Huku umeme ukiendelea kukatika kila sekunde! Ni lazy affaires fulani hivi tena asiyejijua kabisa kuwa yeye ni lazy!🤭😬😬Kipimo chake ni kwenye uwaziri wa nishati. Kwa sasa tunashuhudia akifanya makongamano kila siku.
Hakuna umuhimu kuthibitisha kuwa wewe haupo sahihi kwamba sijui.Angalia unavyojichanganya.
Kama "hujui"maana, utasemaje kwamba "halina umuhimu"?
Haaaa haaaa labda jiko la jela! That will be the end of CCM huyo akiwekwa kupepperusha Bendera! Mark my words, 🗣Ndo yuko jikoni ivo
sisi tunataka matokeo hizoo per diem hazituhusu.Kipimo chake ni kwenye uwaziri wa nishati. Kwa sasa tunashuhudia akifanya makongamano kila siku.
Alipata Zero huko vidatoni 🤭🤭 , kisha ghafula akaibukia marekani na akarudi na vyeti hakika, February hafai peponi wala Kuzimuni huko motoni kwa shwetan
Alipata Zero huko vidatoni 🤭🤭 , kisha ghafula akaibukia marekani na akarudi na vyeti hakika, February hafai peponi wala Kuzimuni huko motoni kwa shwetan
Wabongo mmerogwa na elimu ya kukalili mnaamini sana kwenye ufahulu wa makaratasi, ndio mana first class wa uchumi anawapiga MATOZO hadi sio poa mana uwezo wake wa kufikiri umeishia hapo.Alipata Zero huko vidatoni 🤭🤭 , kisha ghafula akaibukia marekani na akarudi na vyeti hakika, February hafai peponi wala Kuzimuni huko motoni kwa shwetani!
👩🏾✈️Marope ana kasha moja chafu ,haijulikani na wengi ila wapinzani wake wakiitumia ,basi ata utendaji wa serikali za mtaa hataupata
Kama hujui shule umuhimu wake huwezi kunielewaWabongo mmerogwa na elimu ya kukalili mnaamini sana kwenye ufahulu wa makaratasi, ndio mana first class wa uchumi anawapiga MATOZO hadi sio poa mana uwezo wake wa kufikiri umeishia hapo.
Kabisa.Anyway, mimi mwenyewe sijasema tuwe na ubepari kwa 100% au ujamaa kwa 100%.
Ila watu wengi wanaopinga Ujamaa wa Nyerere ni kama vile wanataka kuonesha kama Ubepari was the best system ever!!!
Kitu ambacho siyo kweli.
Leo Tanzania bado tuna ardhi ya ( BURE ). No strong families, maisha ya watanzania wengi hayana tofauti kubwa kiuchumi.
Hilo tu linastahili shukrani
Shule ni kujua kusoma, kuandika na hesabu za kawaida, ila kama unaamini shule ni kukalili theory za watu wa zamani nakupa poleh mana dunia inabadilika kwa kasi kwenye masuala ya science na teknolojia Cha msingi ni kukijenga na kukiendeleza zaidi kizazi kilichopo kulingana na talent walizozaliwa nazo ndio tutapiga hatua.👩🏾✈️
Kama hujui shule umuhimu wake huwezi kunielewa
Sasa, nimeandika kuwa ni failure na kwingi tu aliishaonesha kufeli katika teuzi ila mbaya zaidi na vidatoni alifeli 😂😂😂Shule ni kujua kusoma, kuandika na hesabu za kawaida, ila kama unaamini shule ni kukalili theory za watu wa zamani nakupa poleh mana dunia inabadilika kwa kasi kwenye masuala ya science na teknolojia Cha msingi ni kukijenga na kukiendeleza zaidi kizazi kilichopo kulingana na talent walizozaliwa nazo ndio tutapiga hatua.
Lililo 'muhimu' ni kwamba unakubali "hujui".Hakuna umuhimu kuthibitisha kuwa wewe haupo sahihi kwamba sijui.
Lisilo muhimu ni kuendelea kujadili hoja yako ya "hujui" haina maana.Lililo 'muhimu' ni kwamba unakubali "hujui".
[emoji848] Mh!!! ... jamani Raisi awe Kogogo 2014 hii itakuwa nchi au tarafaJanuary Makamba kwa mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Ukiwa hujui, jambo, wewe ni "mjinga" kwenye jambo hilo, ukiendelea kujifanya wewe ni mjuaji huku hujui kitu, hapo unakuwa 'MPUMBAVU'!Lisilo muhimu ni kuendelea kujadili hoja yako ya "hujui" haina maana.
January Makamba kwa mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Na ukiwa unapoteza muda kuendeleza na kulazimisha hoja isiyo na umuhimu unaitwa king'ang'anizi... ukikazana sanaaa unakua kimbwiro.Ukiwa hujui, jambo, wewe ni "mjinga" kwenye jambo hilo, ukiendelea kujifanya wewe ni mjuaji huku hujui kitu, hapo unakuwa 'MPUMBAVU'!