Uchaguzi 2020 Urais sio ujenzi wa SGR, Strigler's Gorge, Flyover, Bombardier na Meli

Uchaguzi 2020 Urais sio ujenzi wa SGR, Strigler's Gorge, Flyover, Bombardier na Meli

Ne Mbwitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2020
Posts
275
Reaction score
802
Maendeleo ya vitu hayana maana kama hayabadilishi maisha ya watu kwa muda mfupi na muda mrefu.

Urais sio uwaziri wa miundo mbinu ndugu. Ni maendeleo ya watu, ni ustawi wa jamii, ni ukuaji wa kipato cha mwananchi wa kawaida, ni uwezo wa kununua na kulipia mahitaji muhimu na ya lazima, ni furaha katika jamii, ni ukuaji na maendeleo ya huduma za jamii, ni utawala bora, ni uhuru na demokrasia, ni uwezo wa kugharimia mavazi, chakula, na malazi.

Urais sio kutembea na kundi la walinzi na magari na ndege za kivita. Urais ni alama ya upendo, amani, umoja na mshikamano. Ni alama ya mfariji mkuu, ni kimbilio la walioonewa, ni kilimbilio la wanyonge, ni alama ya ucha Mungu, ni kuhani mkuu katika nchi, ni mtetezi wa wajane na watoto yatima, ni baba kwa wasio na baba, ni mpatanishi, ni mwamuzi, ni mfariji.

Urais sio uungu, ni ubinadamu, ni unyenyekevu, ni utu wema, ni upole, ni kiasi, ni usamaria, ni uponyaji, ni usikivu, ni uhodari, ni ucha Mungu.

Urais sio miundo mbinu.

Urais ni taasisi pana.

Maendeleo hayana chama
 
Mungu hakumuumba kwanza binadamu kabla ya kutengeneza vitu (dunia)

Mungu aliumba vitu (dunia) na baadaye akaumba watu.

Mungu angekuwa mjinga kama wewe angeanza kwanza na mtu halafu baadaye vitu (dunia)

Ni sawa na mjinga fulani amzae mtoto sakafuni halafu baadaye aanze kutengeneza kitanda cha kuzalia! Hizi ni akili matope!
 
Sawa lkn ni lazima uupate kwanza, ndio uweke hivyo vigezo vyako, kusema kila mtu anaweza, ...
 
Suluhisho ni wewe kutokuvitumia vikikamilika.

FYI. Maendeleo binafsi ya raia mmoja mmoja hayawezi kuletwa na raisi, wake up and and go out. Dube anasema good thing comes to those who go out and make it happen..since the world is not a bed of roses.

Huwezi kwenda nje na kufanya yatokee as Dube stated kama Raisi hatoimarisha hiyo miundombinu inayoiponda wewe. Kwako sio faida ila siku ukitumia masaa 2 kutoka mkoani badala ya 12 wakati unaleta mwanao atibiwe muhimbili ndio utajua umuhimu wa hii miundombinu
 
Kwa hiyo wewe huna nyumba wala gari hata baiskeli pia?
 
Kweli urais ni kuandaa maandamano, kuhakikisha maslai mapana ya mabebelu anayalindwa na kuhakikisha fujo ndio mpanga mzima katika taifa na si ujezi wa mihundo mbinu, maji, umeme na vingine

Na vilevile taasisi ya uraisi si utetezi wa wanyonge bali ni utetezi wa mapenzi ya jinsia moja
 
Suluhisho ni wewe kutokuvitumia vikikamilika..
FYI. Maendeleo binafsi ya raia mmoja mmoja hayawezi kuletwa na raisi, wake up and and go out. Dube anasema good thing comes to those who go out and make it happen..since the world is not a bed of roses..

Huwezi kwenda nje na kufanya yatokee as Dube stated kama Raisi hatoimarisha hiyo miundombinu inayoiponda wewe. Kwako sio faida ila siku ukitumia masaa 2 kutoka mkoani badala ya 12 wakati unaleta mwanao atibiwe muhimbili ndio utajua umuhimu wa hii miundombinu
Anayetaka kuelewa na aukuelewe ila asietaka basi agomee hiyo miundo mbinu😂😂😂
 
Mungu hakumuumba kwanza binadamu kabla ya kutengeneza vitu(dunia)

Mungu aliumba vitu(dunia) na baadaye akaumba watu.

Mungu angekuwa mjinga kama wewe angeanza kwanza na mtu halafu baadaye vitu(dunia)

Ni sawa na mjinga fulani amzae mtoto sakafuni halafu baadaye aanze kutengeneza kitanda cha kuzalia! Hizi ni akili matope!
Asante sana kwa jibu zuuuri. Na anayetaka kuelewa ataelewa.
 
Mungu hakumuumba kwanza binadamu kabla ya kutengeneza vitu(dunia)

Mungu aliumba vitu(dunia) na baadaye akaumba watu.

Mungu angekuwa mjinga kama wewe angeanza kwanza na mtu halafu baadaye vitu(dunia)

Ni sawa na mjinga fulani amzae mtoto sakafuni halafu baadaye aanze kutengeneza kitanda cha kuzalia! Hizi ni akili matope!
Komenti tamu sana hii
 
Barabara nzuri, meli, vyanzo nishati ya umeme ( stiegler's gorge), SGR ndiyo vijenzi mhimu vya maendeleo, huwezi kupeleka maji bila umeme, huwezi kufikisha huduma za afya bila kuwa na barabara Wala umeme.

Marehemu BWM hakukosea alipowaita malofa na wapumbavu!
 
mtanzania mimi Ed Kawiche sio msahaulifu kabisa...
akijifanya mpole nitamshangaa!
akijifanya ana maneno matamu nitamshangaa!
akisema haombi misaada kwa anaowaita mabeberu nitamshangaa!
kwa ufupi, kampeni zake zote tutaenda kushangaa tu.
 
Mungu hakumuumba kwanza binadamu kabla ya kutengeneza vitu(dunia)

Mungu aliumba vitu(dunia) na baadaye akaumba watu.

Mungu angekuwa mjinga kama wewe angeanza kwanza na mtu halafu baadaye vitu(dunia)

Ni sawa na mjinga fulani amzae mtoto sakafuni halafu baadaye aanze kutengeneza kitanda cha kuzalia! Hizi ni akili matope!
Hivyo vitu vilikuwepo. Msijifanye kama leo nyie ndio waanzilishi

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Mungu hakumuumba kwanza binadamu kabla ya kutengeneza vitu(dunia)

Mungu aliumba vitu(dunia) na baadaye akaumba watu.

Mungu angekuwa mjinga kama wewe angeanza kwanza na mtu halafu baadaye vitu(dunia)

Ni sawa na mjinga fulani amzae mtoto sakafuni halafu baadaye aanze kutengeneza kitanda cha kuzalia! Hizi ni akili matope!
Unajivunjia heshima mkuu,hivi kweli umeelewa mada? Sasa mtu kama wewe una uelewa kama huu vip wale wengine?? Taifa linahitaji ukombozi kwa kweli.
 
Suluhisho ni wewe kutokuvitumia vikikamilika..
FYI. Maendeleo binafsi ya raia mmoja mmoja hayawezi kuletwa na raisi, wake up and and go out. Dube anasema good thing comes to those who go out and make it happen..since the world is not a bed of roses..

Huwezi kwenda nje na kufanya yatokee as Dube stated kama Raisi hatoimarisha hiyo miundombinu inayoiponda wewe. Kwako sio faida ila siku ukitumia masaa 2 kutoka mkoani badala ya 12 wakati unaleta mwanao atibiwe muhimbili ndio utajua umuhimu wa hii miundombinu
Another Idiot on the move
 
Suluhisho ni wewe kutokuvitumia vikikamilika..
FYI. Maendeleo binafsi ya raia mmoja mmoja hayawezi kuletwa na raisi, wake up and and go out. Dube anasema good thing comes to those who go out and make it happen..since the world is not a bed of roses..

Huwezi kwenda nje na kufanya yatokee as Dube stated kama Raisi hatoimarisha hiyo miundombinu inayoiponda wewe. Kwako sio faida ila siku ukitumia masaa 2 kutoka mkoani badala ya 12 wakati unaleta mwanao atibiwe muhimbili ndio utajua umuhimu wa hii miundombinu
Hivi trains za SGR ni masaa mawili badala ya 12 kutoka dar to mwanza? Inapitia wapi kwa huo mwendo isiue watu kama kuku?
 
Back
Top Bottom