Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
- #61
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa wameondoa thread yetu ya Dodoma lazma Mungiki kalalamika!Tanzania imefanikiwa kutoa maji Victoria mpaka Tabora kilometres zaidi ya 500 pamoja na hundreds of peripheral channels on its way to the destination Tabora lakini kuna mji wa Nairobi 50% hawana tap water wala uhakika wa maji
😑 Doooooh! Kwa nini wamefanya hivyo?jamaa wameondoa thread yetu ya Dodoma lazma Mungiki kalalamika!
Wizara ya pili anaibadilisha! Huyu, Ummy na Jafo wako vizuri! Hata Dr. Mipango japokuwa wizara ya Fedha kazi haionekani physically!Mh.Mbarawa yuko vizuri sana.
Kigangwala naye yuko vizuri, nilikuwa namchukulia poa sana hapa JF kipindi cha JK lakini alipoichukua maliasili amekuwa akiitendea vyema sana nchi yetu. Uwezo wake unaonekana sasa kuliko alivyokuwa naibu waziri wa afya, tofauti na Bashe ambaye uwezo wake unaonekana akiwa naibu.Wizara ya pili anaibadilisha! Huyu, Ummy na Jafo wako vizuri! Hata Dr. Mipango japokuwa wizara ya Fedha kazi haionekani physically!
Ila wizara za kilimo na ile ya Mifugo na uvuvi zina safari ndefu sana haswa kwenye ku-commercialize our farm produce. Inabidi wapambane kwelikweli!Kigangwala naye yuko vizuri, nilikuwa namchukulia poa sana hapa JF kipindi cha JK lakini alipoichukua maliasili amekuwa akiitendea vyema sana nchi yetu. Uwezo wake unaonekana sasa kuliko alivyokuwa naibu waziri wa afya, tofauti na Bashe ambaye uwezo wake unaonekana akiwa naibu.
Per diem!Hivi kulikuwa na umuhimu gani wa kwenda Morocco kwa hilo? Naona yale yale ya BRT yakijirudia, walijifanya kwenda tour za South America na SA halafu wakarudi Nai kuchora BRT lanes...
Sent using Jamii Forums mobile app