Urais unamfaa January Makamba kwa sasa

Na ukiwa unapoteza muda kuendeleza na kulazimisha hoja isiyo na umuhimu unaitwa king'ang'anizi... ukikazana sanaaa unakua kimbwiro.
Sasa najaribu kupima hapa uzito kati ya 'upumbavu na ukimbwiro'! Huenda 'ukimbwiro' ukawa na nafuu .
 
Sasa najaribu kupima hapa uzito kati ya 'upumbavu na ukimbwiro'! Huenda 'ukimbwiro' ukawa na nafuu .
Kimbwiro hana ufahamu pale anapopuuzwa. Huwa ana upumbavu wa kulazimisha mjadala usio na umuhimu, yaani mjadala unaoonekana ni wa kipumbavu.
 
NAJUA NDIO MPANGO ULIOPO, HAMNA JIPYA HAPA.
 
Yaani hapo ulipomtaja tu Paul Makonda, sijui Ummy Mwalimu, Kalemani, James Mbatia, nk nimeona nichague tu kukupotezea!

Haiwezekani sura zile zile kuamua hatma ya maisha yetu miaka nenda! Tunahitaji sura mpya na mawazo mapya.

Cha ajabu Mbowe unaemshabikia wa akili ile ile ana miaka zaidi ya 15 ktk kiti chake na bado kashikilia hatima ya maisha yako huko ufipani

Sijui ni limbwata la aina gani mlilopewa kiasi kwamba ya ufipani hamuyaoni ila kwingne ndo macho yanafunguka 😀
 
Weee jamaa ni mtu wa hovyo sana, haya mawazo yako ya hovyo jadili na wenzako(ndege wafanana nao)
 
Akili yako ikoje? Huyo JM ana nini cha ziada? Hamna kitu , na sio presidential material. Dig more
 
Kwa sasa situna rais ambaye ni Samia Suluhu Hassan. Vipi mnapanga hujuma? Embu rudi uedit kichwa chako cha habari ili uzi wako uwe na baraka za wachangiaji na 'wasomaji'.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
January yupi huyu huyu makamba[emoji849][emoji849]acha kututania
 
Makamba ni mtu wa mitandao Sana but huwa anatumia majina feki na kukaa back bench.
Naona amewatuma muanze kumfanyia kampeni.
I'm crying for my country Tanzania
 
Watanzania hawahitaji mtu kama huyo ambaye yupo kwa ajili ya kusimamia utekelezaji wa maslahi ya watu wenye ukwasi usioeleweka
 
Wanaomjua wanasema ni mwizi mkubwa. Ana sura na muonekano wa mtu mwuungana lakini wanaomjua wanadai ni mpigaji mzuri tu.
 
KWa kweli Urais tz ,umekua mwepesi mno ,kwamba KILA mmoja anaweza kua Rais ,very shame ,why hamzungumzi mtu kama mkuu wa mkoa wa Dodoma KWa Sasa au kisa Sio mbunge ? Acheni Mambo ya ajabu Mungu anawaona, Angalau huyo japo ccm 2025 ndo mwisho wao asema Bwana
 
Mimi siyo mshabikii wa Mbowe! Nashabikia Mageuzi ya kweli ya kuondokana na ccm siku moja kupitia Katiba Mpya na Tume Huru ya uchaguzi. Hata kipindi anagombea kwa awamu ya tatu nilipinga humu jukwaani kiasi cha kuonekana ni kada wa ccm!

Ila sikubaliani na uonevu anaofanyiwa wa kupewa kesi ya ugaidi hewa! Mimi ni muumini wa haki ma usawa katika jamii!
 
nawashauri mzingatie Dini, japo serikali haina dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…