anasifiaa hadi anaharibu🤣
Ndio ile waswahili wanasema kuchamba kwingi kuondoka na mav.!