Msamehe bure hao ndo mazuzu na wafaasi wa Lissu yaani kitukoUchambuzi wa kijinga Sana, bila miundombinu imara utaboreshaje maisha ya watu?
Kwa hiyo kujenga meli siyo kuboresha huduma kwa watu?
Hivi hoja ya Corona imeisha Tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msamehe bure hao ndo mazuzu na wafaasi wa Lissu yaani kitukoUchambuzi wa kijinga Sana, bila miundombinu imara utaboreshaje maisha ya watu?
Kwa hiyo kujenga meli siyo kuboresha huduma kwa watu?
Hivi hoja ya Corona imeisha Tena?
Swali moja kwako, so serikali hii inalinda usalama wa raia wake?Umeongea pumba tupu. Maendeleo ya mtu mmoja mmoja yanaletwa na mtu mwenyewe. Kazi ya serikali ni kukuwekea miundombinu Bora, na kulinda usalama wako.
Maendeleo ya vitu hayana maana kama hayabadilishi maisha ya watu kwa muda mfupi na muda mrefu.
Urais sio uwaziri wa miundo mbinu ndugu. Ni maendeleo ya watu, ni ustawi wa jamii, ni ukuaji wa kipato cha mwananchi wa kawaida, ni uwezo wa kununua na kulipia mahitaji muhimu na ya lazima, ni furaha katika jamii, ni ukuaji na maendeleo ya huduma za jamii, ni utawala bora, ni uhuru na demokrasia, ni uwezo wa kugharimia mavazi, chakula, na malazi.
Urais sio kutembea na kundi la walinzi na magari na ndege za kivita. Urais ni alama ya upendo, amani, umoja na mshikamano. Ni alama ya mfariji mkuu, ni kimbilio la walioonewa, ni kilimbilio la wanyonge, ni alama ya ucha Mungu, ni kuhani mkuu katika nchi, ni mtetezi wa wajane na watoto yatima, ni baba kwa wasio na baba, ni mpatanishi, ni mwamuzi, ni mfariji.
Urais sio uungu, ni ubinadamu, ni unyenyekevu, ni utu wema, ni upole, ni kiasi, ni usamaria, ni uponyaji, ni usikivu, ni uhodari, ni ucha Mungu.
Urais sio miundo mbinu.
Urais ni taasisi pana.
Maendeleo hayana chama...
Kwani wewe na ukoo wako hamupo salama Mpo vitani? Ni ulinzi na uhuru unaopewa na serikali ndio unaofanya saiz uwe hapa, ushashiba makande eksozi inacheuwa tu, raha mustarehe.Swali moja kwako, so serikali hii inalinda usalama wa raia wake?
Basi sawa, mana hapo ndiyo upeo wako ulipoishiaKwani wewe na ukoo wako hamupo salama Mpo vitani? Ni ulinzi na uhuru unaopewa na serikali ndio unaofanya saiz uwe hapa, ushashiba makande eksozi inacheuwa tu, raha mustarehe.
Not here to outsmart anyone, sorry kama nimekukwaza/kukuvunjia heshima.Yet you can't outsmart me by calling me an idiot!
BTW thank you mate
Ukitaka fulaha wahi mbinguni kuko hakuna jam wala kaziMaendeleo ya vitu hayana maana kama hayabadilishi maisha ya watu kwa muda mfupi na muda mrefu.
Urais sio uwaziri wa miundo mbinu ndugu. Ni maendeleo ya watu, ni ustawi wa jamii, ni ukuaji wa kipato cha mwananchi wa kawaida, ni uwezo wa kununua na kulipia mahitaji muhimu na ya lazima, ni furaha katika jamii, ni ukuaji na maendeleo ya huduma za jamii, ni utawala bora, ni uhuru na demokrasia, ni uwezo wa kugharimia mavazi, chakula, na malazi.
Urais sio kutembea na kundi la walinzi na magari na ndege za kivita. Urais ni alama ya upendo, amani, umoja na mshikamano. Ni alama ya mfariji mkuu, ni kimbilio la walioonewa, ni kilimbilio la wanyonge, ni alama ya ucha Mungu, ni kuhani mkuu katika nchi, ni mtetezi wa wajane na watoto yatima, ni baba kwa wasio na baba, ni mpatanishi, ni mwamuzi, ni mfariji.
Urais sio uungu, ni ubinadamu, ni unyenyekevu, ni utu wema, ni upole, ni kiasi, ni usamaria, ni uponyaji, ni usikivu, ni uhodari, ni ucha Mungu.
Urais sio miundo mbinu.
Urais ni taasisi pana.
Maendeleo hayana chama...
Mungu anabusara na anatenda haki hakuna jambo linakemewa na dini kama dhulma..na sisi dua zetu mbaya ni kwa anayetudhulumu na dua za alie dhulumiwa hazirudi nyuma Mungu huzijibu...Mungu hakumuumba kwanza binadamu kabla ya kutengeneza vitu (dunia)
Mungu aliumba vitu (dunia) na baadaye akaumba watu.
Mungu angekuwa mjinga kama wewe angeanza kwanza na mtu halafu baadaye vitu (dunia)
Ni sawa na mjinga fulani amzae mtoto sakafuni halafu baadaye aanze kutengeneza kitanda cha kuzalia! Hizi ni akili matope!
Upo Sahihi Hata Mkoloni alivifanya hivyo mbona Hatukumpa Urais?Maendeleo ya vitu hayana maana kama hayabadilishi maisha ya watu kwa muda mfupi na muda mrefu.
Urais sio uwaziri wa miundo mbinu ndugu. Ni maendeleo ya watu, ni ustawi wa jamii, ni ukuaji wa kipato cha mwananchi wa kawaida, ni uwezo wa kununua na kulipia mahitaji muhimu na ya lazima, ni furaha katika jamii, ni ukuaji na maendeleo ya huduma za jamii, ni utawala bora, ni uhuru na demokrasia, ni uwezo wa kugharimia mavazi, chakula, na malazi.
Urais sio kutembea na kundi la walinzi na magari na ndege za kivita. Urais ni alama ya upendo, amani, umoja na mshikamano. Ni alama ya mfariji mkuu, ni kimbilio la walioonewa, ni kilimbilio la wanyonge, ni alama ya ucha Mungu, ni kuhani mkuu katika nchi, ni mtetezi wa wajane na watoto yatima, ni baba kwa wasio na baba, ni mpatanishi, ni mwamuzi, ni mfariji.
Urais sio uungu, ni ubinadamu, ni unyenyekevu, ni utu wema, ni upole, ni kiasi, ni usamaria, ni uponyaji, ni usikivu, ni uhodari, ni ucha Mungu.
Urais sio miundo mbinu.
Urais ni taasisi pana.
Maendeleo hayana chama...
Kila Binadamu ana mapungufu yake. Lakini kuweka miondombinu yenye msukumo wa kuivuta nchi katika mfumo wa kati ni muhimu sana. Rufiji hydropower and SGR ni muhimu sana kwa Tanzania kama inataka kuendelea na kushindana na competitors wetu ambao ni kenya na Mozambique katika kupeleka mizigo kwenye landlocked countries.Maendeleo ya vitu hayana maana kama hayabadilishi maisha ya watu kwa muda mfupi na muda mrefu.
Urais sio uwaziri wa miundo mbinu ndugu. Ni maendeleo ya watu, ni ustawi wa jamii, ni ukuaji wa kipato cha mwananchi wa kawaida, ni uwezo wa kununua na kulipia mahitaji muhimu na ya lazima, ni furaha katika jamii, ni ukuaji na maendeleo ya huduma za jamii, ni utawala bora, ni uhuru na demokrasia, ni uwezo wa kugharimia mavazi, chakula, na malazi.
Urais sio kutembea na kundi la walinzi na magari na ndege za kivita. Urais ni alama ya upendo, amani, umoja na mshikamano. Ni alama ya mfariji mkuu, ni kimbilio la walioonewa, ni kilimbilio la wanyonge, ni alama ya ucha Mungu, ni kuhani mkuu katika nchi, ni mtetezi wa wajane na watoto yatima, ni baba kwa wasio na baba, ni mpatanishi, ni mwamuzi, ni mfariji.
Urais sio uungu, ni ubinadamu, ni unyenyekevu, ni utu wema, ni upole, ni kiasi, ni usamaria, ni uponyaji, ni usikivu, ni uhodari, ni ucha Mungu.
Urais sio miundo mbinu.
Urais ni taasisi pana.
Maendeleo hayana chama...
SAY it louder man. AMENMaendeleo ya vitu hayana maana kama hayabadilishi maisha ya watu kwa muda mfupi na muda mrefu.
Urais sio uwaziri wa miundo mbinu ndugu. Ni maendeleo ya watu, ni ustawi wa jamii, ni ukuaji wa kipato cha mwananchi wa kawaida, ni uwezo wa kununua na kulipia mahitaji muhimu na ya lazima, ni furaha katika jamii, ni ukuaji na maendeleo ya huduma za jamii, ni utawala bora, ni uhuru na demokrasia, ni uwezo wa kugharimia mavazi, chakula, na malazi.
Urais sio kutembea na kundi la walinzi na magari na ndege za kivita. Urais ni alama ya upendo, amani, umoja na mshikamano. Ni alama ya mfariji mkuu, ni kimbilio la walioonewa, ni kilimbilio la wanyonge, ni alama ya ucha Mungu, ni kuhani mkuu katika nchi, ni mtetezi wa wajane na watoto yatima, ni baba kwa wasio na baba, ni mpatanishi, ni mwamuzi, ni mfariji.
Urais sio uungu, ni ubinadamu, ni unyenyekevu, ni utu wema, ni upole, ni kiasi, ni usamaria, ni uponyaji, ni usikivu, ni uhodari, ni ucha Mungu.
Urais sio miundo mbinu.
Urais ni taasisi pana.
Maendeleo hayana chama...
shida mmekosa pakupumulia hakuna kingine🤣🤣🤣Maendeleo ya vitu hayana maana kama hayabadilishi maisha ya watu kwa muda mfupi na muda mrefu.
Urais sio uwaziri wa miundo mbinu ndugu. Ni maendeleo ya watu, ni ustawi wa jamii, ni ukuaji wa kipato cha mwananchi wa kawaida, ni uwezo wa kununua na kulipia mahitaji muhimu na ya lazima, ni furaha katika jamii, ni ukuaji na maendeleo ya huduma za jamii, ni utawala bora, ni uhuru na demokrasia, ni uwezo wa kugharimia mavazi, chakula, na malazi.
Urais sio kutembea na kundi la walinzi na magari na ndege za kivita. Urais ni alama ya upendo, amani, umoja na mshikamano. Ni alama ya mfariji mkuu, ni kimbilio la walioonewa, ni kilimbilio la wanyonge, ni alama ya ucha Mungu, ni kuhani mkuu katika nchi, ni mtetezi wa wajane na watoto yatima, ni baba kwa wasio na baba, ni mpatanishi, ni mwamuzi, ni mfariji.
Urais sio uungu, ni ubinadamu, ni unyenyekevu, ni utu wema, ni upole, ni kiasi, ni usamaria, ni uponyaji, ni usikivu, ni uhodari, ni ucha Mungu.
Urais sio miundo mbinu.
Urais ni taasisi pana.
Maendeleo hayana chama
Na ili kuwarahisishia shughuli za kiuchumi wananchi wako ni lazima uwaboreshee miundombinu kwanza.Maendeleo ya vitu hayana maana kama hayabadilishi maisha ya watu kwa muda mfupi na muda mrefu.
Urais sio uwaziri wa miundo mbinu ndugu. Ni maendeleo ya watu, ni ustawi wa jamii, ni ukuaji wa kipato cha mwananchi wa kawaida, ni uwezo wa kununua na kulipia mahitaji muhimu na ya lazima, ni furaha katika jamii, ni ukuaji na maendeleo ya huduma za jamii, ni utawala bora, ni uhuru na demokrasia, ni uwezo wa kugharimia mavazi, chakula, na malazi.
Urais sio kutembea na kundi la walinzi na magari na ndege za kivita. Urais ni alama ya upendo, amani, umoja na mshikamano. Ni alama ya mfariji mkuu, ni kimbilio la walioonewa, ni kilimbilio la wanyonge, ni alama ya ucha Mungu, ni kuhani mkuu katika nchi, ni mtetezi wa wajane na watoto yatima, ni baba kwa wasio na baba, ni mpatanishi, ni mwamuzi, ni mfariji.
Urais sio uungu, ni ubinadamu, ni unyenyekevu, ni utu wema, ni upole, ni kiasi, ni usamaria, ni uponyaji, ni usikivu, ni uhodari, ni ucha Mungu.
Urais sio miundo mbinu.
Urais ni taasisi pana.
Maendeleo hayana chama
Mleta mada ni mmoja wa wanaharakati wa Twitter na facebook, ndio wenye maoni muflisi kama mawazo yake yalivyo.Mungu hakumuumba kwanza binadamu kabla ya kutengeneza vitu (dunia)
Mungu aliumba vitu (dunia) na baadaye akaumba watu.
Mungu angekuwa mjinga kama wewe angeanza kwanza na mtu halafu baadaye vitu (dunia)
Ni sawa na mjinga fulani amzae mtoto sakafuni halafu baadaye aanze kutengeneza kitanda cha kuzalia! Hizi ni akili matope!
Unajivunjia heshima mkuu,hivi kweli umeelewa mada? Sasa mtu kama wewe una uelewa kama huu vip wale wengine?? Taifa linahitaji ukombozi kwa kweli.