Uchaguzi 2020 Urais ni taasisi na cheo cha hadhi kubwa sana, hatuwezi kukigawa kwa huruma wala kwa muongo

Uchaguzi 2020 Urais ni taasisi na cheo cha hadhi kubwa sana, hatuwezi kukigawa kwa huruma wala kwa muongo

ccm jasili wa maendeleo ... Kura kwa ccm
1600014823902.png
 
Uraisi wowote ule unamhitaji mtu ambaye ni jasiri, mwenye maamuzi mazito na mwenye maono positive kwa ajili ya kampuni/taifa/jamii husika

Kama hana hivyo vyote basi hastahili kuwa kiongozi katika level hiyo.

Kwa wagombea wote wanaowania kiti hicho Cha uraisi hapa Tanzania ni magufuli peke yake anayestahili hicho cheo kwa sasa
Exactly
 
Kuna mgombea mmoja alitumwa na Wazungu na amewaahidi akishinda atawapa raslimali bure
Mbona ccm mlishawapa bure hao wazungu rasilimali zetu bure hata mwenyekiti wako alishakiri akisema gesi ya mtwara si yetu mgodi wa mwadui ni wetu vitalu vya uwindaji huko longido ni vyetu migodi ya ggm ni yetu ccm mlishauza inch muda mrefu ndio maana hata magu alipoingia ikulu aliona hana cha kuuza ikabidi ajifanye anapitia mikataba ya madini upya ili na yeye apate zake
 
Sio suala la kutaka huruma. Tukio la mbunge tena kiongozi wa upinzani kupigwa risasi hata ingekua moja tu, kupigwa maeneo ya makazi yanayo lindwa na askari waajiriwa wa serikali, lakini wahusika wasijulikane zaidi ya mwaka, siyo suala dogo.

Siyo ajabu mgombea kutumia mfano huo kuonesha mambo yanayotakiwa kufanyiwa maboresho katika nchi hii.

Baadhi yetu tumefuatilia kauli za wakubwa na vitendo kuhusu tukio lile, ukweli ni kauli za kuashiria furaha ya kilichotokea, maana sio kwa kejeli zile kwa mjeruhiwa!

Mnao kerwa na mfano huo mnasumbuliwa na suto la moyo.
Hlo swala la kuwa kapgwa risasi kisa ni mbunge wa upinzani hyo ni nadharia tu, kuna wabunge wangapi wa upinzani nchi hii mbona hawajapgwa risasi!
Half watu walivokua hawatafakari, ivi mtu akipigwa risasi tu inabd apewe uraisi?
 
Ifike mahali muache kuandika upumbavu na upuuzi...hofu ya nini ? Acheni box la kura liamue kwa haki...
Lissu ni tishio kwa mustakabali wa bwana yule ndio maaana hamuishi kumjadili
Ulipoanza nikajua kuna kitu ndani yako ila nimegundua kama ni wapumbavu basi wewe ni mpumbavu mkubwa kwakua kwakushindwa kujibu hoja hizo umetanguliza upumbavu na upuuzi, hakuna hofu katika uchaguzi huu na magufuli atashinda kwa asilimia zaidi ya 80
 
Natamani kukutana na mwandishi huyu nipate kumshukuru kwa fikra zake.
 
..hakuna mwanasiasa muongo nchi hii kama Jpm.

..hakuna mwanasiasa mwenye lugha za matusi na udhalilishaji kama Jpm.

..Na Tanzania Bara hatujapata kuwa na kiongozi MKATILI kumzidi Jpm.
Hivi una akili kweli wewe na unajielewa vizuri????? Na wewe utakuwa na akili zile zile za kutafta huruma
 
Nitashirikiana na watu wenye mawazo chanya na sio hasi kama watu furani ambao sipendi kuwataja.
 
Magufuli ni motoooo ao wengine ni utopolo, ikulu ni maali patakatifu sio kupeleka chama cha mbowe kilicho jaa uongo
 
Back
Top Bottom