Mungu aliumba vitu wakati watu hawapo angeweza Ku exhaust resources kwa ujenzi wa vitu kwakuwa hakuwepo watu wenye njaa wala uhitaji wowote!
Sasa huyu anachukua hela za michango kwa ajili ya kusaidia waathirika wa tetemeko yeye anaenda kujenga ma culvert Barbara na Ihugo high school haya ni matumizi mabaya ya ubongo kama siyo ushamba wa madaraka.
Mtu anasema hanunui chakula cha dharula na haongezi mishahara kwakuwa anajenga miundombinu nikakumbuka baba mmoja alekuwa na watoto wanalala chini lakini kanunua premio Athlete kwa ajili ya Usafiri wa familia hii ikapelekea manungu'uniko kila uchao.
This is the hell kind of utopolo taking place but wonderfu there are few enthusiastic thugs these and embarrassing plots of economic sabotage and destruction implemented by the draconian leader.
Sasa huyu anachukua hela za michango kwa ajili ya kusaidia waathirika wa tetemeko yeye anaenda kujenga ma culvert Barbara na Ihugo high school haya ni matumizi mabaya ya ubongo kama siyo ushamba wa madaraka.
Mtu anasema hanunui chakula cha dharula na haongezi mishahara kwakuwa anajenga miundombinu nikakumbuka baba mmoja alekuwa na watoto wanalala chini lakini kanunua premio Athlete kwa ajili ya Usafiri wa familia hii ikapelekea manungu'uniko kila uchao.
This is the hell kind of utopolo taking place but wonderfu there are few enthusiastic thugs these and embarrassing plots of economic sabotage and destruction implemented by the draconian leader.