Uchaguzi 2020 Urais ni taasisi na cheo cha hadhi kubwa sana, hatuwezi kukigawa kwa huruma wala kwa muongo

Uchaguzi 2020 Urais ni taasisi na cheo cha hadhi kubwa sana, hatuwezi kukigawa kwa huruma wala kwa muongo

Tundu Lissu ni moja ya wagombea wanaoendelea kujinadi maeneo mbalimbali kwa Watanzania akitaka achaguliwe kuwa Rais wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Namfuatilia sana Ndugu Lissu kwenye kila mikutano yake anayonadi Sera zake lakini sidhani kama kwa kiwango cha nafasi ya Urais anachokitaka kinaendana na kariba yake, hadhi ya cheo chenyewe cha Urais kama taasisi ya heshima kubwa kabisa.

Kiongozi wa nafasi kubwa kama ya Rais ni lazima apimwe kwa mienendo yake mbalimbali ya vitendo, kauli na ukweli ndani yake. Anayoyanadi kwenye mikutano yake ndio aina na mwelekeo wa kiongozi huyo hata akipata madaraka. Kiongozi muongo ni dhahili anatia doa na hofu ya uwezo wake kwenye nafasi hii inayomtaka mtu mchamungu na mkweli sana.

Lissu kwenye mikutano yake amekuwa akilaani vikali na kupinga kitendo cha Serikali kununua ndege kwa kuhoji faida ya ndege hizo. Baada ya kauli yake hiyo anayoitaja kila mahali na kuifanya kama ajenda yake nilitarajia na kutegemea kwamba Lissu angetumia magari kote huko apitako kwasababu ndege hazina faida lakini cha ajabu nimeshangazwa na kumuona Lissu huyuhuyu anayeponda na kupinga ununuzi wa ndege kumuona na yeye akipanda ndege hizo. Hii inatoa picha na somo kwa Watanzania juu ya aina ya Ndugu Lissu.

Kwenye mikutano ndege hazina faida lakini baada ya mkutano anapanda hizohizo. Huu ni unafiki kwa mtu anayetaka cheo cha ngazi kubwa kama ya Urais.

Lissu akiwa Shinyanga alinukuliwa akisema yeye akiwa Rais ataruhusu wafugaji kufugia kwenye hifadhi zetu za wanyama bila bughudha yeyote ile. Sasa jaman Watanzania wenzangu tujiulize kidogo hivi mbuga za wanyama zinazotuingia Mabillion ya pesa na kuwa Sekta ya pili kwa kuchangia pato la Taifa Lissu anasema ataiharibu na kwa kuwaruhusu wafugaji na watu kufanya wanachokitaka. Hii mlisikia wapi?

Hapo hujazungumzia huruma ambayo amekuwa akiitia kwa Watanzania kila siku kwa tukio lake la kupigwa risasi. Yan leo Lissu aende Ikulu kwasababu ya risasi alizopigwa. Wakati Watanzania wakitaka kusikia Sera zinazogusa maisha yao kwenye maji, elimu, barabara, afya na ustawi wao yeye stori na Sera kwa Watanzania ni risasi. Yani hii ndo Sera kuu ya Lissu. Yaani dhamana nyeti kama ya Urais mtu achaguliwe kwasababu ya Sera ya kupigwa risasi. Yani tutakuwa nchi ya ajabu sana duniani.

Zaidi Lissu ameendelea kuwakanyaga wamachinga na wajasiriamali wadogo kwa kudanganya sana. Jana pale Dodoma Lissu alipinga hadharani utaratibu wa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo. Hivi kwenye nchi hii nani asiyejua namna wamachinga walivyosumbuliwa kila mahali nchi nzima kwa kutozwa makodi ya ajabu ajabu na kufukuzwa kila mahali.

Utaratibu wa kuwalinda watu hawa ili wafanye biashara zao bila bughudha na mtu yoyote kwa kuwapatia vitambulisho maalum na kulipa elfu 20 tu kwa mwaka badala ya hela walizokuwa wanatozwa kila siku Leo Lissu anaponda. Tunaweza kuwa tofauti kwenye itikadi na imani zetu kisiasa lakini linapokuja suala linalogusa maisha na maslahi ya watu siasa ni lazima ijitenge na uhalisia.

Uongozi ni dhamana na matendo na mienendo mizuri sasa ukiona mtu anayeomba Urais anakuwa na tabia za namna hii kwakweli inashangaza na kutia wasiwasi sana. Watanzania mnalo jukumu la kwenda kufanya maamuzi Oktoba 28.

Naona ndugu Tundu Lissu anacheza na akili za Watanzania na anadhani ni wajinga na limbukeni kiasi cha kushindwa kutambua sera makini na porojo zake pamoja na kuonewa huruma.
Haitatokea wala haitokuja kutokea mtu wa namna ya Lissu na Lissu mwenyewe kupewa Dola kwa sera hizi dhaifu.
 
Jambo ambalo mgombea wa zanzibar ametisha ni ile speech yake fupi na ya kueleweka pia imegusa maisha ya watu
Na huyu ni mmoja wa viongozi ambao hawatakiwi kupewa uongozi kwa maana Kama kiongozi kweli unashindwa tu kulipa deni serena hotel mpaka kitu kinadumu miaka 5 je Kama tukimkabidhi Zanzibar ataweza kweli kusimamia haki au anaweza kulewa madaraka na kufanya anayoyataka mwenyewe
 
Si unajua yule jamaa amekariri miaka ya nyuma yaani akiongea watu wamjibu sawasawa hajui kama dunia inabadilika
Sasa ndugu mimi ni chadema ila nakubali mambo mengi ya CCM ,, lakini watu ninaoishinao wamejazwa ujinga wa kupinga kila kitu sasa wananikatisha tamaa.
 
Tundu Lissu ni moja ya wagombea wanaoendelea kujinadi maeneo mbalimbali kwa Watanzania akitaka achaguliwe kuwa Rais wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Namfuatilia sana Ndugu Lissu kwenye kila mikutano yake anayonadi Sera zake lakini sidhani kama kwa kiwango cha nafasi ya Urais anachokitaka kinaendana na kariba yake, hadhi ya cheo chenyewe cha Urais kama taasisi ya heshima kubwa kabisa.

Kiongozi wa nafasi kubwa kama ya Rais ni lazima apimwe kwa mienendo yake mbalimbali ya vitendo, kauli na ukweli ndani yake. Anayoyanadi kwenye mikutano yake ndio aina na mwelekeo wa kiongozi huyo hata akipata madaraka. Kiongozi muongo ni dhahili anatia doa na hofu ya uwezo wake kwenye nafasi hii inayomtaka mtu mchamungu na mkweli sana.

Lissu kwenye mikutano yake amekuwa akilaani vikali na kupinga kitendo cha Serikali kununua ndege kwa kuhoji faida ya ndege hizo. Baada ya kauli yake hiyo anayoitaja kila mahali na kuifanya kama ajenda yake nilitarajia na kutegemea kwamba Lissu angetumia magari kote huko apitako kwasababu ndege hazina faida lakini cha ajabu nimeshangazwa na kumuona Lissu huyuhuyu anayeponda na kupinga ununuzi wa ndege kumuona na yeye akipanda ndege hizo. Hii inatoa picha na somo kwa Watanzania juu ya aina ya Ndugu Lissu.

Kwenye mikutano ndege hazina faida lakini baada ya mkutano anapanda hizohizo. Huu ni unafiki kwa mtu anayetaka cheo cha ngazi kubwa kama ya Urais.

Lissu akiwa Shinyanga alinukuliwa akisema yeye akiwa Rais ataruhusu wafugaji kufugia kwenye hifadhi zetu za wanyama bila bughudha yeyote ile. Sasa jaman Watanzania wenzangu tujiulize kidogo hivi mbuga za wanyama zinazotuingia Mabillion ya pesa na kuwa Sekta ya pili kwa kuchangia pato la Taifa Lissu anasema ataiharibu na kwa kuwaruhusu wafugaji na watu kufanya wanachokitaka. Hii mlisikia wapi?

Hapo hujazungumzia huruma ambayo amekuwa akiitia kwa Watanzania kila siku kwa tukio lake la kupigwa risasi. Yan leo Lissu aende Ikulu kwasababu ya risasi alizopigwa. Wakati Watanzania wakitaka kusikia Sera zinazogusa maisha yao kwenye maji, elimu, barabara, afya na ustawi wao yeye stori na Sera kwa Watanzania ni risasi. Yani hii ndo Sera kuu ya Lissu. Yaani dhamana nyeti kama ya Urais mtu achaguliwe kwasababu ya Sera ya kupigwa risasi. Yani tutakuwa nchi ya ajabu sana duniani.

Zaidi Lissu ameendelea kuwakanyaga wamachinga na wajasiriamali wadogo kwa kudanganya sana. Jana pale Dodoma Lissu alipinga hadharani utaratibu wa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo. Hivi kwenye nchi hii nani asiyejua namna wamachinga walivyosumbuliwa kila mahali nchi nzima kwa kutozwa makodi ya ajabu ajabu na kufukuzwa kila mahali.

Utaratibu wa kuwalinda watu hawa ili wafanye biashara zao bila bughudha na mtu yoyote kwa kuwapatia vitambulisho maalum na kulipa elfu 20 tu kwa mwaka badala ya hela walizokuwa wanatozwa kila siku Leo Lissu anaponda. Tunaweza kuwa tofauti kwenye itikadi na imani zetu kisiasa lakini linapokuja suala linalogusa maisha na maslahi ya watu siasa ni lazima ijitenge na uhalisia.

Uongozi ni dhamana na matendo na mienendo mizuri sasa ukiona mtu anayeomba Urais anakuwa na tabia za namna hii kwakweli inashangaza na kutia wasiwasi sana. Watanzania mnalo jukumu la kwenda kufanya maamuzi Oktoba 28.
Tujulishe chuo cha kusomea U Rais na tujulishe hao waliopita kwamba ukweli wao ulikuwa upi ukimuondoa Nyerere.
Magufuli mwenyewe kakiri mara nyingi kuwa yeye alijaribu tu lakini mkamsukumia (hakujiandaa wala kuandaliwa).
U raisi ni taasisi na taasisi si mtu mmoja tu
 
Naona ndugu Tundu Lissu anacheza na akili za Watanzania na anadhani ni wajinga na limbukeni kiasi cha kushindwa kutambua sera makini na porojo zake pamoja na kuonewa huruma.
Haitatokea wala haitokuja kutokea mtu wa namna ya Lissu na Lissu mwenyewe kupewa Dola kwa sera hizi dhaifu.
Yaaani kama ulikua kichwani mwangu yule jamaaa na wabegiji ndio walicheza sinema ya risasi ili apate kiki sasa hakutambua kama watanzania ni werevu na watamuonesha october
 
Na huyu ni mmoja wa viongozi ambao hawatakiwi kupewa uongozi kwa maana Kama kiongozi kweli unashindwa tu kulipa deni serena hotel mpaka kitu kinadumu miaka 5 je Kama tukimkabidhi Zanzibar ataweza kweli kusimamia haki au anaweza kulewa madaraka na kufanya anayoyataka mwenyewe
Hakika
 
C Mbowe! Anaewadhulumu wabunge wa Chama chake kwa kuwachangisha michango pamoja na wanachama
Ehee! Aliyeua watu Kibiti, amewateka akina Azory, Ben Saanane, Roma, Ney na kisha Nape kutopewa bunduki hadharani.

Huyu kwa vyovote lazima atapelekwa The Hague.
 
Na huyo anayejiita KICHAA aliyeifanya Tanzania idharauliwe na majirani zetu na nchi nyingi duniani ndiye anastahili siyo? Ndiyo wale wale MAZWAZWA wa lumumba.


BAVICHA siku mkipata akili mtaweza kukisaidia chama chenu, tatizo wenye akili hua wanahama.Either you agree or not but uo ndo ukweli
 
Ifike mahali muache kuandika upumbavu na upuuzi...hofu ya nini ? Acheni box la kura liamue kwa haki...
Lissu ni tishio kwa mustakabali wa bwana yule ndio maaana hamuishi kumjadili
Mkuu hawa watu wamechanganyikiwa. Hebu fikiria mualiko wa M7 wakati wa kampeni unamaana gani?? Unalihadaa Taifa kama siyo kuchanganyikiwa kutokana na mapigo ya Mh Lissu ni nn??
 
Ccm kutamu Jaman mana wote majembe tu
IMG-20200913-WA0217.jpg
 
Idadi ya wapiga kura waliojiandikisha kwenye daftari la kidumu la wapiga kura ni mil. 29

Kati yao mil. 17 ni wanachama hai wa ccm kwa maana hiyo tayari ccm wameshashinda kwa zaidi ya asilimia 58 ukijumlisha wanachama wa vyama vipanzani wanao vihama vyama vyao tayari Wana asilimia zaidi ya 60 ya ushindi kabla ya kupiga kura.

Hiyo asilimia 40 iliyobaki uigawe kwa vyama pinzani vyote vilivyobaki then utabiri Kila mgombea wa upinzani ana asilimia ngapi ya kushinda
 
Watanzania tujipange kuwapima wagombea wetu kwa hoja na tufanye maamuzi ya busara tarehe 28/10/2020 ya kumchagua kiongozi atakae tuletea maendeleo pamoja na kuliweka taifa letu katika hali ya amani na utulivu wakati wote.Hakuna kiongozi kutoka nje ya tanzania atakae tuongozea nchi yetu.Tuwe makini na vibaraka na mifano mizuri tunayo tuwaangalie wenzetu wa libya leo wanajuta kwa maamuzi waliyo yafanya ya kumuondoa kiongozi hodari alikua mzalendo wa taifa lake.Kila nchi ifanye maamuzi yake binafsi na hakuna mwenye haki ya kuingilia uhuru wa taifa lingine.kazi kwenu watanzania Tarehe 28/10/2020 mtaharibu au mtatengeneza?
Kibaraka aliyeenda kuisema vibaya nchi ili ikose misaada
 
Na tunajua tukichagua Chadema wataanzisha vita Tanzania na sisi tuna ndugu zetu wazee wengine wagonjwa tutakimbilia wapi?

Watanzania tumebaki na CCM tu kwasababu ndio imetuletea amani.
Lissu alianza kampeni kwa kutaka kuivunja amani lakini jeshi imara la polisi limetumia weledi na reasonable force kupambana na wote waliojipanga kuivuruga amani.
Yaani picha za vurugu zimetafutwa kwa udi na uvumba na kwa jina la Mungu zimekosekana.
 
Tulia wewe wezi wakubwa nyie lisu ndio alikuwa anasaini hiyo mikataba?mmeshatutapeli sana wakati wenu WA kitandua vilago umefika
Lissu amejitembeza sana kwa mabeberu ila kaangukia pua.
 
Mkuu hawa watu wamechanganyikiwa. Hebu fikiria mualiko wa M7 wakati wa kampeni unamaana gani?? Unalihadaa Taifa kama siyo kuchanganyikiwa kutokana na mapigo ya Mh Lissu ni nn??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maana hiyo wakati wa kampeni shughuli zingingine za kitaifa zinasimama??

Je Sasa hivi kuna raisi au hakuna raisi kiss ni kipindi Cha kamapeni?

Ndio maana wapinzani watabaki kushindwa daima kwa sababu reasoning capacity yao ni ndogo siku zote
IMG-20200913-WA0182.jpg
 
Back
Top Bottom